Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Mimi ni mwanamke...ila hakuna kundi linaloongoza kutongoza km maboda boda...tena sio kutongoza tu boda boda wamejikita kutongoza wake za watu...yaan had unachefukwa...sasa inategemeana na aina ya mwanamke...wanasweat siku nzima..ptu...niishie hapa
Halafu wana mtindo wa kuattack ili ujisikie inferior akikutongoza ukubali
Silaha yangu huwa ni kukaa kimya, nyumbani kwangu kwa nje kuna kijiwe chao, walishazungumza yote wakaona nipo kimya,siku hizi hakuna anaejishughulisha na mimi

..na vile wengi hawana elimu hahha full kero..wanakera sana saaana!



