Block watu aina hii katika Mitandao ya Kijamii na Instant Messaging App

asante kwa maoni yako great sinker.
Hivi kum-block mtu ndiyo kumfanya asijue unacho-post? Mbona ziko njia nyingi kabisa za watu kujua nyendo zako bila kuku-follow? Kwenye mtandao ukishatumia ID yako halisi hakuna siri yoyote. Unachotakiwa kufanya ni kuwa makini na mambo unayo-post tu. Hasa Bongo, ni shida. Watu wanapost vitu hovyo hovyo, bila umakini, bila kujua kuwa social media ni njia rahisi sana za mtu kukusoma personality yako, nyendo zako na kila kitu chako.
 
Mimi situmii kabisa mtandao wowote zaidi ya JF na Youtube pia sifuatilii mambo ya celebrities kabisa achana na kero ndogo'ndogo bali kuna tatizo kubwa zaidi kwenye kutumia social media.

Watu wanaotumia Instagram, Facebook, Whatsapp, tiktok, twitter na mitandao mengine ya kijamii ndio watu wenye huzuni zaidi duniani japo sio wote ukiondoa wafanyabiashara wanaotumia kutangaza bidhaa zao.

Imagine wewe unainga Instagram unakuta picha za watu na marafiki zao au masuperstar wanakula bata mara hotelini mara baharini mara amepiga picha kwenye ndege anaelekea marekani sijui na blah blah nyingine alafu unajiangalia wewe unaona vitu vya ajabu ajabu tu then baada ya hapo furaha yako yote inatoweka unabaki na mawazo tu ya maisha na wapi nilikosea.

Au unaingia tiktok unakuta kila mtu ana girlfriend high class mara watu wanacheza viwimbo vya ajabu ajabu huku wakicheka alafu unajiangalia wewe unahisi kama popo aliyepangoni peke yake na ile pride na furaha yako yote inatoweka ghafla.

Even Elon Musk alisema kwamba siku ya kwanza kujiunga Instagram anaona kila mtu amepiga picha kali huku anacheka kwa furaha alafu anajiangalia mwenyewe anaona humu kila mtu ana furaha alafu mimi niko na mawazo na sad muda wote then unaingia huzuni.
Baada ya hapo Elon musk akafuta account yake ya Instagram.
Elon akasema sababu wale watu wanaishi maisha fake zile picha na videos ziko edited na software kali na kile kinachoonekana kwenye picha ni part tu ya maisha yao na sio kwamba maisha yao yote yako vile.
Imagine mtu powerful duniani anajua kuhusu hili.

Nirudi kwenye point yangu kwamba kila mtu anayefanya show off mitandaoni na followers wao ndio the saddest japo sio wote nadhani.
Ni sababu inawalazimu kufake kila kitu ili kupata approval kutoka kwa followers wao, approval ni zile likes.
Na wasipopata ile approval au likes wanakuwa wanaumia ndani kwa ndani na mawazo juu.
Wanafata mkumbo na kufanya chochote kile ili mradi wawe part ya hiyo jamii ndio maana utakuta watu wanafanya mambo ya ajabu.
Wanaishi kwa tabu sana na sio kama wanavyotaka sababu wasipofuata kile followers wake wanataka basi atakosa hiyo approval na kujihisi yuko alone.

Social Media ni toxic kama hupati faida kutoka kwake, hata baadhi ya waliosoma hii post wanatakuwa wanajiona kama nimewaongelea wao.

Ndio maana mimi natumia JF tu sababu hamjuani na hakuna mtu anapost vitu personal ni mada tu kujadili kitu fulani specific na natumia youtube sababu ni sehemu ambayo inahusu vitu fulani specific na sio mambo binafsi ya watu japo zipo channel zinapost mambo binafsi ya watu.
Ndugu yangu hata nikikupa ''like'' haitoshi. Itoshe tu kusema hili ni somo zuri sana hasa kwa wabongo wengi. Umeongea mambo ya maana sana sana. Mimi huwa nasema kila siku. Social Media inatakiwa kutumika kwa uangalifu mno mno. Inaweza kuwa chanzo cha maisha ya mtu kuwa ya huzuni kila siku. Mimi nina account Facebook na Twitter tangu 2008 na 2009 respectively. Lakini nazitumia kimkakati kweli kweli na haya mambo sijui ya kupost au kufollow na kusoma ''walls'' za watu maarufu, umbeya nk sina muda nao kabisa. Tanzania mtu akishakuwa na smart phone anachojua ni ku-follow ''watu maarufu'' wa Bongo wote na muda wote unakuta anatumia kusoma habari za ubuyu na maisha ya watu. Ndiyo maana kila ''celebrity'' wa Bongo hakosi followers milioni moja ++
 
Nimeacha kutumia fb muda sasa, wenzangu kila siku wanapost watoto wao mimi na mke wangu mwaka wa 3 huu hatuna mtoto, hivyo sikutaka mawazo yanitawale

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
.
giphy.gif
 
Mambo mengi muda mchache cha msingi ni kuitumia kwa uangalifu tuu hii mitandao
 
Mimi situmii kabisa mtandao wowote zaidi ya JF na Youtube pia sifuatilii mambo ya celebrities kabisa achana na kero ndogo'ndogo bali kuna tatizo kubwa zaidi kwenye kutumia social media.

Watu wanaotumia Instagram, Facebook, Whatsapp, tiktok, twitter na mitandao mengine ya kijamii ndio watu wenye huzuni zaidi duniani japo sio wote ukiondoa wafanyabiashara wanaotumia kutangaza bidhaa zao.

Imagine wewe unainga Instagram unakuta picha za watu na marafiki zao au masuperstar wanakula bata mara hotelini mara baharini mara amepiga picha kwenye ndege anaelekea marekani sijui na blah blah nyingine alafu unajiangalia wewe unaona vitu vya ajabu ajabu tu then baada ya hapo furaha yako yote inatoweka unabaki na mawazo tu ya maisha na wapi nilikosea.

Au unaingia tiktok unakuta kila mtu ana girlfriend high class mara watu wanacheza viwimbo vya ajabu ajabu huku wakicheka alafu unajiangalia wewe unahisi kama popo aliyepangoni peke yake na ile pride na furaha yako yote inatoweka ghafla.

Even Elon Musk alisema kwamba siku ya kwanza kujiunga Instagram anaona kila mtu amepiga picha kali huku anacheka kwa furaha alafu anajiangalia mwenyewe anaona humu kila mtu ana furaha alafu mimi niko na mawazo na sad muda wote then unaingia huzuni.
Baada ya hapo Elon musk akafuta account yake ya Instagram.
Elon akasema sababu wale watu wanaishi maisha fake zile picha na videos ziko edited na software kali na kile kinachoonekana kwenye picha ni part tu ya maisha yao na sio kwamba maisha yao yote yako vile.
Imagine mtu powerful duniani anajua kuhusu hili.

Nirudi kwenye point yangu kwamba kila mtu anayefanya show off mitandaoni na followers wao ndio the saddest japo sio wote nadhani.
Ni sababu inawalazimu kufake kila kitu ili kupata approval kutoka kwa followers wao, approval ni zile likes.
Na wasipopata ile approval au likes wanakuwa wanaumia ndani kwa ndani na mawazo juu.
Wanafata mkumbo na kufanya chochote kile ili mradi wawe part ya hiyo jamii ndio maana utakuta watu wanafanya mambo ya ajabu.
Wanaishi kwa tabu sana na sio kama wanavyotaka sababu wasipofuata kile followers wake wanataka basi atakosa hiyo approval na kujihisi yuko alone.

Social Media ni toxic kama hupati faida kutoka kwake, hata baadhi ya waliosoma hii post wanatakuwa wanajiona kama nimewaongelea wao.

Ndio maana mimi natumia JF tu sababu hamjuani na hakuna mtu anapost vitu personal ni mada tu kujadili kitu fulani specific na natumia youtube sababu ni sehemu ambayo inahusu vitu fulani specific na sio mambo binafsi ya watu japo zipo channel zinapost mambo binafsi ya watu.
Huu ni ukweli mchungu
 
That is type of show off ,Kuna wengine hawajui status ilipo
Wee ni humu JF tu kila mtu tajiri ila uhalisia ni virse versa social media imefanya watu kuwa wanbeya na wanaopenda ku judge watu
 
Humu kila mtu huwa ha view status, but kiukweli ukipost kitu waja huja ku view ka wote, loh
nimekuwa member wa jf since 2010, wakati huo nilikuwa natumia ID tofauti na hii ninayotumia sasa.

kwa miaka yote ambayo nimekuwa mshiriki wa mtandao huu, nimebaini vitu kadhaa.

*kila mtu hupenda kujipambanua kwamba yeye ni wa kipato cha kati(middle class citizen).

*maelezo ya wengi ni kwamba hawajishughulishi na whatsapp status, licha wengi kutumia whatsapp.

*maelezo ya wengi ni kwamba hawatumii mitandao mengine ya kijamii tofauti na jf.
 
Back
Top Bottom