Tambua kuna watu basi tu wana bahati nzuri na wengine wana bahati mbaya

Forrest Gump

JF-Expert Member
Jul 2, 2021
592
1,285
Some people are just lucky sio kwamba eti wametoka kwenye familia tajiri au yenye kusapotiana au nchi iliondelea au labda ni juhudi zao, hapana au ni wezo mkubwa wa kiakili, ni basi tu kila wanacho fanya hawakitolei machozi, jasho na damu kama wewe.

Wanaokuambia eti Hardwork beats Luck ni njia tu za kuwapa hamasa ili msichokee kuwafanyia kazi ila waenjoy kile bahati yao inaendeleea kuwa-offer.

Tunahimizwa tufanye kazi kwa bidii sanaa na tutapasua, lakini bidii hii haitufaidishi kulingana na jitihada tuliowekeza sio kwa sababu eti mazingira, muda, exposure, taarifa au factors za uchumi ndio zilizopelekea ukakosa hapana ni kwamb level ya bahati yako ndio ilipokufikisha.

Hata wewe hapo mtaani kuna watu huwa unawashangaa ni jinsi gani wanavyo shinda odds za maisha despite ya kuwa sio special sanaaa au eti wako very sharp na informartive, ni basi tu bahati yake ndio umuongozea njia.

Guys life is tough ila tusikate tamaa.
 
Some people are just lucky sio kwamba eti wametoka kwenye familia tajiri au yenye kusapotiana au nchi iliondelea au labda ni juhudi zao, hapana au ni wezo mkubwa wa kiakili, ni basi tu kila wanacho fanya hawakitolei machozi, jasho na damu kama wewe.

Wanaokuambia eti Hardwork beats Luck ni njia tu za kuwapa hamasa ili msichokee kuwafanyia kazi ila waenjoy kile bahati yao inaendeleea kuwa-offer.

Tunahimizwa tufanye kazi kwa bidii sanaa na tutapasua, lakini bidii hii haitufaidishi kulingana na jitihada tuliowekeza sio kwa sababu eti mazingira, muda, exposure, taarifa au factors za uchumi ndio zilizopelekea ukakosa hapana ni kwamb level ya bahati yako ndio ilipokufikisha.

Hata wewe hapo mtaani kuna watu huwa unawashangaa ni jinsi gani wanavyo shinda odds za maisha despite ya kuwa sio special sanaaa au eti wako very sharp na informartive, ni basi tu bahati yake ndio umuongozea njia.

Guys life is tough ila tusikate tamaa.
Bahati haijawahi kumfata Mtu kitandani.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Bora uzaliwe mwenye bahati kuliko mwenye kipaji
✍️ Dr am 4 real PhD binafsi Kama ningefuata kipaji mpira wa miguu ungenijengea nyumba,ungenipa gari, unge pay bills, ungenipa biashara Trust me
kwenye mguu wangu wa kushoto mwenyezi Mungu aliweka kipaji adhimu na adimu nilitabiliwa makubwa Sana ilichukua sekunde chache na mpira ukiwa mguuni mwangu Ila Mimi nili udharau mpira wa miguu
Ilikua Ni kawaida watu kuacha shughuli zao kushika vichwa na kustaajabu kipaji Cha kipekee na kutuzwa na watu mbali mbali ndio kitu pekee na Cha rahisi Sanaa kwangu..

Mkuu Kama una kijana ama una ndoto na kipaji CHOCHOTE BASI amka kafanye HII IWE DRIVE ENGINE KWAKO........
 
Seen
✍️ Dr am 4 real PhD binafsi Kama ningefuata kipaji mpira wa miguu ungenijengea nyumba,ungenipa gari, unge pay bills, ungenipa biashara Trust me
kwenye mguu wangu wa kushoto mwenyezi Mungu aliweka kipaji adhimu na adimu nilitabiliwa makubwa Sana ilichukua sekunde chache na mpira ukiwa mguuni mwangu Ila Mimi nili udharau mpira wa miguu
Ilikua Ni kawaida watu kuacha shughuli zao kushika vichwa na kustaajabu kipaji Cha kipekee na kutuzwa na watu mbali mbali ndio kitu pekee na Cha rahisi Sanaa kwangu..

Mkuu Kama una kijana ama una ndoto na kipaji CHOCHOTE BASI amka kafanye HII IWE DRIVE ENGINE KWAKO........
Umenikumbusha dogo mmoja alikua anakodiwa sana kwenye ndondo enzi hizo dogo mpira na Mguu Mguu na mpira na kila akikodiwa km turubai lazima akawape ushindi Jamaa, usichoamini sasa hivi dogo ni fundi Magari tu na amenenepa kawa bonge vibaya wakati kipindi hicho alikua na mwili wa mazoezi tu

Kipaji kilichokosa muendelezo
 
Seen
Umenikumbusha dogo mmoja alikua anakodiwa sana kwenye ndondo enzi hizo dogo mpira na Mguu Mguu na mpira na kila akikodiwa km turubai lazima akawape ushindi Jamaa, usichoamini sasa hivi dogo ni fundi Magari tu na amenenepa kawa bonge vibaya wakati kipindi hicho alikua na mwili wa mazoezi tu

Kipaji kilichokosa muendelezo
Wakati mwingine Ni kukosa watu wa kutuongoza..
Wakati mwingine Ni kupambania kile unacho kiamini..

Mimi nilikua mkimya na mpole Sana ugenini nilikuaga sipewi namba sababu ya kujuana Ila kosa lilikua Ni kunipa chance ya kujaribu..Ni mistake

Kisa Cha kuachana na mpira Ni enzi zetu kibongo bongo mpira haukua na future nili liona Hilo nikawekeza nguvu kwenye shule

Nimecheza timu za wilaya, mkoa enzi za UMISETA, UMITASHUMTA

So currently nawashaur vijana Kama una kipaji na una amini kwenye chochote Basi kifanye kwa bidii
 
Kuna watu wanapigiwa simu na kupewa michongo ya mamilion wakiwa kitandani wamelala.Halafu kuna watu wanazunguka mitaani siku nzima bila kupata mchongo wowote.
Binafsi naamini bahati inachangia zaidi ya 50% kwenye mafanikio yoyote.
Ahhaha kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom