Je, kuna watu wenye roho ya uharibifu au ni bahati mbaya tu?

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
1,726
3,367
Kuna mtu ukimpa au kumwachia kitu chochote iwe ni kikombe, sahani, bakuli, baskeli, pafyumu, kichanio, mbuzi ya nazi, gari, jiko, sufuria, beseni yani kitu chochote kile basi uwe na uhakika LAZIMA hicho kitu atakiharibu au kitaharibika kikiwa mikononi mwake.

Cha ajabu unakuta kitu husika ni kizima kabisa yani hakina tatizo lolote na nyinyi wengine mnakitumia au mmekuwa mkitumia kitu ichoicho bila shida yoyote tena kwa muda wote hadi kilipokutana na muharibifu.

Muharibifu haitaji awe ametumia kifaa au kitu husika kwa muda mreeefu, anaweza kukigusa tu kitu husika ukashangaa apoapo kimeharibika pakubwa sana au hakifanyi kazi tena mara baada ya kukugwa au kuwa mkononi mwa mharibifu.

Wakuu mmeshakutana na watu wa aina hii?

Je, watu hawa wana nini ndani yao?

Je kuna roho chafu au ni bahati mbaya tu ndio zinawakutanisha wahusika na matukio haya hasi?

Je, kwenye mahusiano kuna watu kama hawa?

Wanasaidikaje?
 
Refer demu ambaye unakuwa na mahusiano nae akuwa kakukuta vizuri and then mambo yanaanza kukuendea kombo...kwa kifupi wanakuwa na roho chafu ambazo hazitaki mtu mwingine awe kwenye mahusiano na huyo mwanamke hivyo zinakuwa na wivu wa wewe kumgegeda.
Zinakuharibia mambo yako hadi unaona ni heri uachane nae.
 
Refer demu ambaye unakuwa na mahusiano nae akuwa kakukuta vizuri and then mambo yanaanza kukuendea kombo...kwa kifupi wanakuwa na roho chafu ambazo hazitaki mtu mwingine awe kwenye mahusiano na huyo mwanamke hivyo zinakuwa na wivu wa wewe kumgegeda.
Zinakuharibia mambo yako hadi unaona ni heri uachane nae.
ni sahihi
 
Kuna mtu ukimpa au kumwachia kitu chochote iwe ni kikombe, sahani, bakuli, baskeli, pafyumu, kichanio, mbuzi ya nazi, gari, jiko, sufuria, beseni yani kitu chochote kile basi uwe na uhakika LAZIMA hicho kitu atakiharibu au kitaharibika kikiwa mikononi mwake.

Cha ajabu unakuta kitu husika ni kizima kabisa yani hakina tatizo lolote na nyinyi wengine mnakitumia au mmekuwa mkitumia kitu ichoicho bila shida yoyote tena kwa muda wote hadi kilipokutana na muharibifu.

Muharibifu haitaji awe ametumia kifaa au kitu husika kwa muda mreeefu, anaweza kukigusa tu kitu husika ukashangaa apoapo kimeharibika pakubwa sana au hakifanyi kazi tena mara baada ya kukugwa au kuwa mkononi mwa mharibifu.

Wakuu mmeshakutana na watu wa aina hii?

Je, watu hawa wana nini ndani yao?

Je kuna roho chafu au ni bahati mbaya tu ndio zinawakutanisha wahusika na matukio haya hasi?

Je, kwenye mahusiano kuna watu kama hawa?

Wanasaidikaje?
Wapo aisee kama huamini ingia vyoo vya MANISPAA yoyote ile TZ, maji ya kumwaga but Loh! Hiyo bondo....
 
Kuna mtu ukimpa au kumwachia kitu chochote iwe ni kikombe, sahani, bakuli, baskeli, pafyumu, kichanio, mbuzi ya nazi, gari, jiko, sufuria, beseni yani kitu chochote kile basi uwe na uhakika LAZIMA hicho kitu atakiharibu au kitaharibika kikiwa mikononi mwake.

Cha ajabu unakuta kitu husika ni kizima kabisa yani hakina tatizo lolote na nyinyi wengine mnakitumia au mmekuwa mkitumia kitu ichoicho bila shida yoyote tena kwa muda wote hadi kilipokutana na muharibifu.

Muharibifu haitaji awe ametumia kifaa au kitu husika kwa muda mreeefu, anaweza kukigusa tu kitu husika ukashangaa apoapo kimeharibika pakubwa sana au hakifanyi kazi tena mara baada ya kukugwa au kuwa mkononi mwa mharibifu.

Wakuu mmeshakutana na watu wa aina hii?

Je, watu hawa wana nini ndani yao?

Je kuna roho chafu au ni bahati mbaya tu ndio zinawakutanisha wahusika na matukio haya hasi?

Je, kwenye mahusiano kuna watu kama hawa?

Wanasaidikaje?
Mimi ni mtunzaji sana wa vitu nathibitisha kuwa watu wengi ni waharibifu wakubwa, hawajui kutunza vitu pamoja na umaskini wao lakini ukimpa kitu kipya leo baada ya siku tatu kimeshakuwa takataka!

Nilifanya utafiti nikagundua kuwa kisababishi kikubwa ni UJINGA wa watu! Watanzania wengi ni wajinga wakubwa, hawajui thamani ya vitu na hawajali!

Utakuta watu wananunua ndege Airbus ya billioni 200 baada ya miezi mitatu wameshaitupa na wanaishi popo humo!

Mimi nimekaa na simu yangu miaka minne ni mpya inang’aa , nilijuta baada ya kumwazima maskini mmoja kwa siku moja tu, ilibidi kubadilisha cover yote!
 
Back
Top Bottom