Maisha yanatesa mno…, ukiona unafurahi basi kuna watu wako nyuma yako wanatesekea

Canabian Rasta

JF-Expert Member
Aug 18, 2022
771
1,707
Dunia sio…, Maisha yanatesa mno…, ukiona unafurahi basi kuna watu wako nyuma yako wanatesekea furaha yako leo…, siku na wao wakifurahi basi furaha yako itakatishwa kama sio kudhoofika..,.

Maisha yanatesa, ile furaha ya kuona wanawake wakiwa na mimba, kwa sasa naona ni laana.
Unazaa!! For what!! Unafurahi? for what!!

Watu wanahangaika kila sehemu kwa uchungu na mateso kwa laana za starehe ya wazazi wawili walio amua wao bila kuwaza uyo kiumbe wanamleta kwenye nini..!, ili afaidike na nini..! , na je?, akiwa tofauti watafanya vipi?

Unabeba mimba, huna kitu maisha yako mwenyewe yamekushinda, isitoshe huna hata mume anaeleweka au yule ambae kusema mtashinda hata hadui njaa hapana, ukiangalia kushoto mtaani kwenu wote kaya masikini, anayefanikiwa kwenu basi malaya, tapeli, ujanja ujanja n.k still unabeba mimba na unamwomba mungu ujifungue salama!! Ili umlete mtoto kwenye mateso, mind set ya masikini hua mtoto ni mtaji, yani mateso na maisha yaliokushinda ndo unayazalia mtoto ili yeye ndo aje kuteseka kukutoa uko matopeni. {UZAO WA LAANA}.

Assum umezaa mtoto wako wakiume/kike now, ukampa kilakitu kuanzia mali, malezi ya kiimani, kitamaduni (kikwenu) n.k, but amekua sasa na kwenye kujitambua kaangukia kwenye ushoga, ufuska, utapeli, ulevi n.k vipi ushawaza utafanya nini mwanao tegemezi akiwa kama gigy money? Na kama maamuzi yako sio yakumsapport ili awe na furaha kwenye kujipata kwake unafikiri unamtendea haki? Kabla ya kutungisha /kubeba mimba hukuwaza why atakuja akiwa na kichwa na ubongo wake mwenyewe na sio wako?

Kuna mtu anazaliwa akiwa mbaya hana shepu hana akili za darasani na hana connections za kukutoa matopeni, wanaume wanamlaghai kisa anatabia njema, unatumika ukizani ni upendo, anasalitiwa na anatafutiwa makosa mwisho anatelekezwa, anabaki kutegemea watoto wake. Upande mwingine anagundua kuna kudanga kunalipa unaenda kujiuza bar bado wateja wanashobokea wadada wenye mashepu anajisikia unyonge, mwisho anagundua maisha ni laana, hayana huruma unapaswa kufanikiwa kwa njia yoyote, ila ukishafaniwa unagunduka dooh kumbe kunakufa kufukiwa na kuoza (Maisha!!!)

Unazaliwa ukiwa huna title wala kwenu hamna lolote lile likalokufanya ujivunie, unaenda shure unakomaa unasoma mpaka unamaliza na vile mungu sio mruguru basi anakubariki unafanikiwa kupata kazi kitengo, mambo yanakua super, unasema sasa nioe mke mwenye akili, unapata, mwisho unakuja kukosa furaha kumbe mkeo alishalala na vidume shababi kupita wewe ila tu wewe ndo muoaji, ila maumbile yako sio matamu kama ya hao wengine, unalala usiku ukijua mke wako anasuguliwa na mtu fulani unakosa raha tena , mnagombana, unatoa taraka, mwanamke anaondoka na watoto, (mwanzo wa laana nyingine kwa watoto) unagundua furaha sio pesa labda ungepata uume mkubwa na wewe ungesugua wanawake vzuri wakatulia, (Maisha).

Dunia sio sehemu salama, eti watu wanaenda sehemu za ibada kufwata majina ya WATU walio inuliwa na mungu, wengine sijui kwa mamentol sijui nini, now kama una akili zimekamilika utagundua hayupo mtakatifu Duniani, as long as mtu anamwagiwa shahawa, na mwingine anaingia kwenye ilo shimo katikati ya mapaja ya mwanamke basi hakuna huokovu wala utakatifu hapo. (Kama huelewi usijali, ipo siku utaelewa).

Unao waamini leo ndo watakuja kukufunza kutokuamini watu siku ukiwafahamu vizuri, ni swala la muda tuu, kila mtu unayemwona ana uzinzi ndani yake, tamaa, ubinafsi, ukatili, n.k tunatofautiana tu katika muda, wakati na nafasi kudhihirika wazi kwa yale yaliyo ndani yetu.

~KUZAA NI BARAKA KUZALIWA NI LAANA~
 
Dunia sio…, Maisha yanatesa mno…, ukiona unafurahi basi kuna watu wako nyuma yako wanatesekea furaha yako leo…, siku na wao wakifurahi basi furaha yako itakatishwa kama sio kudhoofika..,.

Maisha yanatesa, ile furaha ya kuona wanawake wakiwa na mimba, kwa sasa naona ni laana.
Unazaa!! For what!! Unafurahi? for what!!

Watu wanahangaika kila sehemu kwa uchungu na mateso kwa laana za starehe ya wazazi wawili walio amua wao bila kuwaza uyo kiumbe wanamleta kwenye nini..!, ili afaidike na nini..! , na je?, akiwa tofauti watafanya vipi?

Unabeba mimba, huna kitu maisha yako mwenyewe yamekushinda, isitoshe huna hata mume anaeleweka au yule ambae kusema mtashinda hata hadui njaa hapana, ukiangalia kushoto mtaani kwenu wote kaya masikini, anayefanikiwa kwenu basi malaya, tapeli, ujanja ujanja n.k still unabeba mimba na unamwomba mungu ujifungue salama!! Ili umlete mtoto kwenye mateso, mind set ya masikini hua mtoto ni mtaji, yani mateso na maisha yaliokushinda ndo unayazalia mtoto ili yeye ndo aje kuteseka kukutoa uko matopeni. {UZAO WA LAANA}.

Assum umezaa mtoto wako wakiume/kike now, ukampa kilakitu kuanzia mali, malezi ya kiimani, kitamaduni (kikwenu) n.k, but amekua sasa na kwenye kujitambua kaangukia kwenye ushoga, ufuska, utapeli, ulevi n.k vipi ushawaza utafanya nini mwanao tegemezi akiwa kama gigy money? Na kama maamuzi yako sio yakumsapport ili awe na furaha kwenye kujipata kwake unafikiri unamtendea haki? Kabla ya kutungisha /kubeba mimba hukuwaza why atakuja akiwa na kichwa na ubongo wake mwenyewe na sio wako?

Kuna mtu anazaliwa akiwa mbaya hana shepu hana akili za darasani na hana connections za kukutoa matopeni, wanaume wanamlaghai kisa anatabia njema, unatumika ukizani ni upendo, anasalitiwa na anatafutiwa makosa mwisho anatelekezwa, anabaki kutegemea watoto wake. Upande mwingine anagundua kuna kudanga kunalipa unaenda kujiuza bar bado wateja wanashobokea wadada wenye mashepu anajisikia unyonge, mwisho anagundua maisha ni laana, hayana huruma unapaswa kufanikiwa kwa njia yoyote, ila ukishafaniwa unagunduka dooh kumbe kunakufa kufukiwa na kuoza (Maisha!!!)

Unazaliwa ukiwa huna title wala kwenu hamna lolote lile likalokufanya ujivunie, unaenda shure unakomaa unasoma mpaka unamaliza na vile mungu sio mruguru basi anakubariki unafanikiwa kupata kazi kitengo, mambo yanakua super, unasema sasa nioe mke mwenye akili, unapata, mwisho unakuja kukosa furaha kumbe mkeo alishalala na vidume shababi kupita wewe ila tu wewe ndo muoaji, ila maumbile yako sio matamu kama ya hao wengine, unalala usiku ukijua mke wako anasuguliwa na mtu fulani unakosa raha tena , mnagombana, unatoa taraka, mwanamke anaondoka na watoto, (mwanzo wa laana nyingine kwa watoto) unagundua furaha sio pesa labda ungepata uume mkubwa na wewe ungesugua wanawake vzuri wakatulia, (Maisha).

Dunia sio sehemu salama, eti watu wanaenda sehemu za ibada kufwata majina ya WATU walio inuliwa na mungu, wengine sijui kwa mamentol sijui nini, now kama una akili zimekamilika utagundua hayupo mtakatifu Duniani, as long as mtu anamwagiwa shahawa, na mwingine anaingia kwenye ilo shimo katikati ya mapaja ya mwanamke basi hakuna huokovu wala utakatifu hapo. (Kama huelewi usijali, ipo siku utaelewa).

Unao waamini leo ndo watakuja kukufunza kutokuamini watu siku ukiwafahamu vizuri, ni swala la muda tuu, kila mtu unayemwona ana uzinzi ndani yake, tamaa, ubinafsi, ukatili, n.k tunatofautiana tu katika muda, wakati na nafasi kudhihirika wazi kwa yale yaliyo ndani yetu.

~KUZAA NI BARAKA KUZALIWA NI LAANA~
Okoka mkuu! Ushindi wa hayo yoote ni wokovu! Hata hivyo walokole mapandikizi ya shetani ndo wamejaa mtaani! Lakini something for sure naweza kukwambia ili ushinde haya yoote ni lazima uwe na Yesu! Bila Yesu hata utumie akili zako 💯 hutoboi
 
Jamaa umeongea Point
Ila mengine umevuruga kana kwamba na wewe maisha yamekuvuruga

Anyway nimeyachukua ya maana nitayafanyia kazi
Hayo mengine ya HOVYO nimekuachia mwenyewe yaeendelee kukuvuruga tu Hadi ujute kwann ulizariwa BONGO kudadadeki
 
Kwa wale wanao fikiri niko broke, basi jueni sina dhiki wala stress, niliandika huu uzi baada ya kukutana na mtoto wa ndugu yangu kiukoo, Baba kesha kufa, mama kaolewa ndoa nyingine ili kujikomboa kiuchumi (so sad).

Mume tajiri hataki watoto wa mwanamke, maana nivijana wakubwa, madogo hawana urithi elimu wala connection zozote ndo kwanza uyu mmoja nimemuajiri mimi. (kuna wakike uyo ndo sijui atashika wapi).

{Kwa kudra za Mungu watafanikiwa Inshallah}

Ila nilipokaa nikangalia maisha yake uyu dogo tokea kipindi yupo na baba ake na mpaka wanachana na mama yao anaoa mke mwingine na hadi kifo kilipomkuta, nikajumlisha na vidada navyo viona vina zaa zaa hovyo tuu yan as if kuzaa ni mashindano, hobby au fantasy, nikajisikia vibaya moyoni, ndo sababu ya kuandika huu uzi.

Kama hunielewi kaa vuta picha vile vitoto vinavyosimamisha magari kuomba omba, na wengine wamama wanao omba uku wanawatoto mgongoni imagine maisha ya hao watoto je kulikua na ulazima gani kuwazaa, na unaona kabisa mazingira yako sio mazuri kukusupport full package ya malezi kwanini unaforce kitu kisichokua na ulazima kwa starehe zako binafsi!!!
 
🤪🤪🤪🤪🤪 Hapo kwenye kuoa afu mkeo anasuguliwa na wengine usijali kasikilize Wimbo wa naibu waziri aliosema bado yupo yup sana, rejea biblia inasema ntakupa mke wa kufanana nae, ndo kakupa huyo usiihame nyumba kwa wingi wa siafu kuchapiwa ni siri yako, chagua umpe mapigo, mahaba au tatakacho atatulia tu ndoa haina mjanja.💔🤛👣
 
Kwa wale wanao fikiri niko broke, basi jueni sina dhiki wala stress, niliandika huu uzi baada ya kukutana na mtoto wa ndugu yangu kiukoo, Baba kesha kufa, mama kaolewa ndoa nyingine ili kujikomboa kiuchumi (so sad).

Mume tajiri hataki watoto wa mwanamke, maana nivijana wakubwa, madogo hawana urithi elimu wala connection zozote ndo kwanza uyu mmoja nimemuajiri mimi. (kuna wakike uyo ndo sijui atashika wapi).

{Kwa kudra za Mungu watafanikiwa Inshallah}

Ila nilipokaa nikangalia maisha yake uyu dogo tokea kipindi yupo na baba ake na mpaka wanachana na mama yao anaoa mke mwingine na hadi kifo kilipomkuta, nikajumlisha na vidada navyo viona vina zaa zaa hovyo tuu yan as if kuzaa ni mashindano, hobby au fantasy, nikajisikia vibaya moyoni, ndo sababu ya kuandika huu uzi.

Kama hunielewi kaa vuta picha vile vitoto vinavyosimamisha magari kuomba omba, na wengine wamama wanao omba uku wanawatoto mgongoni imagine maisha ya hao watoto je kulikua na ulazima gani kuwazaa, na unaona kabisa mazingira yako sio mazuri kukusupport full package ya malezi kwanini unaforce kitu kisichokua na ulazima kwa starehe zako binafsi!!!
Hii dunia ina mambo mengi mkuu! Kuna watu hata uwaelimishe namna gani kamwe hawawezi kukuelewa. Mentality za umaskini zimewajaa, hawafikili jinsi ya kujikwamua wao kwao bora siku ziende tu.
 
Asili ya binadamu ni furaha bila kujalisha mambo yanayotokea njee yako , cha kujifunza apo ni namna ya kuweza kuitunza furaha yako bila kuathiriwa na matokeo ya njee yako .
 
Back
Top Bottom