Birthday ya Kikwete na maoni ya wananchi

Birthday ya Kikwete na maoni ya wananchi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,880
Reaction score
828,445
Ridhiwani kapost picha mtandaoni akiwa na babaake na kumtakia birthday njema.. Maoni yaliyofuata ya wananchi yanaumiza na kufikirisha sana
IMG-20251008-WA0008.jpg
 
Ni Bora viongozi wa ccm na serikali mngejuzuia kuweka hadharani Raha na fahari zenu maana tunaishi au mnaishi Dunia tofauti na watanzania wengine nyie mna shibe wao wana njaa nyie mna amani wao wanatekwa. Mkumbuke a hungry man is an angry man.
 
Inaonesha kuna chuki kubwa sana kati yetu.

Na mbaya zaidi wenye uwezo wakutatua hilo wakiwemo viongozi wa kiserikali,vyama vya siasa,dini n.k nao wamekuwa sehemu yakuikuza chuki hiyo.

Kuna maumivu makubwa sana kwenye mioyo wa watu wengi na wanaona hawasikilizwi.

Tunahitaji tiba kabla hatujafika pabaya.Tunapaswa tuheshimiane ili tupendane.

Kila mtu aione haki upande wake japo kwa 70% katika maisha yake.
 
Mshana rafiki tumepotezana. Sikuwa najua kuwa kwenye simu ya mkononi Naweza kuipata JF.
Kunani zaidi hapa TZ maana nilikuwa nje ya mawasiliano.
Salama kabisa kaka mkubwa! Kuna JF mobile version! Yaliyomo ni mengi mno! Na muda hautoshi.. Its a race against time! Am not sure it we will make it📌
 
Back
Top Bottom