Nilikuwa najaribu kutimiza wajibu wangu tu wa kuwaepusha kama msamaria mwema.Maneno meengi.
Inaonekana unaumia kuliko Jakaya au wewe ni Bi.Salma ?
Mi ni kapuku tu kama wewe, utofauti wetu tu ni kuwa wewe umekuwa possessed na mashetani wakati Mimi Niko na akili huru......no wivu, no chuki, no fitina.Kwani wewe nani?
Kuna Siri kubwa sana katika yanayoehdelea nchi hii Sasa hivi.......jiulize tu vizuri. Fuatilia vema matusi kwa Samia pia, utagundua kitu. Watu wabaya sana na Wana mbinu nyingi kwelikweliMbona komenti zote ni walokole....
Hahahaahaaa! Pole sana. Nina amani tele kwa taarifa Yako. Nikionacho, mnaopata tabu ni nyie haters wake maana mnaumizwa Kila dakika na ustawi wake. Mtaendelea kukabiliwa na maumizu Hadi mtakapopata akili na kuukubali ukweli. Huko insta na TikTok wasemaji si ni nyie tu.....walewale mnajibishana wenyewe tu. Hata ingekuwa haters 2m, Bado ni idadi ndogo mnoooo kuwazidi tuliobaki tunaomtakia mema. Poleni sanaMshkaji katoa povu sio la kawaida. Atakua analala na maumivu sana. Bora huku jf, huko tiktok na onsta asiingie kabisa maana anaweza kufa kwa presha
Crocodile smileAnajali sasa. Anacheka tu na lile cheko lake!!
Hapana, vipi kwani?!!!Wewe ni mmojawapo wa hiyo familia ya Chikwete?
Mi ni kapuku tu kama wewe, utofauti wetu tu ni kuwa wewe umekuwa possessed na mashetani wakati Mimi Niko na akili huru......no wivu, no chuki, no fitina.
Yaani wewe ni mpumbavu kweli kweli, Bora ungekaa kimya tusingejua kiwango chako kikubwa hivi Cha upumbavu. Hivi hata unajua maana ya neno 'critical'?!!! Kupiga makelele tu na matusi kwa mtu bila maelezo ya maana na ya yasiyo na shaka huko ndo kuwa critical we kubwa jinga?!!🤣🤣🤣Mimi sio kapuku kama wewe, I live above the evarage. Tatizo lako unajiweka mbele kama kinembe wakati watu wanakuwa critical kwa rais mstaafu. Wewe ni nani uingilie kati na utwambie kuhusu Kikwete wakati alikuwa rais wetu kwa miaka 10? Unasema jealous, nikuulize tu, are you real for this?
Yaani wewe ni mpumbavu kweli kweli, Bora ungekaa kimya tusingejua kiwango chako kikubwa hivi Cha upumbavu. Hivi hata unajua maana ya neno 'critical'?!!! Kupiga makelele tu na matusi kwa mtu bila maelezo ya maana na ya yasiyo na shaka huko ndo kuwa critical we kubwa jinga?!!🤣🤣🤣
Alikuwa Raisi wenu nyie haters tu peke yenu Hadi unizuie Mimi kuzungumzia kwa mazuri?!! Kama mna haki ya kumtukana basi nasi pia tuna haki ya kumzungumza kwa mazuri. We kapuku, hakuna mtu mwenye mipango yake thabiti atakuwa anaongeaongea ujinga kama huu......walioendelea na kuelimika huwa hawapo hivi.
Kwa Hali hii, tusiokuwa watumwa wa wake wa ubelgiji tutaendelea kuwa mbele kama kinembe chako hicho kama ulivyosema......kuisemea na kuitetea kweli.
Huna akili na unaongozwa na mihemko.Wewe endelea kuuguza manesi tu, lakini usije hapa kutwambia kitu chochote kuhusu Kikwete, jamaa sijui ana IQ ngapi! Kuna speech alitoa na kusema, wazungu wana pesa nyingi ukiongea nao vizuri wanakusaidia. Is that the type of your president? Sasa hapo nani mtumwa wa wabelgiji? Dude done insane wrong to this country. Unajua UAE wana safari park yenye wanyama wa kutoka Tanzania? Kama mjomba ameuza receipt iko wapi? Mbumbumbu wewe
Huna akili na unaongozwa na mihemko.
Kama wewe ndiyo mfano Bora wa mtu aliyeenda shule, basi nashukuru mara 100 kwa kutoenda huko shule maana kuishia kwenye miserable life kama Yako hapana aisee.Nah bro! Mimi niko poa down to earth. Kitu nimegundua ni kwamba, you went to school but you're not educated like majority of Tanzanian brothers. Hujui kinachoendelea, unaishi kukariri tu kwasababu you're not conscious enough to understand what's up. Kwa kifupi wewe ni mbumbumbu