Birthday ya Kikwete na maoni ya wananchi

Birthday ya Kikwete na maoni ya wananchi

Kama wewe ndiyo mfano Bora wa mtu aliyeenda shule, basi nashukuru mara 100 kwa kutoenda huko shule maana kuishia kwenye miserable life kama Yako hapana aisee.

Knock yourself out. Huna la kutwambia kenge we
 
Knock yourself out. Huna la kutwambia kenge we
Na niwaambie nn kwanza malofa kama nyie; bakini na ulofa wenu wangese nyie......ila mkijitokeza saaaana kama hivi, basi mara Moja Moja si mbaya kuwakumbusha kuacha unaa. Mabwege nyie!

Nje ya mada:
Siasa ni kama mechi za mpira tu, let's be fair sometimes; karibu katika maandalizi ya sherehe ya ushindi wa 98% wa mama Samia Suluhu Hassan hapo mwezi oktoba.
 
Na niwaambie nn kwanza malofa kama nyie; bakini na ulofa wenu wangese nyie......ila mkijitokeza saaaana kama hivi, basi mara Moja Moja si mbaya kuwakumbusha kuacha unaa. Mabwege nyie!

Nje ya mada:
Siasa ni kama mechi za mpira tu, let's be fair sometimes; karibu katika maandalizi ya sherehe ya ushindi wa 98% wa mama Samia Suluhu Hassan hapo mwezi oktoba.

Ndio maana nikasema umeenda shule lakini huna elimu. Siasa si mpira na wala hakuna ushindi wowote kwasababu wanasiasa wenu wote butu. Ni magalasa kama nyinyi mashabiki zao, they don't know what they are fighting for na hawana sauti mbele ya wazungu. Unashangilia ushindi lakini mpaka 2025 huna medical insurance, umeshinda nini? Labda ushinde njaa tu
 
Ndio maana nikasema umeenda shule lakini huna elimu. Siasa si mpira na wala hakuna ushindi wowote kwasababu wanasiasa wenu wote butu. Ni magalasa kama nyinyi mashabiki zao, they don't know what they are fighting for na hawana sauti mbele ya wazungu. Unashangilia ushindi lakini mpaka 2025 huna medical insurance, umeshinda nini? Labda ushinde njaa tu
Ila sijaenda shule Mimi kiongozi, hilo nalataa. Nina elimu Dunia tu ya mitandaoni humu.
 
Ila sijaenda shule Mimi kiongozi, hilo nalataa. Nina elimu Dunia tu ya mitandaoni humu.

Kwenda shule na kuelimika ni vitu viwili tofauti. Social media, TV, books, magazines etc vinaweza kukufungua macho ukaacha kuabudu wanasiasa mambulula kama Kikwete
 
IMG-20251010-WA0040.jpg
 
Hivi tumefikaje hapa, alikuepo mkapa, Mwinyi, Nyerere na sio kwamba walikua hawana mapungufu, ila hii chuki kwa mzee kikwete inatisha sana,

Mzee nimshauri kujitokeza may be na kuwaomba msamaa watatz kwamba pale watz wanahisi amewakosea yaishe na tuanze upya .

Mzee nimuombe sasa kuwa upande wa wananchi ,hii kiukweli sio afya kwa Mzee wetu na taifa kwa ujumla
Ndio kwanza katoka jana kwa kuwapa vijembe wananchi. Yani yeye na Bi Dada wako kwenye battle na wananchi. Badala ya kujinyenyekeza, ndio kwaanzaaa wanachambana na wananchi. Ndio maana watu wanalalamikia viongozi wa Kiislam kuwa na matatizo. Sijui ni uswahili mwingi. Hawa wamejua kutuaibisha Waislam wenzao.
 
Ndio kwanza katoka jana kwa kuwapa vijembe wananchi. Yani yeye na Bi Dada wako kwenye battle na wananchi. Badala ya kujinyenyekeza, ndio kwaanzaaa wanachambana na wananchi. Ndio maana watu wanalalamikia viongozi wa Kiislam kuwa na matatizo. Sijui ni uswahili mwingi. Hawa wamejua kutuaibisha Waislam wenzao.
Mkuu inasikitisha sana
 
Hivi tumefikaje hapa, alikuepo mkapa, Mwinyi, Nyerere na sio kwamba walikua hawana mapungufu, ila hii chuki kwa mzee kikwete inatisha sana,

Mzee nimshauri kujitokeza may be na kuwaomba msamaa watatz kwamba pale watz wanahisi amewakosea yaishe na tuanze upya .

Mzee nimuombe sasa kuwa upande wa wananchi ,hii kiukweli sio afya kwa Mzee wetu na taifa kwa ujumla
Ikiwa JPM alifariki na watu wakafurahi, basi kwa huyu mzee watu watafanya sikukuu.

Mzee anachukiwa kwa viwango vya juu sana.
 
Wewe endelea kuuguza manesi tu, lakini usije hapa kutwambia kitu chochote kuhusu Kikwete, jamaa sijui ana IQ ngapi! Kuna speech alitoa na kusema, wazungu wana pesa nyingi ukiongea nao vizuri wanakusaidia. Is that the type of your president? Sasa hapo nani mtumwa wa wabelgiji? Dude done insane wrong to this country. Unajua UAE wana safari park yenye wanyama wa kutoka Tanzania? Kama mjomba ameuza receipt iko wapi? Mbumbumbu wewe
Enzi zake kashfa za pembe za tembo, ufisadi JWTZ wa trilion 3 za Shimbo kule South Afrika na kila aina ya uchafu vilikithiri sana.

Huyu mama alivyopokea kijiti yamkini kuna baadhi ya maeneo angejishikilia kidogo kujidhibiti yeye na mwenendo wa serikali ila sasa nyuma ya pazia kuna Kikwete, hapo ndipo Taifa likapotea tena kwa mara ya pili.
 
Inaweza isiwe hiyo october 29, ila maandamano makubwa yatatokea kabla ya 2030.

Majuzikati mwendokasi zilibondwa, jana kuna boda walifunga barabara magomeni kisa askari alichomoa funguo ya boda mwenzao. Foleni kama yote, mwisho wa siku funguo ikarudishwa.

Watu wameshaona kufanya maandamano ya namna yoyote wanapata wanachotaka.

Wanasiasa hasa ngazi za juu waache kujilimbikizia mali, from top to bottom watu wanajipigia tu.
Uwezekano wa tarehe 29 maandamano kudhibitiwa ni mkubwa kiasi chake ila ipo siku tu before 2030 kitakuja kuwaka haswa.

Ni bora mama samia angejiepusha na huu mzigo huko mbeleni.
 
Ndio kwanza katoka jana kwa kuwapa vijembe wananchi. Yani yeye na Bi Dada wako kwenye battle na wananchi. Badala ya kujinyenyekeza, ndio kwaanzaaa wanachambana na wananchi. Ndio maana watu wanalalamikia viongozi wa Kiislam kuwa na matatizo. Sijui ni uswahili mwingi. Hawa wamejua kutuaibisha Waislam wenzao.
Unajua mkuu unaweza ukajiuliza, mtu kama Kikwete, Samia n.k wao na familia zao zina fedha kiasi gani, tamaa tena za madaraka na pesa haziwatoshi tu? Afrika ni kama tuna laana nzito kweli.
 
Uwezekano wa tarehe 29 maandamano kudhibitiwa ni mkubwa kiasi chake ila ipo siku tu before 2030 kitakuja kuwaka haswa.

Ni bora mama samia angejiepusha na huu mzigo huko mbeleni.
Yaah kabisa mkuu, ila huko tuendako kama bado kutakua na tension ya haya maandamano basi tutegemee watu kutekwa zaidi, kuuawa zaidi na wenye ushawishi kulipwa zaidi.
 
Back
Top Bottom