Troyes
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 1,283
- 1,026
Duh mwanaume beautiful afu mwanamke handsome
Duh mwanaume beautiful afu mwanamke handsome
Daaah! nimecheka sana ndugukuna watu wanazaliwa hadi wanakufa hawajawahi kuonja shida..
wanaziskia tuu shida shida hawajui hata zinafananaje.
na ahera ukienda unaona wanaingia peponi we unatupwa motoni
Alishaolewa,ndoa ilishafungwa naigeria last year!Binti pekee wa mhubiri wa kimataifa wa Naijeria, Temitope Joshua almaarufu TB Joshua, anafunga ndoa jumamosi hii tarehe 8/5/2021 jinini Arusha.
Binti huyo ajulikanae kwa jina la Serah anaolewa na kijana wa kichaga anaeitwa Brian Moshi. Ndoa itafungiwa kanisa la RC- Unga Limited na kufuatiwa na tafrija ya kukata na shoka pale AICC. Bado haijajulikana kama TB Joshua atahudhuria harusi hiyo, na pia hatujajua kama itakua na bia au ni mwendo wa nyuki.
Kwa sheria za kikatoliki, monde ni part and parcel ya tafrija na hasa ukizingatia kabila la muoaji. Wote mnakaribishwa.
Ilishafungwa last yearNaunga Mkono Hoja
Isijekuwa Kuwa Kama Ccm Kirumba ☻
Wabongo mnaenda nigeria mnafata maombi na vibumbu 🤣🤣🙌🏽
kabla ya kupost muwe mnauliza kwanza!!Binti pekee wa mhubiri wa kimataifa wa Naijeria, Temitope Joshua almaarufu TB Joshua, anafunga ndoa jumamosi hii tarehe 8/5/2021 jinini Arusha.
Binti huyo ajulikanae kwa jina la Serah anaolewa na kijana wa kichaga anaeitwa Brian Moshi. Ndoa itafungiwa kanisa la RC- Unga Limited na kufuatiwa na tafrija ya kukata na shoka pale AICC. Bado haijajulikana kama TB Joshua atahudhuria harusi hiyo, na pia hatujajua kama itakua na bia au ni mwendo wa nyuki.
Kwa sheria za kikatoliki, monde ni part and parcel ya tafrija na hasa ukizingatia kabila la muoaji. Wote mnakaribishwa.
Tbjoshua?Jamani ehh mi nataka kuonana na huyu mzee..nani atanisaidia?
Duh,alikaa liniBinti kawaogopa wapopo wenzie. TB Joshua mwaka huu kakaa sana Bongo tangu msiba wa mwendazake inaonesha anapapenda
Ilishafungwa, ndo nawashangaa!Kwani si tayari ni wanandoa hao toka Desemba 2020?
Au ndio yale mambo wa wapopo unakuta kuna ndoa kama mbili, ya kimila na nyingine ya church!
Dah umefika mbali sana weyekuna watu wanazaliwa hadi wanakufa hawajawahi kuonja shida..
wanaziskia tuu shida shida hawajui hata zinafananaje.
na ahera ukienda unaona wanaingia peponi we unatupwa motoni
AkamuhibaYa nini? Usije ukamuiba
Huyo jombaa si type ya Ben pol...kijana kwao wanamawe jooYa Bernard Poul (BenPol) Ndiyo Haya Sasa ☻☹😏☻☹
Hii umesema ukweli mkuu.utatumwa Kama mtt na wadogo zako. Na ndo Mana mchaga hanaga utu. Ukimuona mchaga Ana urafiki na chasaka Kuna kitu anakitafuta na sio bure. Hata wale wachaga wasio na pesa kampani yao huwa ni vyasaka na vishoia hadiriki kwenda kwao Mana ni aibu ataambuliahiyo sisi wachaga huwa hatuangalii kabsaa..
karibu milimani krismass moja uje ujionee ukiwa hauna pesa unachukuliwaje??!!afu ukute wee ndo kaka mkubwa madogo zako ndo tuna kimango utapata tabu sana
Kuna Kama kaukwelli.huyo jamaa alifaa kuwa duu ingekuwa ni poa Sana basi tu. Angekuwa boarding schools sijui ingekuwajeDuh mwanaume beautiful afu mwanamke handsome
Kiswahili gani hicho kumuHiba!!!!! Ni akamuiba. Hivi shule huwa mnajifunza ujinga?Akamuhiba
Hebu waambie wasikie wanadhani ni mariooDuuuu wanamtaa tulijua n umbea kumbe kwelii...
Naona watu wanamchukulia poa kijana kwao wanaogea pesa.