Binti wa TB Joshua kuolewa Arusha

Binti wa TB Joshua kuolewa Arusha

Kwani si tayari ni wanandoa hao toka Desemba 2020?

Au ndio yale mambo wa wapopo unakuta kuna ndoa kama mbili, ya kimila na nyingine ya church!

IMG-20201215-WA0008.jpg
 
Mbona mzigo wa kawaida sana, kama Wanaija wenyewe wameususa pamoja na mimali yote hiyo basi huyu meku atakuwa ameona fursa, ila asisahau ya Ben Paul, kuolewa na mtoto wa kishua jua ndugu zako pamoja na wazazi wako watakuwa kama mashamba boy tu.
Binti kawaogopa wapopo wenzie. TB Joshua mwaka huu kakaa sana Bongo tangu msiba wa mwendazake inaonesha anapapenda
 
Mbona mzigo wa kawaida sana, kama Wanaija wenyewe wameususa pamoja na mimali yote hiyo basi huyu meku atakuwa ameona fursa, ila asisahau ya Ben Paul, kuolewa na mtoto wa kishua jua ndugu zako pamoja na wazazi wako watakuwa kama mashamba boy tu.
hiyo sisi wachaga huwa hatuangalii kabsaa..
karibu milimani krismass moja uje ujionee ukiwa hauna pesa unachukuliwaje??!!afu ukute wee ndo kaka mkubwa madogo zako ndo tuna kimango utapata tabu sana
 
Huyo mchagga yupo very strong ameweza kimdabua mrembo katikati ya madhabahu ya mtu anayeogopewa dunia nzima kuwa ana nguvu za ajabu na kumpeleka kwenye kanisa lisilofanya miujiza ?

Hapo bongo wenzake wanahongwaga wenye asili ya uarabuni na kufuata dini za wake zao
 
Huyu muoaji namjua kwao mambo safi,wala hawana njaa..babake na mamake huwa wanafuatana kama Chai na sukari ibadani, kila MTU anavutiwa nao kwakweli ile ndoa kwa nje ni mfano sijajua kwa ndani ,wako Ungalimited Arusha parokia ya moyo safi wa maria huyu mama anakuwa kama ana asili Fulani au alichanganya damu ya kizungu ni mweupe pee anatupia viwalo balaa mke ya Rais weka pembeni...kuna na binti yao ni kisu hatare yaani wale wa kuogopwa...Mama ni mwekahazina wa parokia....huyo mama aliyevaa kofia ya malkia Elizabeth ndio mama wa kijana baba wa kijana huyo ambaye hajavaa suti nyeusi kwenye cake acheni wivu jamaa yuko njema.
Daah!!! Hatere...naifaham hii familia
 
Mbona mzigo wa kawaida sana, kama Wanaija wenyewe wameususa pamoja na mimali yote hiyo basi huyu meku atakuwa ameona fursa, ila asisahau ya Ben Paul, kuolewa na mtoto wa kishua jua ndugu zako pamoja na wazazi wako watakuwa kama mashamba boy tu.
Chalii mwenyewe wakishua
 
Back
Top Bottom