Binti Mariam

Binti Mariam

Dah, hata mimi mawazo yalienda kulekule kwenye post ya AmKATRINA. Halafu siioni tena sijui imeondolewa!

Anyway, ngoja niende kwenye mada husika. Kwanza inaonekana kama hamkuwa serious sana wewe na huyo mchumba wako Mary. Ilikuwa inatakiwa immeadiately baada ya kufahamu kuwa kaka yako na dada pendo wameanzisha mahusiano na wewe wakati ule ulitakiwa either uongee na kaka yako kuhusu mahusiano yako na mary au wazazi wenu ili muafaka ungepatikana kabla hawajafikia hatua ambayo wamefikia sasa. Ila don't give up kiurahisi hivyo, fanya ufatiliaji kuhusu mila pamoja na mamho ya dini kama yanaruhusu wewe kuoa tena kwenye ukoo huo. Kwa upeo wangu mdogo SIONI TATIZO wewe kuendelea na mary, kama mtoto wa shangazi na mjomba wanaoana sembuse nyie? Embu chukua hatua na ulifanyie utafiti wa kina shirikisha watu wazima walio karibu na familia yako na mary ashirikishe watu wa familia yake. Ikionekana kuna pingamizi then dio muachanane.

Asikwambie mtu kuanzisha mahusiano mapya na mpaka ikafika mahali ukamkubali mwenzako kama wewe kwa mujibu wa maelezo yako ulivyomkubali mary ni NGUMU sana hasa kwa kipindi hiki cha digitali.
 
Mkuu Mentor, kwetu sisi tuliokulia kijijini huku tukichunga ng'ombe, "tuliaminishwa/tuliambiwa ya kwamba ng'ombe akinywa maji sehemu mara moja, kamwe hawezi kuisahau hiyo sehemu." Ni kwa msingi huo nauona ugumu wako wewe na aliyekuwa mwenzako kwa muda huo Mary, hakuna kati yenu anayeweza kusahau maisha yenu mliyopitia, hasa ikizingatiwa kuwa mmetenganishwa/mmetengana pasipo nyinyi kuwa na tatizo lolote baina yenu wenyewe.

Mwisho napata mashaka kama kila mmoja akiendelea na maisha yake na baadaye kwenye mahusiano mambo yatakapokwenda ndivyo sivyo majuto yake ni makubwa sana, na haitakawia hata kufikia uamuzi wa kuvunja hayo mahusiano mara tu atakapokuwa anakumbuka na kujenga hisia ya kule alikowahi kunywa maji mazuri kama sio matamu.

Sijui lakini, ila Mary aliposema abebe mimba yako ilikuwa ni njia sahihi ya yeye kuendelea kumiliki na kunywa maji yake mwenyewe aliyokuwa amejichagulia tangu utotoni kitu ambacho hakika ni very rarely kutokea, kwa marafiki wa toka utotoni kukua pamoja, kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na hadi ndoa.

Nimalize tu pasipo ushauri wowote wa maana zaidi ya kusema follow your heart.
 
Mke mwema hupewa na mungu....ndiyo amekupa hivyo......ni mtihani chanya...sababu kidini hakuna dhambi kuoa familia moja..ila ni baraka!!! hata kama kimila haikubaliki ,mungu yupo juu ya yote!!!sasa kama unamuamini mungu hiyo haiukuzuii lakini kama umegubikwa na ubinadamu na mambo ya kimila nk then shetani atakusumbua!...na believe me hilo ndiyo chaguo la mungu.,.amini nakuambia utamangamanga hauntompata mke wako mwema milele!
 
Pole sana ndg Mentor, ila kale kausemi ka "Pema usipapo pema sipo pema tena" ndiyo kametimia faster, sasa yakupasa kugugumia maumivu japo ni makali na utumie uzoefu ulioupata kwa binti Marry kupata mwanamke mwingine wa haja. Mimi yalinikumba wakati naoa niliposikia huenda tuu ndugu ila wazee wakaproof wrong ila inasumbua kichwa mkuu. Take it easy
 
Ngoja nikapitia na sred za CHAI CHUNGU
Maana ndio alileta haya

Pole Mentor
 
Last edited by a moderator:
Mentor sidhani kama ndo umefikia mwisho wa safari hapo. Chunguza kama hakuna mwiko wowote wa kimila au kwenye familia yenu bado nafasi ipo kumuoa umpendaye. Sidhani kama ushemeji una kikwazo chochote aise mradi sio mke wa kaka ---- ni dada yake na mke wa kaka yako sidhani kama kuna kizuizi aise kama bado wampenda Mary
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mie sion kama kuna tatizo kumbuka Mary ni shemeji tu na siyo ndugu,Pia kumuoa Mary utaongeza mapenz na mtaziunganisha familia hizo mbili vizur zaid.Kama unasema kuna mzee alikwambia ungetaka kumuoa Mary ilipaswa muoe siku moja bas kumbe inawezekana.Nibahat kubwa sana kuwa na mahusiano ya hivyo haupaswi kujuta mtaish kwa upendo wa ajabu hata watoto wenu pia.[Pia nimezipenda sifa za Mary ukiamua kukata tamaa naomba nimooe mimi]joking

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
......mhhh vifua vinabeba mazito!!! pole sana mdogo wangu Mentor.
Hebu niulize, ni kwamba hairuhusiwi kuoa ukoo mmoja? kwa vipi?
nijuzeni nisije fanya madudu mie.

Kuna Wazee fulani hivi tena wasomi wa nguvu tu (mtu na mdogo wake) wameoa nyumba moja na mama nao ni tena wasomi (mtu na dada yake). Wazee ni Wapare na akina Mama ni Wanyalukolo (Iringa huko) na watoto zao wako karibu mno.
 
Ilikuwa kama ndoto..I still don't believe this has hapenned! bado siamini...natamani niamke kutoka kwenye usingizi huu...:smash::smash::smash::faint::boom::disapointed::crutch::rant:
 
Mkuu mie sion kama kuna tatizo kumbuka Mary ni shemeji tu na siyo ndugu,Pia kumuoa Mary utaongeza mapenz na mtaziunganisha familia hizo mbili vizur zaid.Kama unasema kuna mzee alikwambia ungetaka kumuoa Mary ilipaswa muoe siku moja bas kumbe inawezekana.Nibahat kubwa sana kuwa na mahusiano ya hivyo haupaswi kujuta mtaish kwa upendo wa ajabu hata watoto wenu pia.[Pia nimezipenda sifa za Mary ukiamua kukata tamaa naomba nimooe mimi]jokin

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Duh! Yaani kusema hiyo kauli umeikopa kutoka mdomoni mwangu vile Mzee...Tofauti ni kuwa kwangu mii huu si mzaha🙂
 
Ilikuwa kama ndoto..I still don't believe this has hapenned! bado siamini...natamani niamke kutoka kwenye usingizi huu...:smash::smash::smash::faint::boom::disapointed::crutch::rant:

Beba Marry wako na wewe oa kwani kosa lipo wapi,inavyoonesha utaendelea kujuta na kuona kila mwanamke utakae kaa nae hatofit kama Mary unavyomuona anafaa.Jingine unaweza kuwa na mke mwingine akawa na katabia kadogo tu ka ajabu unaweza kujikuta unapoteza ladha ya mahusiano kwa kulinganisha wanawake na Marry wako.So chukua hatua kaka Mentor
 
Last edited by a moderator:
sasa kamanda Mentor ulimgegeda mary hata kama hukumuoa basi siku nafasi ikipatikana omba rematch mkumbushie, kwani kuna ubaya.........?
 
Last edited by a moderator:
mkuu mbona mi sioni tatizo? waweza tu kumuoa mary. mtu na kaka yake mnaweza kuoa nyumba moja. sijui wadau mnasemaje
 
Iko hivi Mr Rocky pale kwetu (kijijini) kuna miaka ya 80s ndugu waliamua kuoa kwenye familia moja,
haikuwa kesi kama ya Mentor ila baada ya kaka kupata mke akamshauri na mdogo wake kwenda kuoa mdogo mtu. Kweli baada ya miaka kadhaa wakiwa huko huko uliko sasa hivi tena wakiwa kwenye kilele cha utajiri siku moja wanaenda kwenye harusi walipata ajali na wakafa wote wanne on the sport; watoto walihangaika sana japo kwa sasa yule mkubwa ameshahitimu chuo kwa msaada wa wasamaria wema as ndugu walisomba kila kitu chao, so Mentor akubaliane na kaka yake ili mmoja aendelee na mzigo mwingine aanze japo mwanzoni wataendelea kuvunja amri za Bwana.

Mentor sidhani kama ndo umefikia mwisho wa safari hapo. Chunguza kama hakuna mwiko wowote wa kimila au kwenye familia yenu bado nafasi ipo kumuoa umpendaye. Sidhani kama ushemeji una kikwazo chochote aise mradi sio mke wa kaka ---- ni dada yake na mke wa kaka yako sidhani kama kuna kizuizi aise kama bado wampenda Mary
 
Last edited by a moderator:
Mimi sioni ubaya wewe na kaka yako kuoa family moja, mimi nafikiri kama kweli mmependana na bado mpo single go ahead kuoana na ndoa hii itakuwa na furaha zaidi na wazazi watapendana zaidi kama family moja. I suggest go ahead
 
Mentor,

Pole sana , yamekukuta ya muazima jamvi.

wewe umefika umeanza aliflelaulela mwenzako kaja kachukua jamvi kaenda.
 
Ukiskia majanga ndo haya jaman,hata mi naona usaliti wa live but be brave ongea na elders kama haina effect yeyote ingawa mi sioni then we na marry go ahead as long as ni mtu ulishamridhia,fight for your santa brother!!!
 
Hili suala naliona ni dogo sana,kwa mila zetu za kiafrika nimeshaona jamii nyingi watu wameoa/kuolewa nyumba moja tena hata ikitokea kati ya wale wanandoa mmoja wapo akafariki watoto hulelewa vizuri zaidi na mama/baba mkubwa/mdogo endapo watachukuliwa na kuishi na familia iliyobaki,as hujihisi wako na baba na mama yao kabisa(nimeona kwa macho yangu). To me nashauri acha huu upepo huu upite(kaka yako aoe),punguza stress halafu jipange kumuoa Mary kwa sheria za dini yako. Ukisikiliza watu hutafanya jambo lolote hapa duniani maana watu tuna asili ya ku-critisize kila jambo.
 
Siielewi hadithi yako, naamini ni ya kutunga maana haifai kuanika undani wa watu kwa majina yao halisi kiasi hiki. Sidhani kama una ridhaa ya huyo Mary na familia yake ya kuwaanika humu. Lakini vyovyote, hakuna zuio lolote la kisheria wala kidini (kwa majina naona kama ni wakristo) kuoa katika familia ambako kakako pia kaoa.
 
Back
Top Bottom