Baba Fed amemuoa mkwe wake chap baada ya Fed kumuacha

Baba Fed amemuoa mkwe wake chap baada ya Fed kumuacha

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,124
Reaction score
138,142
mwananchi_official_add0b37c943e4167bcef74ae62199655.jpg

Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Klarensi Usakazi (86), mkazi wa Kitongoji cha Mbisi, Tarafa ya Chipanga, Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, aliyeamua mtalaka wa mtoto wake ‘mkamwana’ aitwaye Mary (20) baada ya wazazi wake kudai kutokuwa na uwezo wa kurudisha mahari.

Hata hivyo, Mary anakuwa mke wa nane kwa Usakazi, wakiwamo wengine watatu wa familia moja ‘pacha’, ambao anadai kufurahishwa na tabia ya ukoo wao hadi kufikia uamuzi wa kuwaoa.

Usakazi mwenye ukwasi wa mifugo karibu kila eneo la Tarafa ya Chipanga alimuoa Mary Chaina (20) kupitia ndoa halali ya kimila iliyofanyika Januari 25, 2024, baada ya kuolewa na Fredrick ambaye ni mtoto wake.

“Ni kweli alikuwa mke wa mtoto wangu Fed (Fredrick), lakini waliishi mwaka mmoja na wakaanza kusumbuana. Mimi nikaona bora nimuoe ili kijana akatafute mke mwingine anayempenda na alifanya hivyo. Nikalipa mahari,” amesema.
 
View attachment 3631819
Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Klarensi Usakazi (86), mkazi wa Kitongoji cha Mbisi, Tarafa ya Chipanga, Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, aliyeamua mtalaka wa mtoto wake ‘mkamwana’ aitwaye Mary (20) baada ya wazazi wake kudai kutokuwa na uwezo wa kurudisha mahari.

Hata hivyo, Mary anakuwa mke wa nane kwa Usakazi, wakiwamo wengine watatu wa familia moja ‘pacha’, ambao anadai kufurahishwa na tabia ya ukoo wao hadi kufikia uamuzi wa kuwaoa.

Usakazi mwenye ukwasi wa mifugo karibu kila eneo la Tarafa ya Chipanga alimuoa Mary Chaina (20) kupitia ndoa halali ya kimila iliyofanyika Januari 25, 2024, baada ya kuolewa na Fredrick ambaye ni mtoto wake.

“Ni kweli alikuwa mke wa mtoto wangu Fed (Fredrick), lakini waliishi mwaka mmoja na wakaanza kusumbuana. Mimi nikaona bora nimuoe ili kijana akatafute mke mwingine anayempenda na alifanya hivyo. Nikalipa mahari,” amesema.
Hapa duniani yapo maajabu mengi sana ila wagogo funga kazi
 
Waislamu ni watu wa ajabu sana, mtume Muddy pia aliyafanya haya,

Surah Al-Ahzab (33:37). Humo Allah anasema wazi kwamba Mtume Muhammad aliozeshwa Zaynab bint Jahsh baada ya talaka yake na Zayd ibn Harithah.

Muddy anadai kuwa "Na kumbuka ulipomwambia yule ambaye Allah amemfanyia wema na wewe pia ukamfanyia wema: ‘Shikilia mke wako na mche Allah,’ na huku ukificha ndani ya nafsi yako jambo ambalo Allah atakalifichua. Na ulikuwa unawaogopa watu, lakini Allah ndiye anayestahiki zaidi kuogopwa. Basi Zayd alipoacha haja yake kwake, tulikuoza kwake, ili wasiwe na tabu Waumini kwa wake wa watoto wao .”

Hivyo Quran pamoja na Muddy kwao ni rukusa kuoa mabinti wa vijana au watoto wao.
 
Waislamu ni watu wa ajabu sana, mtume Muddy pia aliyafanya haya,

Surah Al-Ahzab (33:37). Humo Allah anasema wazi kwamba Mtume Muhammad aliozeshwa Zaynab bint Jahsh baada ya talaka yake na Zayd ibn Harithah.

Muddy anadai kuwa "Na kumbuka ulipomwambia yule ambaye Allah amemfanyia wema na wewe pia ukamfanyia wema: ‘Shikilia mke wako na mche Allah,’ na huku ukificha ndani ya nafsi yako jambo ambalo Allah atakalifichua. Na ulikuwa unawaogopa watu, lakini Allah ndiye anayestahiki zaidi kuogopwa. Basi Zayd alipoacha haja yake kwake, tulikuoza kwake, ili wasiwe na tabu Waumini kwa wake wa watoto wao .”

Hivyo Quran pamoja na Muddy kwao ni rukusa kuoa mabinti wa vijana au watoto wao.
Unaona kabisa jina limeandikwa mary wewe unawasemea waislam vichwa vingine banah..
Hao ni wagogo kawaida kabisa kuwa na wake hata kumi.
Sasa mgogo na uislam wapi na wapi.
Mgogo ni kama jamii ya kisukuma bila kujali uwepo wa dini lakini wao kuwa na wake wengi ni jadi yao.
Muwe mnafatilia mambo kuliko kufunga vichwa.
 
Labda ni suna, mtume Muhammad alimuoa mtalaka wa mtoto wake pia.
Unaona kabisa jina limeandikwa mary wewe unawasemea waislam vichwa vingine banah..
Hao ni wagogo kawaida kabisa kuwa na wake hata kumi.
Sasa mgogo na uislam wapi na wapi.
Mgogo ni kama jamii ya kisukuma bila kujali uwepo wa dini lakini wao kuwa na wake wengi ni jadi yao.
Muwe mnafatilia mambo kuliko kufunga vichwa.
 
Back
Top Bottom