Binti Anayedai kubakwa na Kapuya

Binti Anayedai kubakwa na Kapuya

Yaani Mkuu
mijitu kama hii inakera sana ila naamini nyonyoni mwao hawa watetezi wa kapuya nafsi zao zinakiri na kuwasuta

Mwisho wa siku ukweli utabaki pale pale kapuya ni m“bakaji

Hawa wajinga mioyo yao imetiwa ganzi kutokana na tamaa za pesa, hawana utu tena. wamebaki kuwa binadamu tu.. A disgrace to the human race..
 
Kapuya kwa kumtishia kumuua hilo ni kosa la jinai. Pia Kapuya hana moral authority kwakuwa atakuwa alitembea naye. Ila ninachosema huyu binti Amina siyo mwanafunzi, na hana miaka 16. Ni mtu mzima na ameolewa na wanamtoto mmoja. Sasa ninachoshindwa kuelewa huyo mume huwa anayachukuliaje haya matukio ya huyu mke? Ila kwenye kesi ya rafiki yangu, huyu mme alitusaidia sana maana alijileta mwenyewe mahakamani kutoa ushahidi.

huyo Amina wa zaidi ya miaka 16 ni wako. sisi tunamuongelea aliyebakwa na Alhaj .ana miaka 16 na ni mwanafunzi. Kama na huyo Amina mwenye mume naye ni demu wa Alhaj basi hivo unairemba cv ya Alhaj. prof. mheshimiwa mbunge
 
Kwa hiyo rafiki yako na kapuya wameshare k moja? Walah hii grid inayounganishwa tutapona kweli?
 
Wacha kutudanganya kwa mambo ya kusikia. Wewe na Le Mutus mmeandikiwa na hata bila ya kusoma mkatubandikia mkaacha alama ya shaka. Kwa mtu mwenye akili na mjanja ambaye angeamua kufanya utafiti angeanzia shule anayosoma huyu binti. Akipata uhakika kuwa hayupo, basi anatuwekea clip hapa yenye mahojiano na mkuu wa shule, diwani wa Sinza na binti wa diwani huyo.

Nyie mnatuwekea ushahidi uliosikia tena inawezekana umeambiwa na Kapuya!!!!

Hata hivyo hata kama huyo mama kama ni mwongo ila bado kapuya atakuwa alilala naye halafu akamtishia maisha na kujitangazia uwaziri mkuu.
 
Hizi njaa zitawafanya mpaka muwauze wazazi wenu kama si ninyi wenyewe kuuzwa. Kwa shilingi ngapi ulizopewa hadi kukurupuka na uharo huu?

Nenda kafie mbele huko

Hata yeye mwenyewe atajiuza
 
Wanajamvi, nimefanya utafiti wakina kuhusu huyu binti. Kisa cha kufanya utafiti huu ni baada ya kuona maelezo yanayotolewa humu jamvini kuhusu huyu yanafanana kabisa na binti aliyemsumbua sana rafiki yangu mwaka jana. Nimefikia hata hatua ya kuuliza huyo binti umbo lake likoje.

Binti huyu aliwahi kuishi nyumba ya familia ya rafiki yangu mwaka 2011. Ni binti mwembamba na mweusi. Jina alilotumia ni Amina. Na alisema ni mtoto yatima na ansoma Sekondari huko Songea. Rafiki yangu alimpeleka hadi nyumbani kwa mama yake Kigamboni. Akidhani anamsaidia mtoto yatima. Binafsi nimewahi kumkuta pale nyumbani kwa mama wa rafiki yangu na katika maelezo yake alisema kuna mtu yupo jela kifungo cha miaka 30 kwa kosa la kumbaka.

Wanajamvi, huyu binti alileta sokomoko pale Kigamboni kwa mama wa rafiki yangu, na details zake zipo polisi kigamboni, central na polisi Chang'ombe.

Ni binti hatari. Ana mtoto mmoja na anamume. Kama siyo mumewe kujakutoa ushahidi mahakamani, basi rafiki yangu angefungwa
.
Kosa alilofanya rafiki yangu ni kulala na huyo binti. Hivyo basi kwakuwa Kapuya kalala naye basi kazi kwake.

Pale central police anafahamika kwani alishamtapeli hata mama Salma Kikwete. Yaani, Kapuya ajitahidi ampeleke tu pale Central Police basi kesi itaisha.

Kwakuwa binti mwenyewe ni huyu, basi hili jambo tulipe muda tu ukweli utajulikana muda mfupi. Mwisho naomba vyombo vya kutetea haki za binadamu, visaidie baada ya ukweli ukiwa wazi, basi wafuatilie yule aliyefungwa kwa kosa la kumbaka huyu binti atakuwa alionewa tu. Jamani binti huyu ni hatari, mengi sikutaka yaweka wazi ili nisimvue nguo rafiki yangu. Ila ushahidi ukihitajika nipo tayari kumleta huyu aliyesumbuliwa na binti huyu tapeli.

Mkuu katika post yako dhamira kuu ni kumsafisha Pro. Kapuya, ila pole kwani umeshafeli kwa mawazo mepesi uliyoyaleta kwa Magreat Thinker.
Hapo kwenye BLUE umeonyesha udhaifu wako. Kwani huyo binti kwa taarifa rasmi ni mwanafunzi aliyekuwa anasaidiwa na Pro. Kapuya na hajawai kuolewa na wala hana mtoto. Na inawezekana vipi umwite Binti na huku unajua kuwa ameolewa na anamtoto? (ubinti hapo uko wapi)
Hapo kwenye RED ebu funguka amefanya utapeli upi? maana utataka tupeleke mawazo mbali na ata kuhisi kuwa huyu binti wapo pia waku wa juu ya Kapuya washatenda dhambi juu ya huyu binti mdogo.
Mwisho atakama ulichokiandika kingekuwa ni ukweli kisingewedha kumsafisha Pro. Kapuya kwa sababu kwa umbri na wadhifa wa Pro. Kapuya apaswi kufanya bdhambi kama hiyo na binti sawa na mjukuu wake.
HIKI NI KITENDO CHA AIBU NA KILA MTU ANAPASWA KUKIKEMEA
 
Cha kujiuliza pia ni kwa nini mpaka sasa hautujui kesi imefunguliwa wapi lini na.mahakama gani na japo namba. Halafu baada ya kuachana nayo kwa nini kina mama na taasisi zao hawajanyanyua ukope!!!!!
ni jambo la kujiuliza kweli kweli kwenye jambo kama hilo wamemshtaki mizengo pinda kwa kauli tu!sembuse hili ?!! Labda kuna jambo wamelifahamu,pia sisi wana jf tusipende kukashifu au kupinga tu, tukipewa taarifa mpya juu ya suala hili au lolote lile ambalo wapo watu wanalolifahamu vyema,pia akili za kuambiwa changanya na zakwao,jambo zuri kupinga hoja kwa hoja sio kwa kashfa au matusi.
Asanteni kwa kunisoma.
 
Cha kujiuliza pia ni kwa nini mpaka sasa hautujui kesi imefunguliwa wapi lini na.mahakama gani na japo namba. Halafu baada ya kuachana nayo kwa nini kina mama na taasisi zao hawajanyanyua ukope!!!!!

Wakose soko!!! Chezea waziri mkuu ajae.
 
Hawa wajinga mioyo yao imetiwa ganzi kutokana na tamaa za pesa, hawana utu tena. wamebaki kuwa binadamu tu..

Hatari hii maana research yenyewe haina kichwa wala miguu ila kwasababu ya pesa basi yuko tayari kutunga chochote ili amlinde mtu wake
 
Wacha kutudanganya kwa mambo ya kusikia. Wewe na Le Mutus mmeandikiwa na hata bila ya kusoma mkatubandikia mkaacha alama ya shaka. Kwa mtu mwenye akili na mjanja ambaye angeamua kufanya utafiti angeanzia shule anayosoma huyu binti. Akipata uhakika kuwa hayupo, basi anatuwekea clip hapa yenye mahojiano na mkuu wa shule, diwani wa Sinza na binti wa diwani huyo.

Nyie mnatuwekea ushahidi uliosikia tena inawezekana umeambiwa na Kapuya!!!!

Hata hivyo hata kama huyo mama kama ni mwongo ila bado kapuya atakuwa alilala naye halafu akamtishia maisha na kujitangazia uwaziri mkuu.

Sawa kabisa mkuu, kinachonisikitisha mimi ni kwamba watu wakotayari kutetea kitendo cha aibu na kinyama cha babu kumuingilia kimauumbile mjukuu wake eti kwasababu tu wanalipwa pesa?
Inasikitisha sana.
 
Mh kazi ipo la kuvunda halina ubani hata ukipulizia marashi ya pemba na uarabuni kitanuka tu. Msigombane acha watu washushe mashairi watakavyo ila lila na fila havitangamani
 
huyo Amina wa zaidi ya miaka 16 ni wako. sisi tunamuongelea aliyebakwa na Alhaj .ana miaka 16 na ni mwanafunzi. Kama na huyo Amina mwenye mume naye ni demu wa Alhaj basi hivo unairemba cv ya Alhaj. prof. mheshimiwa mbunge

Hilo nalo neno
 
Arushaone, naomba unielewe. Simtetei Kapuya ila nakwambia huyu ni hatari. Nikwakuwa mimi nawewehatujuani lakini binti huyu hatari. Wewe subiri uone mwisho wake.

Kwani yatima wa kike wenye kuhitaji msaada wa shule Tanzania hii wako wangapi?
 
Mkuu katika post yako dhamira kuu ni kumsafisha Pro. Kapuya, ila pole kwani umeshafeli kwa mawazo mepesi uliyoyaleta kwa Magreat Thinker.
Hapo kwenye BLUE umeonyesha udhaifu wako. Kwani huyo binti kwa taarifa rasmi ni mwanafunzi aliyekuwa anasaidiwa na Pro. Kapuya na hajawai kuolewa na wala hana mtoto. Na inawezekana vipi umwite Binti na huku unajua kuwa ameolewa na anamtoto? (ubinti hapo uko wapi)
Hapo kwenye RED ebu funguka amefanya utapeli upi? maana utataka tupeleke mawazo mbali na ata kuhisi kuwa huyu binti wapo pia waku wa juu ya Kapuya washatenda dhambi juu ya huyu binti mdogo.
Mwisho atakama ulichokiandika kingekuwa ni ukweli kisingewedha kumsafisha Pro. Kapuya kwa sababu kwa umbri na wadhifa wa Pro. Kapuya apaswi kufanya bdhambi kama hiyo na binti sawa na mjukuu wake.
HIKI NI KITENDO CHA AIBU NA KILA MTU ANAPASWA KUKIKEMEA

Mkuu Edward Sambai upo sawa, ni aibu
 
ninahisi alienda kwa mama salma kikwete akatoswa ili kulinda hadhi ya chama. haiwezekani utake kumtapeli first lady wa bongo halafu usifungwe!
 
Sasa huyu sijui Hamida au Amina wenu hayuko na dada yake? sijaona mnataja kwenye utafiti wenu kuhusu dada yake ambae almost wanasumbuliwa na kutishiwa maisha na Kapuya. Na wamekuwa wakizunguka sehemu nyingi pamoja kutafuta haki na hata simu za muheshimiwa zinzonekana kuwatishia wote wawili, na hata majambazi waliotumwa waliwakuta wawili na wakawasamehe kwa kuwaona ni watoto halafu ni yatima (hata shetani anakuwa na hururma kuliko mwanadamu).
Nyie hamuoni kwamba huyo mnayempata kwenye utafiti wenu siye anayezungumziwa na watu wengine?
 
Wanajamvi, nimefanya utafiti wakina kuhusu huyu binti. Kisa cha kufanya utafiti huu ni baada ya kuona maelezo yanayotolewa humu jamvini kuhusu huyu yanafanana kabisa na binti aliyemsumbua sana rafiki yangu mwaka jana. Nimefikia hata hatua ya kuuliza huyo binti umbo lake likoje.

Binti huyu aliwahi kuishi nyumba ya familia ya rafiki yangu mwaka 2011. Ni binti mwembamba na mweusi. Jina alilotumia ni Amina. Na alisema ni mtoto yatima na ansoma Sekondari huko Songea. Rafiki yangu alimpeleka hadi nyumbani kwa mama yake Kigamboni. Akidhani anamsaidia mtoto yatima. Binafsi nimewahi kumkuta pale nyumbani kwa mama wa rafiki yangu na katika maelezo yake alisema kuna mtu yupo jela kifungo cha miaka 30 kwa kosa la kumbaka.

Wanajamvi, huyu binti alileta sokomoko pale Kigamboni kwa mama wa rafiki yangu, na details zake zipo polisi kigamboni, central na polisi Chang'ombe.

Ni binti hatari. Ana mtoto mmoja na anamume. Kama siyo mumewe kujakutoa ushahidi mahakamani, basi rafiki yangu angefungwa.
Kosa alilofanya rafiki yangu ni kulala na huyo binti. Hivyo basi kwakuwa Kapuya kalala naye basi kazi kwake.

Pale central police anafahamika kwani alishamtapeli hata mama Salma Kikwete. Yaani, Kapuya ajitahidi ampeleke tu pale Central Police basi kesi itaisha.

Kwakuwa binti mwenyewe ni huyu, basi hili jambo tulipe muda tu ukweli utajulikana muda mfupi. Mwisho naomba vyombo vya kutetea haki za binadamu, visaidie baada ya ukweli ukiwa wazi, basi wafuatilie yule aliyefungwa kwa kosa la kumbaka huyu binti atakuwa alionewa tu. Jamani binti huyu ni hatari, mengi sikutaka yaweka wazi ili nisimvue nguo rafiki yangu. Ila ushahidi ukihitajika nipo tayari kumleta huyu aliyesumbuliwa na binti huyu tapeli.

Wewe hujafanya utafiti wowote, ulichofanya wewe ni kuja humu kutuelezea historia unayoijua wewe kuhusu huyo binti. Historia yenyewe nayo haina ukweli ambao unashawishi watu wenye ufahamu wa kujitosheleza.
 
Back
Top Bottom