Binti Anayedai kubakwa na Kapuya

Binti Anayedai kubakwa na Kapuya

Tanzania inavibweka vingi ambavyo tunaanza kuvizoea ....hivi mnakubuka issue ya Ditopile (R.I.P) kuua iliishaje...?
 
wewe ni kapuya au polisi? Kwa nini polisi wasipeleleze hadi wewe ujitwike jukumu hilo--. Naona una akili ya kisukule.
 
Wanajamvi, nimefanya utafiti wakina kuhusu huyu binti. Kisa cha kufanya utafiti huu ni baada ya kuona maelezo yanayotolewa humu jamvini kuhusu huyu yanafanana kabisa na binti aliyemsumbua sana rafiki yangu mwaka jana. Nimefikia hata hatua ya kuuliza huyo binti umbo lake likoje.

Binti huyu aliwahi kuishi nyumba ya familia ya rafiki yangu mwaka 2011. Ni binti mwembamba na mweusi. Jina alilotumia ni Amina. Na alisema ni mtoto yatima na ansoma Sekondari huko Songea. Rafiki yangu alimpeleka hadi nyumbani kwa mama yake Kigamboni. Akidhani anamsaidia mtoto yatima. Binafsi nimewahi kumkuta pale nyumbani kwa mama wa rafiki yangu na katika maelezo yake alisema kuna mtu yupo jela kifungo cha miaka 30 kwa kosa la kumbaka.

Wanajamvi, huyu binti alileta sokomoko pale Kigamboni kwa mama wa rafiki yangu, na details zake zipo polisi kigamboni, central na polisi Chang'ombe.

Ni binti hatari. Ana mtoto mmoja na anamume. Kama siyo mumewe kujakutoa ushahidi mahakamani, basi rafiki yangu angefungwa.
Kosa alilofanya rafiki yangu ni kulala na huyo binti. Hivyo basi kwakuwa Kapuya kalala naye basi kazi kwake.

Pale central police anafahamika kwani alishamtapeli hata mama Salma Kikwete. Yaani, Kapuya ajitahidi ampeleke tu pale Central Police basi kesi itaisha.

Kwakuwa binti mwenyewe ni huyu, basi hili jambo tulipe muda tu ukweli utajulikana muda mfupi. Mwisho naomba vyombo vya kutetea haki za binadamu, visaidie baada ya ukweli ukiwa wazi, basi wafuatilie yule aliyefungwa kwa kosa la kumbaka huyu binti atakuwa alionewa tu. Jamani binti huyu ni hatari, mengi sikutaka yaweka wazi ili nisimvue nguo rafiki yangu. Ila ushahidi ukihitajika nipo tayari kumleta huyu aliyesumbuliwa na binti huyu tapeli.
Mkuu asante kwa kututahadhalisha, ila naomba rejea stori nzima ili ujue jinsi alivyomfahamu mheshimiwa, nadhani hakuokotwa mitaani bali kuna watu maalumu walimtambulisha kuomba msaada kumbe kuna wahusika wengi ambao wanaweza kutusaidia kumuelezea huyu binti hatari. Mazingira ya huyo rafiki yako kidogo ni tofauti maana yy alikutana naye mitaani tu. Ila nakubaliana nawe kwamba inatubidi tujihadhali sana nyakati hizi katika kutoa misaada, kama tunatoa basi isiwe na masharti ya urafiki wa kudumu, msaidie mara moja na mwache atafute kwingine na hata usichuku namba ya ke ya simu.
 
Wanajamvi, nimefanya utafiti wakina kuhusu huyu binti. Kisa cha kufanya utafiti huu ni baada ya kuona maelezo yanayotolewa humu jamvini kuhusu huyu yanafanana kabisa na binti aliyemsumbua sana rafiki yangu mwaka jana. Nimefikia hata hatua ya kuuliza huyo binti umbo lake likoje.

Binti huyu aliwahi kuishi nyumba ya familia ya rafiki yangu mwaka 2011. Ni binti mwembamba na mweusi. Jina alilotumia ni Amina. Na alisema ni mtoto yatima na ansoma Sekondari huko Songea. Rafiki yangu alimpeleka hadi nyumbani kwa mama yake Kigamboni. Akidhani anamsaidia mtoto yatima. Binafsi nimewahi kumkuta pale nyumbani kwa mama wa rafiki yangu na katika maelezo yake alisema kuna mtu yupo jela kifungo cha miaka 30 kwa kosa la kumbaka.

Wanajamvi, huyu binti alileta sokomoko pale Kigamboni kwa mama wa rafiki yangu, na details zake zipo polisi kigamboni, central na polisi Chang'ombe.

Ni binti hatari. Ana mtoto mmoja na anamume. Kama siyo mumewe kujakutoa ushahidi mahakamani, basi rafiki yangu angefungwa.
Kosa alilofanya rafiki yangu ni kulala na huyo binti. Hivyo basi kwakuwa Kapuya kalala naye basi kazi kwake.

Pale central police anafahamika kwani alishamtapeli hata mama Salma Kikwete. Yaani, Kapuya ajitahidi ampeleke tu pale Central Police basi kesi itaisha.

Kwakuwa binti mwenyewe ni huyu, basi hili jambo tulipe muda tu ukweli utajulikana muda mfupi. Mwisho naomba vyombo vya kutetea haki za binadamu, visaidie baada ya ukweli ukiwa wazi, basi wafuatilie yule aliyefungwa kwa kosa la kumbaka huyu binti atakuwa alionewa tu. Jamani binti huyu ni hatari, mengi sikutaka yaweka wazi ili nisimvue nguo rafiki yangu. Ila ushahidi ukihitajika nipo tayari kumleta huyu aliyesumbuliwa na binti huyu tapeli.

utetezi uliotoa hauba athari zozote ,kama mtu alikuwa anaamini amebaka basi ataebdelea kuamimi n kama mtu haamini basi ataendelea kutoamini
 
Wanajamvi, nimefanya utafiti wakina kuhusu huyu binti. Kisa cha kufanya utafiti huu ni baada ya kuona maelezo yanayotolewa humu jamvini kuhusu huyu yanafanana kabisa na binti aliyemsumbua sana rafiki yangu mwaka jana. Nimefikia hata hatua ya kuuliza huyo binti umbo lake likoje.

Binti huyu aliwahi kuishi nyumba ya familia ya rafiki yangu mwaka 2011. Ni binti mwembamba na mweusi. Jina alilotumia ni Amina. Na alisema ni mtoto yatima na ansoma Sekondari huko Songea. Rafiki yangu alimpeleka hadi nyumbani kwa mama yake Kigamboni. Akidhani anamsaidia mtoto yatima. Binafsi nimewahi kumkuta pale nyumbani kwa mama wa rafiki yangu na katika maelezo yake alisema kuna mtu yupo jela kifungo cha miaka 30 kwa kosa la kumbaka.

Wanajamvi, huyu binti alileta sokomoko pale Kigamboni kwa mama wa rafiki yangu, na details zake zipo polisi kigamboni, central na polisi Chang'ombe.

Ni binti hatari. Ana mtoto mmoja na anamume. Kama siyo mumewe kujakutoa ushahidi mahakamani, basi rafiki yangu angefungwa.
Kosa alilofanya rafiki yangu ni kulala na huyo binti. Hivyo basi kwakuwa Kapuya kalala naye basi kazi kwake.

Pale central police anafahamika kwani alishamtapeli hata mama Salma Kikwete. Yaani, Kapuya ajitahidi ampeleke tu pale Central Police basi kesi itaisha.

Kwakuwa binti mwenyewe ni huyu, basi hili jambo tulipe muda tu ukweli utajulikana muda mfupi. Mwisho naomba vyombo vya kutetea haki za binadamu, visaidie baada ya ukweli ukiwa wazi, basi wafuatilie yule aliyefungwa kwa kosa la kumbaka huyu binti atakuwa alionewa tu. Jamani binti huyu ni hatari, mengi sikutaka yaweka wazi ili nisimvue nguo rafiki yangu. Ila ushahidi ukihitajika nipo tayari kumleta huyu aliyesumbuliwa na binti huyu tapeli.

je hiii nayo mtasemaje
jk.jpg
 
Lakini ndugu si uliiona barua ya kapuya na si alisema hamjui??na haja wai kuwasiliana naye thn le mutuz kasema ni hamida mbona mnataka kuwafanya watu wajinga??
 
Dah,...hii inachanganya ila inawezekana ni kweli kwanini siku zote alikuwa anapokea pesa za kapuya,kama angetaka haki siangepeleka vyombo vya sheria kama ushahidi.Yani pesa ameshakula halafu anapeleka sms kama ushahidi? HUYU NI MWIZI TU.
 
Wanajamvi, nimefanya utafiti wakina kuhusu huyu binti. Kisa cha kufanya utafiti huu ni baada ya kuona maelezo yanayotolewa humu jamvini kuhusu huyu yanafanana kabisa na binti aliyemsumbua sana rafiki yangu mwaka jana. Nimefikia hata hatua ya kuuliza huyo binti umbo lake likoje.

Binti huyu aliwahi kuishi nyumba ya familia ya rafiki yangu mwaka 2011. Ni binti mwembamba na mweusi. Jina alilotumia ni Amina. Na alisema ni mtoto yatima na ansoma Sekondari huko Songea. Rafiki yangu alimpeleka hadi nyumbani kwa mama yake Kigamboni. Akidhani anamsaidia mtoto yatima. Binafsi nimewahi kumkuta pale nyumbani kwa mama wa rafiki yangu na katika maelezo yake alisema kuna mtu yupo jela kifungo cha miaka 30 kwa kosa la kumbaka.

Wanajamvi, huyu binti alileta sokomoko pale Kigamboni kwa mama wa rafiki yangu, na details zake zipo polisi kigamboni, central na polisi Chang'ombe.

Ni binti hatari. Ana mtoto mmoja na anamume. Kama siyo mumewe kujakutoa ushahidi mahakamani, basi rafiki yangu angefungwa.
Kosa alilofanya rafiki yangu ni kulala na huyo binti. Hivyo basi kwakuwa Kapuya kalala naye basi kazi kwake.

Pale central police anafahamika kwani alishamtapeli hata mama Salma Kikwete. Yaani, Kapuya ajitahidi ampeleke tu pale Central Police basi kesi itaisha.

Kwakuwa binti mwenyewe ni huyu, basi hili jambo tulipe muda tu ukweli utajulikana muda mfupi. Mwisho naomba vyombo vya kutetea haki za binadamu, visaidie baada ya ukweli ukiwa wazi, basi wafuatilie yule aliyefungwa kwa kosa la kumbaka huyu binti atakuwa alionewa tu. Jamani binti huyu ni hatari, mengi sikutaka yaweka wazi ili nisimvue nguo rafiki yangu. Ila ushahidi ukihitajika nipo tayari kumleta huyu aliyesumbuliwa na binti huyu tapeli.

Your name is Incredible, (very difficult to believe) hivyo sishangai kwa ww kutoamini kama huyo the Prrroooofesa katenda aliyotenda!
 
Last edited by a moderator:
Umemaliza, nenda kapate buku zako 7 kiroho safi kabisa!

Tanzania daima huwa wanatoa habari bila kuzifanyia utafiti. Nakumbuka walishaingiaga mkenge wa kuchapisha ile habari ya Mike Tyson kubadili jinsia. Tanzania daima haliaminiki tena kwenye Umma wa watanzania makini.
 
Your name is Incredible, (very difficult to believe) hivyo sishangai kwa ww kutoamini kama huyo the Prrroooofesa katenda aliyotenda!

wewe unaamini jambazi anaweza kupewa M50 ili akamuue mtu ;halafu akishafika kwa mlengwa aanze kujitambulisha? "mm ni jambazi nimetumwa kuja kukuua na mtu fulani"
 
Last edited by a moderator:
wewe unaamini jambazi anaweza kupewa M50 ili akamuue mtu ;halafu akishafika kwa mlengwa aanze kujitambulisha? "mm ni jambazi nimetumwa kuja kukuua na mtu fulani"

Na wewe unaamini Profesa ex minister anaweza kugawa line ya simu aliyosajili kwa jina lake kwa mtu mwingine?only in Tanzania
 
watu wachache sana wana akili kwenye hii forum. kwa kweli, kwa akili kama hayo bado sana kupata maendeleo nchi hii. For your information,mwandishi wa Tanzania Daima hata kuona huyo binti hajamuona.story yake ni udako. hajamuona jamani. Endeleeni kupiga fofofofofofofo...........open your minds.some of us are smart enough enough to read between the lines.wacheni ujinga.Nobody needs Kapuya's money but the truth must be told.Tuache siasa za kijinga.lets be mature. Story ilitoka kwanza gazeti la Dira. wacheni kuropoka.huyo si binti. ni mwanamke mwenye umri wa mwaka 21. ana watoto mapacha. You will make rubbish noise till Jesus comes back.
Kapuya kabaka na kaambukiza UKIMWI. Shut up...
 
Kapuya kwa kumtishia kumuua hilo ni kosa la jinai. Pia Kapuya hana moral authority kwakuwa atakuwa alitembea naye. Ila ninachosema huyu binti Amina siyo mwanafunzi, na hana miaka 16. Ni mtu mzima na ameolewa na wanamtoto mmoja. Sasa ninachoshindwa kuelewa huyo mume huwa anayachukuliaje haya matukio ya huyu mke? Ila kwenye kesi ya rafiki yangu, huyu mme alitusaidia sana maana alijileta mwenyewe mahakamani kutoa ushahidi.



tuambie iyo kesi ilikuwa mahakama gani?,wilaya gani? kwa kosa gani?, na ilifunguliwa mwezi wa ngapi? mwaka gani?tena ututajie na majina kamili ya mlalamikaji na mlalamikiwa.
 
Jina alilotumia kwenye familia husika ni Amina. Yawezekana anatumia majina mengi. Katika maelezo yake, mimi ninachoweza amini ni jambo moja kwamba Kapuya alitembea naye. Kisa cha kuamini hivi nikwasababu hata rafiki yangu alikuwa ametembea naye. Cha ajabu ni mwanamke ambaye hana mvuto hata kidogo hata sijui wanaume wenzangu wanafuta nini mle.

Ninachobisha mimi nikusema kwamba yeye ni mwanafunzi na ana umri wa miaka 16. Mimi nimemwona mwaka 2011 nyumbani kwao rafiki na alisema yupo form six. Je imekuwaje umri kurudi nyuma?

aya umeshinda basi tumekubali uyo binti ana miaka 22,tuambie sasa alibakwa au hakubakwa? je katishiwa kifo au hakutishiwa kifo? usikurupuke kijana uyo prof wako kashikwa kubaya.
 
wewe tena uamatatizo unafikiria kubakwa ni sifa au ni starehe..... uchungu alionao huyu binti usingeweza post upuuzi wako hapa..., unafikri ni binti wangapi wanabakwa wanaweka siri moyoni mwao.... yawezekana hata dada yako amebakwa sema tu kwa sababu amna haki anaamua kukaa kimya.... u f.u.c.k.e.r tena ondoa uchafu wako hapa.... ungekuwa unaakili ungelia na waliao maana binti wanaobakwa yawezejkana ni wengi siri mioyoni tu inawekwa...
 
ningekuwana uwezo ningetafuta watu wakubake uone rahaa na wewe alafu uende ukatafute haki....
 
Back
Top Bottom