Binti Anayedai kubakwa na Kapuya

Binti Anayedai kubakwa na Kapuya

Lemutuz kachambwa mbaya. Soma hii hapa chini


user-online.png
Uhuru1
Nimesikitishwa sana. Nimepandwa na hasira mbaya sana na huyu mtu anajehita Lemutuz ambaye ni mzee kabisa miaka 55 kutetea uozo wa kulala na mtoto wa miaka 14, yatima na kumuita muongo huku akimtetea fisadi na mtu mwenye historia ndefu ya ngono na huyo si mwingine bali Juma Kapuya

Lumutuz aliondoka marekani baada ya kuhachwa na mkewe. Alikuwa anakaa sehemu moja inaitwa Mt. Vernon ambako shuguli yake ilikuwa ni kuendesha lori la takataka. Anao watoto wawili majini yao siwezi kutaja hapa, ila anaye teenager ambaye yuko high school mwigine ndio anamaliza middle school na sijui atajisikiaje akiambiwa kabakwa na mzee wa miaka 70

Ingawa kwa kipindi kirefu mwanamke alikuwa akihisi kwamba mumewe ni shoga (Gay) Miaka ya karibuni aliporudi kutoka kazini, alikuta “boxer” ya mwanamme kitandani mwake. Alishtuka na kunyamaza. Siku moja baada ya kutoka kazini, William alitumia computer na kujisahau. Baadhi ya wanafamilia wanasema kwamba huyu bwana ameanza ushoga akiwa baharia

Mwanamke aligundua kwamba mumewe alikuwa akifanya ngono kwenye mitandao na wanaume, wengine wakidiriki kuja nyumbani ambako alimkuta William Malechela kwenye kitando chao cha ndoa akikobolewa na mwanaume mwingine. William aliendelea na wanaume wengine waki wanatumiana picha ambazo alikuwa anasave kwenye computer. Baada ya haya kugundulika na kuwa mengi, mwanamke aliamua kuondoka na kumuacha huyu bwana

Baada ya kuhachwa, William alianza kumtishia yule mwanamke kwamba atamuua pamoja na watoto kisha naye ajiue. Vitisho vilivyozidi, mwanamke alibidi aombe msaada polisi. Ilibidi huyu Lemutuz azuiliwe kwenda kwa yule mwanamke na pia akapelekwa mahakamani kwa ajili ya child support. Siku alipotakiwa kwenda mahakamani, William alidanganya kwamba anaenda DC na ndo siku hiyo alipanda ndege na kuja Tanzania. Kwa ujumla William alitelekeza familia. Hakuna cha simu, hela wala usaidizi wa aina yoyote kwa familia.

Kwa sasa William anakaa nyumbani kwa babake. Ana ugomvi kila siku na mama Anna Kilango ambaye hamtaki pale nyumbani. William amegoma, haondoki pale. Kwa hiyo huyu mzee ni kula, kun.ya na kulala. Kazi yake mjini ni kuuza warembo. Wasichana wengi wanaowekwa kwenye blogu yake ni wa kupigwa bei.

Ukiona mwanaume anasifia sana wanaume wenzake, ujue kuna jambo. Ni kweli, mara mtasikia tajiri la ajabu, Super mogul, Mwenyekiti, Billionea. Hawa wote ni mabwana zake wanaomuweka mjini. Huyo anayeitwa Chicago sijui nini, ndo bwana alomnunulia gari aina ya Toyota Noah ya blue. Jamaa anagawa nyuma balaa......hadi kwa waarabu. Jestina George ameeleza wazi wazi jinsi huyu jamaa anavyokobolewa. Aliingia chumbani na Jestina mara akaanza, naumwa tumbo mara ikapanda ikashuka. Basi Jestina akaona hapo hakuna kitu akahachana naye . Kwa kifupi huo ndo ukweli kuhusu Lemutuz. Ningetitirika zaidi, lakini kwa leo nihachie hapa hadi pale atakapoleta za kuleta kama kawaida zake…..

Next time tutataja hadi na majina…………………………

Lo! Ngoja ninywe chai kwanza nitarudi!
 
mmmmhhh,kihadithi hiki kitamu...!? ila mpaka leo nimekuwa 50%-50%,uwezekano wa kupija inshu haka kabinti hupo..! nauwezekano wa kuwa kweli hupo..!? ila nanyi wazee mmezidi hamuwaoni wazee wenzenu au ndio mambo ya tigo hayo......!?
 
Wanajamvi, nimefanya utafiti wakina kuhusu huyu binti. Kisa cha kufanya utafiti huu ni baada ya kuona maelezo yanayotolewa humu jamvini kuhusu huyu yanafanana kabisa na binti aliyemsumbua sana rafiki yangu mwaka jana. Nimefikia hata hatua ya kuuliza huyo binti umbo lake likoje.

Binti huyu aliwahi kuishi nyumba ya familia ya rafiki yangu mwaka 2011. Ni binti mwembamba na mweusi. Jina alilotumia ni Amina. Na alisema ni mtoto yatima na ansoma Sekondari huko Songea. Rafiki yangu alimpeleka hadi nyumbani kwa mama yake Kigamboni. Akidhani anamsaidia mtoto yatima. Binafsi nimewahi kumkuta pale nyumbani kwa mama wa rafiki yangu na katika maelezo yake alisema kuna mtu yupo jela kifungo cha miaka 30 kwa kosa la kumbaka.

Wanajamvi, huyu binti alileta sokomoko pale Kigamboni kwa mama wa rafiki yangu, na details zake zipo polisi kigamboni, central na polisi Chang'ombe.

Ni binti hatari. Ana mtoto mmoja na anamume. Kama siyo mumewe kujakutoa ushahidi mahakamani, basi rafiki yangu angefungwa.
Kosa alilofanya rafiki yangu ni kulala na huyo binti. Hivyo basi kwakuwa Kapuya kalala naye basi kazi kwake.

Pale central police anafahamika kwani alishamtapeli hata mama Salma Kikwete. Yaani, Kapuya ajitahidi ampeleke tu pale Central Police basi kesi itaisha.

Kwakuwa binti mwenyewe ni huyu, basi hili jambo tulipe muda tu ukweli utajulikana muda mfupi. Mwisho naomba vyombo vya kutetea haki za binadamu, visaidie baada ya ukweli ukiwa wazi, basi wafuatilie yule aliyefungwa kwa kosa la kumbaka huyu binti atakuwa alionewa tu. Jamani binti huyu ni hatari, mengi sikutaka yaweka wazi ili nisimvue nguo rafiki yangu. Ila ushahidi ukihitajika nipo tayari kumleta huyu aliyesumbuliwa na binti huyu tapeli.

Mkuu bora unyamaze maana watu hatutakuelewa kuna mada za kumtetea Kapuya humu lakini ukisoma Mzee anajichanganya sana. Mara simu nilishagawa, je aligawa kwa nani ili aeleze meseji hizi alimtumia huyo binti kwa sababu gani!!
 
ndio mlivyojipanga yaani hata mambo yasiyo ya siasa mnaleta siasa...na nyie ndio mtakuwa mlitengenezaga muundo na utekelezaji mzima wa ile sokomoko ya babu seya nyie....ccm bwana

Kapuya kwa kumtishia kumuua hilo ni kosa la jinai. Pia Kapuya hana moral authority kwakuwa atakuwa alitembea naye. Ila ninachosema huyu binti Amina siyo mwanafunzi, na hana miaka 16. Ni mtu mzima na ameolewa na wanamtoto mmoja. Sasa ninachoshindwa kuelewa huyo mume huwa anayachukuliaje haya matukio ya huyu mke? Ila kwenye kesi ya rafiki yangu, huyu mme alitusaidia sana maana alijileta mwenyewe mahakamani kutoa ushahidi.
 
The law will prove brother..hapa town people executing different careers" utakuta huyo binti hiyo ndo kazi yake..under concession of her gurdians..in making money some of us are very clever...tusubiri report ya DCI..
 
Napata tabu kusoma post kama ya huyu anaedaiwa kuwa msengenyaji!kutetea uvundo, Hv shutma kama hzo zimeletwa, polisi jukumu lenu kamateni then uchunguz ufanyike, kama sio kweli si itajulikana mahakaman,we unafanya uchunguz kama nani?
Uchunguzi wa issue complicated kama hii unafanywa withn 3 days?kawadanganye mambulura wenzio huko
Mimi niko na non-political ideology bt akili yangu haikubali kama ingelikuwa ni kada wa CDM,CUF,nk ingekuwaje?
Mh halafu mbona kama we mkubwa then mambo yako ya under 12?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
At least ungetuambia kuwa huo utafiti umeufanya wapi, na kwa vipi. Habari za huyu binti zimeandikwa na kutangazwa kupiti Tanzania Daima.
1. Je, ulihojiana na waandishi wa Tanzania wa Tanzania Daima?
2. Huyu binti anasema kuwa alikuwa rafiki ya na alikuwa anasoma na mtoto wa aliyekuwa diwani sijui Sinza, na huyo ndiye aliyemtambulisha kwa Kapuya. Hadi sasa hatujasikia huyo aliyekuwa diwani akikanusha
3. Huyo binti anasema aliwahi kwenda polisi Oysterbay. Mbona utafiti wako haujahusisha maelezo toka kituo hicho.

Ndugu, naomba usicheze na watu wazima wenye akili zao... Kama kweli umeamua kufanya utafiti, basi fanya kitu kinachoeleweka ndipo ulete taarifa zako hapa... Mabinti aina za unaosema wamejaa mtaani maana hata mimi nilishakutana na binti kama huyo lakini yeye ni mweupe mfupi. Je, na mimi niseme tu kuwa huyo ndiye aliyebakwa na Kapuya?

watu wachache sana wana akili kwenye hii forum. kwa kweli, kwa akili kama hayo bado sana kupata maendeleo nchi hii. For your information,mwandishi wa Tanzania Daima hata kuona huyo binti hajamuona.story yake ni udako. hajamuona jamani. Endeleeni kupiga fofofofofofofo...........open your minds.some of us are smart enough enough to read between the lines.wacheni ujinga.Nobody needs Kapuya's money but the truth must be told.Tuache siasa za kijinga.lets be mature. Story ilitoka kwanza gazeti la Dira. wacheni kuropoka.huyo si binti. ni mwanamke mwenye umri wa mwaka 21. ana watoto mapacha. You will make rubbish noise till Jesus comes back.
 
Inawezekana ukawa una hoja, lakini nanyi 'wasaidizi wa yatima' mna mambo? Kwa hiyo rafiki yako naye akampitia, au sijasoma vizuri?! Hamtoi misaada bila malipo?
 
Hivi si huyu huyu Kapuya kupitia kwa Wakili wake alisema ataishitaki JamiiForums baada ya siku saba kama hawataomba msamaha!!!

Iweje tena mnatumia chombo kile kile adui yenu kutaka kujisafisha? Hapa kuna mushkeli mahali hakika kuna mushkeli...
 
Kapuya kwa kumtishia kumuua hilo ni kosa la jinai. Pia Kapuya hana moral authority kwakuwa atakuwa alitembea naye. Ila ninachosema huyu binti Amina siyo mwanafunzi, na hana miaka 16. Ni mtu mzima na ameolewa na wanamtoto mmoja. Sasa ninachoshindwa kuelewa huyo mume huwa anayachukuliaje haya matukio ya huyu mke? Ila kwenye kesi ya rafiki yangu, huyu mme alitusaidia sana maana alijileta mwenyewe mahakamani kutoa ushahidi.

Take it from me, Tanzania Daima hawajakurupuka! Issue ya huyu binti imefika hadi Bungeni kote walikuwa hawaoni si mtoto? Hii issue imeanza long time kabla Tanzania Daima kuiweka hadharani majuzi na Kapuya akazembea kuimaliza!

Mwongo mwongoze mtatia aibu mwambieni huyu mzee aombe radhi hadharani kiroho safi hawezi kusafishika kamwe!
 
Inawezekana ukawa una hoja, lakini nanyi 'wasaidizi wa yatima' mna mambo? Kwa hiyo rafiki yako naye akampitia, au sijasoma vizuri?! Hamtoi misaada bila malipo?

Huyu binti anao ushahidi wa kupeleka malalamiko Polisi,Bungeni na CCM kote huko hawakuona ni mtu mzima si mtoto?
 
upuuzi Le mutuz mwenzenu kasema anaitwa hamida wewe unasema anaitwa Amina
 
Arushaone, naomba unielewe. Simtetei Kapuya ila nakwambia huyu ni hatari. Nikwakuwa mimi nawewehatujuani lakini binti huyu hatari. Wewe subiri uone mwisho wake.



Wanajamvi, nimefanya utafiti wakina
kuhusu huyu binti. Kisa cha kufanya
utafiti huu ni baada ya kuona
maelezo yanayotolewa humu jamvini
kuhusu huyu yanafanana kabisa na
binti aliyemsumbua sana rafiki yangu
mwaka jana. Nimefikia hata hatua ya
kuuliza huyo binti umbo lake likoje


Mbona mara humjuwi mara ni hatari upi ukweli.
 
Mungu Ibariki Tanzania

Imetolewa leo tarehe 15.11.2013 nami
Prof. Juma A.Kapuya
Mbunge – urambo magharibi
S.L.P 45 Kaliua Tabora
Simu 0784993930

MWONGO MWONGOZE! Hiyo namba amesema alishaigawa zaidi ya miezi sita sasa!!
 
Inawezekana ukawa una hoja, lakini nanyi 'wasaidizi wa yatima' mna mambo? Kwa hiyo rafiki yako naye akampitia, au sijasoma vizuri?! Hamtoi misaada bila malipo?

Hahahaha!!!!!!!!!!naona wanaamua kujibebea hawajazoea vya kuchinja, so wanashughulika na vya kunyonga
 
Huu utetezi wenu usiokuwa na mashiko unazidi kumpaka matope huyo mzee wenu. Anaonekana ni mzoefu wa ubakaji na amejipanga kuruka kihunzi kwa kuwatumia ninyi mnaokesha humu jf kumsafisha pamoja na mbinu zote anazoendelea kuzitua kujiondoa kwenye hiki kitanzi. Lakini ukweli unabaki pale pale kwamb mtu wenu amechafuka sana na sheria lazima ichukue mkondo dhidi yake.
 
watu wachache sana wana akili kwenye hii forum. kwa kweli, kwa akili kama hayo bado sana kupata maendeleo nchi hii. For your information,mwandishi wa Tanzania Daima hata kuona huyo binti hajamuona.story yake ni udako. hajamuona jamani. Endeleeni kupiga fofofofofofofo...........open your minds.some of us are smart enough enough to read between the lines.wacheni ujinga.Nobody needs Kapuya's money but the truth must be told.Tuache siasa za kijinga.lets be mature. Story ilitoka kwanza gazeti la Dira. wacheni kuropoka.huyo si binti. ni mwanamke mwenye umri wa mwaka 21. ana watoto mapacha. You will make rubbish noise till Jesus comes back.

Na mmoja kati ya wenye akili kwenye hii forum ni wewe?Umetoa wapi kwamba mwandishi wa T. Daima hajaonana na huyo binti?wewe umeonana naye?umejuaje kuwa ni yeye aliyeandikwa kwenye T. Daima?nini kiliwafanya wabunge wanawake ambao ni wazoefu wa kumjua mwanamke aliyezaa na mwenye 16 years kumuamini huyo binti?kwa nini Kapuya alikua anamtumia huyo binti Tsh 350000 kwa mwezi?

Jibu kwanza maswali hayo Mr Genius mengine yanafuata kutokana na majibu yako
 
Back
Top Bottom