Binti Anayedai kubakwa na Kapuya

Binti Anayedai kubakwa na Kapuya

wewe tena uamatatizo unafikiria kubakwa ni sifa au ni starehe..... uchungu alionao huyu binti usingeweza post upuuzi wako hapa..., unafikri ni binti wangapi wanabakwa wanaweka siri moyoni mwao.... yawezekana hata dada yako amebakwa sema tu kwa sababu amna haki anaamua kukaa kimya.... u f.u.c.k.e.r tena ondoa uchafu wako hapa.... ungekuwa unaakili ungelia na waliao maana binti wanaobakwa yawezejkana ni wengi siri mioyoni tu inawekwa...
Binti gani? Ushaambiwa kuwa ni kahaba, na dili zake hapa mjini ni utapeli wa dizaini hiyo! Na keshawaliza wengi kwa story hii hii ya kubakwa, We unajua kuliko Jeshi la Polisi?
 
Nawasiwasi huyu amekula bk 10 kabisa dah watu wanapenda mkwanja.
 
Kapuya kwa kumtishia kumuua hilo ni kosa la jinai. Pia Kapuya hana moral authority kwakuwa atakuwa alitembea naye. Ila ninachosema huyu binti Amina siyo mwanafunzi, na hana miaka 16. Ni mtu mzima na ameolewa na wanamtoto mmoja. Sasa ninachoshindwa kuelewa huyo mume huwa anayachukuliaje haya matukio ya huyu mke? Ila kwenye kesi ya rafiki yangu, huyu mme alitusaidia sana maana alijileta mwenyewe mahakamani kutoa ushahidi.

achen dume letu la mbegu kappuya lifanye kazi hakiachwi kitu hapa kapuya ni mwanaume rijali unatakiwa utii kiu yako kama huyu
 
At least ungetuambia kuwa huo utafiti umeufanya wapi, na kwa vipi. Habari za huyu binti zimeandikwa na kutangazwa kupiti Tanzania Daima.
1. Je, ulihojiana na waandishi wa Tanzania wa Tanzania Daima?
2. Huyu binti anasema kuwa alikuwa rafiki ya na alikuwa anasoma na mtoto wa aliyekuwa diwani sijui Sinza, na huyo ndiye aliyemtambulisha kwa Kapuya. Hadi sasa hatujasikia huyo aliyekuwa diwani akikanusha
3. Huyo binti anasema aliwahi kwenda polisi Oysterbay. Mbona utafiti wako haujahusisha maelezo toka kituo hicho.

Ndugu, naomba usicheze na watu wazima wenye akili zao... Kama kweli umeamua kufanya utafiti, basi fanya kitu kinachoeleweka ndipo ulete taarifa zako hapa... Mabinti aina za unaosema wamejaa mtaani maana hata mimi nilishakutana na binti kama huyo lakini yeye ni mweupe mfupi. Je, na mimi niseme tu kuwa huyo ndiye aliyebakwa na Kapuya?
mkuu me navyoona hapa kuna ukweli kwenye baadhi ya mambo.mfano,hapa kapuya atakuwa amekula na mbaya zaidi atakuwa amemuunganisha kwenye gridi ya taifa makusudi/demu ni mgonjwa tangu zamani.so anahofia hata
akienda/kupelekwa mahakamani wakiambiwa waende kupima itakuwa soo.hayo mengine me naona wananichanganya tu.huyu anakuja anasema hakuna aliyeenda kushtaki mwingine anasema walishitaki osterbay police na jamaa alikuwa analipa mshiko kila mwezi blah blah blah....or may be osterbay police haipo chini ya kova ndio maana hakupata taarifa kuwa huyo dogo alishashitaki huko?na hao wanahaarakati wanatishia kuandamana ina maana wamekosa tumaini na mfumo wa sheria?i mean na wao walishaenda kushitaki wakafukuzwa/hakuna kilichofanyika au ni politics tu wanafanya?sometimes nikifuatilia hii issue nakaribia kuchanganyikiwa.msimamo wangu ni kwamba kama kweli alimbaka huyu binti haijalishi ni under 18 or what,mbakaji ni mbakaji tu na anastahili adhabu kali sana akithibitika mahakamani.funga ili iwe fundisho kwa wengine wanaodhani kuwa nchi wanaimiliki.
 
Arushaone, naomba unielewe. Simtetei Kapuya ila nakwambia huyu ni hatari. Nikwakuwa mimi nawewehatujuani lakini binti huyu hatari. Wewe subiri uone mwisho wake.

Kuna ajira mpya imezuka tz ya UTAPELI na Kinondoni ni University yake.kuna magenge ya kitapeli kuanzia nyumba,viwanja,mashamba,Gold, copper,magari,simu na vito vya thamani

Moja ya chambo ni mabinti,vinywaji na madawa ya kulevya

inawezekana Mh Prof aliingia katikaa mtego huu kwa ile hulka ya wanaume wengi! kumbe lengo ni jingine kabisa

Be Aware
Take Care
Stay Tuned tutasikia zaidi
 
Wanajamvi, nimefanya utafiti wakina kuhusu huyu binti. Kisa cha kufanya utafiti huu ni baada ya kuona maelezo yanayotolewa humu jamvini kuhusu huyu yanafanana kabisa na binti aliyemsumbua sana rafiki yangu mwaka jana. Nimefikia hata hatua ya kuuliza huyo binti umbo lake likoje.


Ni binti hatari. Ana mtoto mmoja na anamume. Kama siyo mumewe kujakutoa ushahidi mahakamani, basi rafiki yangu angefungwa.
Kosa alilofanya rafiki yangu ni kulala na huyo binti. Hivyo basi kwakuwa Kapuya kalala naye basi kazi kwake.

Pale central police anafahamika kwani alishamtapeli hata mama Salma Kikwete. Yaani, Kapuya ajitahidi ampeleke tu pale Central Police basi kesi itaisha.


Yaani watu wengine bana!
Mkuu incredible ebu soma hayo maeneo alafu jibu baki nalo ukishindwaa kupata jibu waulizwa wana JF na kama huweizi kuliza kaa kimya !
 
Kapuya kwa kumtishia kumuua hilo ni kosa la jinai. Pia Kapuya hana moral authority kwakuwa atakuwa alitembea naye. Ila ninachosema huyu binti Amina siyo mwanafunzi, na hana miaka 16. Ni mtu mzima na ameolewa na wanamtoto mmoja. Sasa ninachoshindwa kuelewa huyo mume huwa anayachukuliaje haya matukio ya huyu mke? Ila kwenye kesi ya rafiki yangu, huyu mme alitusaidia sana maana alijileta mwenyewe mahakamani kutoa ushahidi.
SIJAELEWA VIZURI: Bungeni na Polisi Osterbay walishindwa kutambua unayotueleza?
 
Binti gani? Ushaambiwa kuwa ni kahaba, na dili zake hapa mjini ni utapeli wa dizaini hiyo! Na keshawaliza wengi kwa story hii hii ya kubakwa, We unajua kuliko Jeshi la Polisi?

wewe ni polisi walisema wapo kwenye uchunguzi imekuwaje majibu yatoke kabla ya uchunguzi kuisha...... haki amna na nasema hivi kutokana na experiance niliyonayo hata kama ni kweli kafanyiwa hawezi kutendewa haki zaidi ataumizwa kwa sababu ni wa hali ya chini....,
 
je hiii nayo mtasemaje
jk.jpg

Watoa tigo wote wanaanzaga hivi
 
Back
Top Bottom