it depend!!!!........
hebu fafanua basi manake kiswahili na misemo yake kidogo kinaniwia vigumu kuelewa. usihofu lakini kidogokidogo mambo yatajipaWapendwa wanaJF, Mara nyingi nimewasikia watu wakisema "BINAMU NYAMA YA HAMU". Je kuna ukweli hapo???
Wapendwa wanaJF, Mara nyingi nimewasikia watu wakisema "BINAMU NYAMA YA HAMU". Je kuna ukweli hapo???
Kikwetu binamu anaheshimika sana!Wapendwa wanaJF, Mara nyingi nimewasikia watu wakisema "BINAMU NYAMA YA HAMU". Je kuna ukweli hapo???
Usigune sana..of course kwetu..binamu yako mnabanjuana tu..sema siku hz..haina nguvu..BUT ukisimamia kimila haina mbaya..dada Vivian binamu yako kataka mzigo nini???..kha!!!
Wapendwa wanaJF, Mara nyingi nimewasikia watu wakisema "BINAMU NYAMA YA HAMU". Je kuna ukweli hapo???
Duh! Wapo wanaoruhusu kubanjuana mtu na binamu yake tena wengine hadi wanaoana! Sijui ndo hawataki ukoo uende mbali.........mmmh!
<brwatu wa tanga utawajua
Hii hutokea sana aisee.