Kimila kumuoa binam haina tatizo,katika makabila ya TANZANIA nimeona kabila la waluguru wenyej wa mkoa wa MOROGORO wao wanaoana,nina ushahdi kuna wazee ambao hadi leo wanadunda na ndoa yao,wana watoto 6 na wajukuu zaidi ya 6.
Pia katika imani yangu ya dini ya kiislam si vibaya KUMUOA binam yako au KUFUNGA ndoa na binam yako,na SI KUZINI kama alivofanya huyo swaiba wako,watu ambao tumezuiliwa kuwaoa au kufunga nao ndoa ni MTU ULIYENYONYA NAE ZIWA 1 hatakama si ndugu yako,MTOTO WA MKE WAKO AU MUME WAKO,MWANAO ULIYE MZAA,NYUMBA ALIYOOA NDUGU YAKO,MDOGO AU MKUBWA WA MAMA YAKO AU BABA YAKO,na wengneo weng nimewasahau.
Ushauri wangu,jamaa amuoe huyo binam koz hajavunja sheria though kwa vijana wa kileo ni ngumu,hlo litaleta u2livu na watapata kumlea mtoto wao kwa amani,simlaum binti coz alimpenda jamaa akai2mia nafasi ya ku-xprec her self.
Pia katika imani yangu ya dini ya kiislam si vibaya KUMUOA binam yako au KUFUNGA ndoa na binam yako,na SI KUZINI kama alivofanya huyo swaiba wako,watu ambao tumezuiliwa kuwaoa au kufunga nao ndoa ni MTU ULIYENYONYA NAE ZIWA 1 hatakama si ndugu yako,MTOTO WA MKE WAKO AU MUME WAKO,MWANAO ULIYE MZAA,NYUMBA ALIYOOA NDUGU YAKO,MDOGO AU MKUBWA WA MAMA YAKO AU BABA YAKO,na wengneo weng nimewasahau.
Ushauri wangu,jamaa amuoe huyo binam koz hajavunja sheria though kwa vijana wa kileo ni ngumu,hlo litaleta u2livu na watapata kumlea mtoto wao kwa amani,simlaum binti coz alimpenda jamaa akai2mia nafasi ya ku-xprec her self.