macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 29,184
- 60,047
Mambo ya mtandaoni, haya ya kuhusu ''mafanikio'' ya wabongo usiyachukulie serious. Unaweza kudhani ni wewe pekee umebaki maskini Tanzania kumbe una nafuu.Kama chief godlove anatafuta faraja kwa nguvu kwa kuposti gari la mtu lenye thamani ya million 28 nakudanganya ni shilingi million 800.