Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,776
Mkuu Matola nimefanya biashara na NEWL muda mrefu nawajua wafanyakazi wake wengi hata hichi nilichoandika ni kwasababu ya huo uhusiano baada ya malipo yangu kukwama kwasababu ya kukosa saini ya mkurugenzi.Nimezungumza na wataalamu wake kuanzia procurement na Accountant wake.
Wewe hujui kitu, na wewe ni party affiliated, huyu jamaa ana elerai na ina wafanyakazi wengi tu na ndio company yake ya kwanza, umepewa story na watu wa NEWL pekee unakuja kuconclude, na ukae ukijua hakuna uonevu anafanyiwa. Elerai ndio imefanya ukwepaji mkubwa sana wa kodi, na mambo mengine kama kumtorosha huyo mwarabu, mengine hayapaswi andikwa humu, nenda pale tra arusha ulizia kodi anadaiwa through elerai and since when. Watu tunaomjua huyu raia nje ndani tunasema ilikuwa ni siku yake ya 40 tu. Bila kusahau kudra za mwenyezi Mungu kutupatia Magufuli sababu hakuna mwingine angemgusa na ndio tungekuwa tunazidi tengeneza mabomu ya inequality nchi hii. Kwa iyo wewe buda nasikitika kukutaarifu udhanivyo sivyo na punguza mahaba, Magufuli anatenda haki, kama ulifanya mambo yako sawa sawa hakuna tatizo kama ulikuwa na makando kando hata wewe ujiandae hima.
but why?