Billionaire Samweli Lema wa Arusha Ndani ya Segerea

Billionaire Samweli Lema wa Arusha Ndani ya Segerea

Heshima sana wakuu,

Issue ya Bwana Lema Mkurugenzi wa kampuni ya NEWL & Elerai Construction katika hii kesi nadhani ipo kishinikizo zaidi kuliko kisheria.

Bwana Lema alikuwa akifanya biashara na Mohamed Mustafa kwa muda mrefu kidogo.Mohamed Mustafa alikuwa akimuuzia Lema bidhaa mbali mbali kupitia kampuni zake alizosajili nyingi zikiwa za uongo (fake campany) zikiwa na TIN & VRN ambazo zote zinatolewa na TRA usajili wa kampuni unafanywa na BRELA.Baadhi ya bidhaa amabazo Mohamed aliuzia NEWL ni pamoja na filter za generators zilizoko kwenye minara ya simu cement na nondo aliuza Elerai amabayo ilikuwa na tender ya kujenga ofisi za mkuu wa mkoa Manyara na ofisi nyingi za serekali hasa wilaya na mikoa mipya.

Kwa upeo wangu sidhani kama ilikuwa sahihi kumuunganisha Bwana Lema na kampuni fake za Mohamed kwasababu zifuatazo.

Kampuni za Lema yaani Elerai & NEWL zilikuwa zikinunua huduma / bidhaa kutoka kwa kampuni za Mohamed baadhi zilikuwa na usajili na nyingine zilikuwa na usajili wa magumashi lakini zote zilikuwa na VRN,TIN,Clearance Certificates,Certificate of Incorporation na leseni za biashara.Mwisho wa mwezi wahasibu walikuwa wakitumia invoices za kampuni za Moahamed to claims VAT utshangaa wakiingiza VRN kwenye system inakubaliwa ?.

Hivi ukienda dukani kununua bidhaa ukakuta leseni fake,tin fake.... kosa linakuwa kwa mnunuzi au muuzaji ?.Nadhani mnunuzi hayuko katika nafasi nzuri ya kugundua iwapo sehemu anayonunua bidhaa au huduma kuna tatizo la kisheria.

Nadhani vyombo vyetu vya sheria vingi vinafanya kazi kwa hofu,kujionyesha..... lakini mwisho wa siku wakienda mbele ya sheria wanajikuta wanashindwa kwakuwa mara nyngi hawafanyi utafiti wa kutosha na kujiridhisha kabla ya kupeleka kesi mahakamani.
ukiona hivyo ujue Lema kahusika kwenye wizi...Mohamed amefanya biashara na watu wengi kwa nini akamatwe lema peke yake? Walikuwa washirika kwenye wizi
 
Wabongo bwana mnamuhukumu mtu mtathani nyie ndio mahakimu hamjajua hata anatuhumiwa kwa kosa gani au anamashtaka mangapi mnashangilia sana kuona tajiri anapelekwa rumande au afilisiwe awe maskini kamanyie au aishi kama shetani mhaa watz nomaaa sana full majungu na roho mbaya
 
Heshima sana wakuu,

Issue ya Bwana Lema Mkurugenzi wa kampuni ya NEWL & Elerai Construction katika hii kesi nadhani ipo kishinikizo zaidi kuliko kisheria.

Bwana Lema alikuwa akifanya biashara na Mohamed Mustafa kwa muda mrefu kidogo.Mohamed Mustafa alikuwa akimuuzia Lema bidhaa mbali mbali kupitia kampuni zake alizosajili nyingi zikiwa za uongo (fake campany) zikiwa na TIN & VRN ambazo zote zinatolewa na TRA usajili wa kampuni unafanywa na BRELA.Baadhi ya bidhaa amabazo Mohamed aliuzia NEWL ni pamoja na filter za generators zilizoko kwenye minara ya simu cement na nondo aliuza Elerai amabayo ilikuwa na tender ya kujenga ofisi za mkuu wa mkoa Manyara na ofisi nyingi za serekali hasa wilaya na mikoa mipya.

Kwa upeo wangu sidhani kama ilikuwa sahihi kumuunganisha Bwana Lema na kampuni fake za Mohamed kwasababu zifuatazo.

Kampuni za Lema yaani Elerai & NEWL zilikuwa zikinunua huduma / bidhaa kutoka kwa kampuni za Mohamed baadhi zilikuwa na usajili na nyingine zilikuwa na usajili wa magumashi lakini zote zilikuwa na VRN,TIN,Clearance Certificates,Certificate of Incorporation na leseni za biashara.Mwisho wa mwezi wahasibu walikuwa wakitumia invoices za kampuni za Moahamed to claims VAT utshangaa wakiingiza VRN kwenye system inakubaliwa ?.

Hivi ukienda dukani kununua bidhaa ukakuta leseni fake,tin fake.... kosa linakuwa kwa mnunuzi au muuzaji ?.Nadhani mnunuzi hayuko katika nafasi nzuri ya kugundua iwapo sehemu anayonunua bidhaa au huduma kuna tatizo la kisheria.

Nadhani vyombo vyetu vya sheria vingi vinafanya kazi kwa hofu,kujionyesha..... lakini mwisho wa siku wakienda mbele ya sheria wanajikuta wanashindwa kwakuwa mara nyngi hawafanyi utafiti wa kutosha na kujiridhisha kabla ya kupeleka kesi mahakamani.
Ingekuwa inafaa ningekuongeza like ya tano mkuu
 
ukiona hivyo ujue Lema kahusika kwenye wizi...Mohamed amefanya biashara na watu wengi kwa nini akamatwe lema peke yake? Walikuwa washirika kwenye wizi

Sikatai lakini kama ungejua hata kwa 2% nilichokueleza basi usinge andika ulichoandika unless unapenda kubishana wakati msingi wa hoja either huna au hujui unachosema.Labda nikusaidie kiduchu wakati wa kuwasilisha online VAT return kila mwezi kuna mambo yafuatayo utataikiwa kufanya

VAT output.
a. mauzo yanayotozwa VAT
b.mauzo yanayotozwa kiwango sifuri
c.mauzo yaliyo samehewa kodi

VAT inputs
a.Manunuzi ya hapa nchini yanayotozwa VAT
b.Manunuzi ya nje yanayotozwa VAT
c.Manunuzi ya nje yanayostahili marejesho ya VAT
d.Marejesho ya VAT ya mwezi uliopita

Ukimaliza section hiyo unakwenda kwenye sheet ambayo utaingiza VRN za wateja wote walikuuzia bidhaa au kukupatia huduma.Ukiingiza VRN automatic inakuletea jina la likuuzia bidhaa au kukupatia huduma automatic sasa kama ni magumashi system itakugomea kabisa.Kitu cha kushangaza VRN ilikuwa inaleta jina kama kawaida kwahiyo kama ni kosa basi lilitakiwa kuangaliwa kuanzia BRELA na TRA.

Natumaini kama ulikuwa unataka kuelewa basi utakuwa umeelewa na siku nyingine utakuwa mdadisi mzuri si kukubali kila kitu unachoambiwa kabla haujafanya uchunguzi wako mwenyewe na kuridhika.
 
Ila Lema ni mpambanaji haswa, hili balaa la kukwepa kodi itakuwa bahati mbaya tu au wahasibu wake ndio wanahusika sana na wao wamelamba hela nyingi kuliko yeye maana jamaa ni darasa la saba tu elimu ndogo, mwaka juzi alifukuza kazi karibu robo tatu ya wafanyakazi wake maana walikuwa wanamuibia sana, alikuwa na muhasibu anaitwa Ta....mo jamaa alikuwa mwizi sana, ameweza kuwa na yeye na vitega uchumi kadhaa, na alikuwa mchawi kweli dili likishtukiwa watu wanasubiri tu afukuzwe ila jamaa akisafikiri akirudi tu anaitwa ofisini kwa bosi na kupewa kazi ya kuhakiki mradi mpya watu wakawa wamechoka kabisa kumweleza bosi madhaifu ya jamaa. Ila mwisho alitimuliwa tu. Sasa hivi maskini ameajiri wazungu kwenye idara nyeti ili wasimzunguke, na balaa ni balaa tu yamemfika.
Kama jamaa Shule ni ndogo ni vizuri aka ajira director ambaye anauelewa ambaye anaweza ku question vitendo vya muhasibu. Kwa sababu kwa hali ya sasa Kama ame sign mahesabu yake ya mwaka pamoja na muhasibu wake, hivyo yeye amekubali kwamba mahesabu yapo sawa .
 
Watu wa Arusha kwa kupenda kujiita mabilionea heri wa dar wanakula mahindi na chumvi na kikao na kuendesha passo
 
Kama jamaa Shule ni ndogo ni vizuri aka ajira director ambaye anauelewa ambaye anaweza ku question vitendo vya muhasibu. Kwa sababu kwa hali ya sasa Kama ame sign mahesabu yake ya mwaka pamoja na muhasibu wake, hivyo yeye amekubali kwamba mahesabu yapo sawa .

Finance Manager wa NEWL Mr Migire ni CPA (T) & MBA bado kuna Chief Accountant ni CPA bado senior acct bado kuna ACC payable,Acc Recevable & cost.ukinda vitengo vingine Procurement,Transport & Technical wapo wasomi kibao kuanzia wazungu,wahindi hadi wachina.

Kama ni kuwatumia wasomi jamaa kawajaza kweli kweli.
 
Endelea kujidanganya kuamini MTU nchi hii inaendeshwa Na katiba ya jamuhuri ya muungano Mahakamani hakuna cha matakwa ya MTU ni Sheria zinasemaje tu. Kama kweli wewe ni mchukia ufisadi kuna ufisadi miaka mingapi umefanyika ndani ya ccm ujawachukia lugumi meremeta Richmond escrow EPA huu ufisadi wote umefanya Na ccm wewe unachukia chadema
Hakuna ufisadi uliofanywa na CCM mkuu. Ulifanywa na watu wakiwa ndani ya CCM na wengine wengi wako upinzani sasa. Weka mambo sawa usipotoshe watu.
Yumo ndani ya ile kesi, ni ktk msako wa wale wote walioshiriki ktk mchezo ule
 
Finance Manager wa NEWL Mr Migire ni CPA (T) & MBA bado kuna Chief Accountant ni CPA bado senior acct bado kuna ACC payable,Acc Recevable & cost.ukinda vitengo vingine Procurement,Transport & Technical wapo wasomi kibao kuanzia wazungu,wahindi hadi wachina.

Kama ni kuwatumia wasomi jamaa kawajaza kweli kweli.
Mkuu uko deep sana inaoneka wewe ni insider au una strong ties na jamaa in good will.
 
Heshima sana wakuu,

Issue ya Bwana Lema Mkurugenzi wa kampuni ya NEWL & Elerai Construction katika hii kesi nadhani ipo kishinikizo zaidi kuliko kisheria.

Bwana Lema alikuwa akifanya biashara na Mohamed Mustafa kwa muda mrefu kidogo.Mohamed Mustafa alikuwa akimuuzia Lema bidhaa mbali mbali kupitia kampuni zake alizosajili nyingi zikiwa za uongo (fake campany) zikiwa na TIN & VRN ambazo zote zinatolewa na TRA usajili wa kampuni unafanywa na BRELA.Baadhi ya bidhaa amabazo Mohamed aliuzia NEWL ni pamoja na filter za generators zilizoko kwenye minara ya simu cement na nondo aliuza Elerai amabayo ilikuwa na tender ya kujenga ofisi za mkuu wa mkoa Manyara na ofisi nyingi za serekali hasa wilaya na mikoa mipya.

Kwa upeo wangu sidhani kama ilikuwa sahihi kumuunganisha Bwana Lema na kampuni fake za Mohamed kwasababu zifuatazo.

Kampuni za Lema yaani Elerai & NEWL zilikuwa zikinunua huduma / bidhaa kutoka kwa kampuni za Mohamed baadhi zilikuwa na usajili na nyingine zilikuwa na usajili wa magumashi lakini zote zilikuwa na VRN,TIN,Clearance Certificates,Certificate of Incorporation na leseni za biashara.Mwisho wa mwezi wahasibu walikuwa wakitumia invoices za kampuni za Moahamed to claims VAT utshangaa wakiingiza VRN kwenye system inakubaliwa ?.

Hivi ukienda dukani kununua bidhaa ukakuta leseni fake,tin fake.... kosa linakuwa kwa mnunuzi au muuzaji ?.Nadhani mnunuzi hayuko katika nafasi nzuri ya kugundua iwapo sehemu anayonunua bidhaa au huduma kuna tatizo la kisheria.

Nadhani vyombo vyetu vya sheria vingi vinafanya kazi kwa hofu,kujionyesha..... lakini mwisho wa siku wakienda mbele ya sheria wanajikuta wanashindwa kwakuwa mara nyngi hawafanyi utafiti wa kutosha na kujiridhisha kabla ya kupeleka kesi mahakamani.
Sasa wewe hapa unatetea bila kufanya uchunguzi wa kutosha ambao unataka ufanyike. Kama issue iko kama ulivyoelezea basi atapata haki yake. Ndio maana mpaka sasa tukasema anaitwa mtuhumiwa. BTW mimi nina uzoefu na wafanyabiashara wengi wa Tanzania, wakubwa kwa wadogo. Wafanyabiashara utakaowakuta yuko clean kwenye shughuli zao ni wa kuhesabu, au niseme sijui kama wapo! Hii inatokana na hali halisi ya mazingira ya biashara ya nchi yetu! Ukitaka kila kitu kiwe halali hutafanikiwa kwenye biashara yako. Kwa mfano watu wengi wanaomiliki kampuni za ujenzi kama huyu bwana ni kuhonga ili uapate tenda serikalini ni kama sheria. Na ukija kwenye mambo ya kodi tena ukiamua kufanya kila kitu clean basi utaumia...
 
Sasa wewe hapa unatetea bila kufanya uchunguzi wa kutosha ambao unataka ufanyike. Kama issue iko kama ulivyoelezea basi atapata haki yake. Ndio maana mpaka sasa tukasema anaitwa mtuhumiwa. BTW mimi nina uzoefu na wafanyabiashara wengi wa Tanzania, wakubwa kwa wadogo. Wafanyabiashara utakaowakuta yuko clean kwenye shughuli zao ni wa kuhesabu, au niseme sijui kama wapo! Hii inatokana na hali halisi ya mazingira ya biashara ya nchi yetu! Ukitaka kila kitu kiwe halali hutafanikiwa kwenye biashara yako. Kwa mfano watu wengi wanaomiliki kampuni za ujenzi kama huyu bwana ni kuhonga ili uapate tenda serikalini ni kama sheria. Na ukija kwenye mambo ya kodi tena ukiamua kufanya kila kitu clean basi utaumia...

Mkuu macho_mdiliko sitetei naeleza mambo jinsi ninavyoyajua.Utakuja kushangaa Jamhuri inashindwa kesi nyingi si kwamba mawakili wa serekali ni wazembe au wanashirikiana na watuhumiwa lahasha unakuta msingi wa kesi tangu mwanzo umejikita katika siasa badala ya sheria.
 
Mkuu uko deep sana inaoneka wewe ni insider au ma strong ties na jamaa in good will.

Mkuu Matola nimefanya biashara na NEWL muda mrefu nawajua wafanyakazi wake wengi hata hichi nilichoandika ni kwasababu ya huo uhusiano baada ya malipo yangu kukwama kwasababu ya kukosa saini ya mkurugenzi.Nimezungumza na wataalamu wake kuanzia procurement na Accountant wake.
 
Heshima sana wakuu,

Issue ya Bwana Lema Mkurugenzi wa kampuni ya NEWL & Elerai Construction katika hii kesi nadhani ipo kishinikizo zaidi kuliko kisheria.

Bwana Lema alikuwa akifanya biashara na Mohamed Mustafa kwa muda mrefu kidogo.Mohamed Mustafa alikuwa akimuuzia Lema bidhaa mbali mbali kupitia kampuni zake alizosajili nyingi zikiwa za uongo (fake campany) zikiwa na TIN & VRN ambazo zote zinatolewa na TRA usajili wa kampuni unafanywa na BRELA.Baadhi ya bidhaa amabazo Mohamed aliuzia NEWL ni pamoja na filter za generators zilizoko kwenye minara ya simu cement na nondo aliuza Elerai amabayo ilikuwa na tender ya kujenga ofisi za mkuu wa mkoa Manyara na ofisi nyingi za serekali hasa wilaya na mikoa mipya.

Kwa upeo wangu sidhani kama ilikuwa sahihi kumuunganisha Bwana Lema na kampuni fake za Mohamed kwasababu zifuatazo.

Kampuni za Lema yaani Elerai & NEWL zilikuwa zikinunua huduma / bidhaa kutoka kwa kampuni za Mohamed baadhi zilikuwa na usajili na nyingine zilikuwa na usajili wa magumashi lakini zote zilikuwa na VRN,TIN,Clearance Certificates,Certificate of Incorporation na leseni za biashara.Mwisho wa mwezi wahasibu walikuwa wakitumia invoices za kampuni za Moahamed to claims VAT utshangaa wakiingiza VRN kwenye system inakubaliwa ?.

Hivi ukienda dukani kununua bidhaa ukakuta leseni fake,tin fake.... kosa linakuwa kwa mnunuzi au muuzaji ?.Nadhani mnunuzi hayuko katika nafasi nzuri ya kugundua iwapo sehemu anayonunua bidhaa au huduma kuna tatizo la kisheria.

Nadhani vyombo vyetu vya sheria vingi vinafanya kazi kwa hofu,kujionyesha..... lakini mwisho wa siku wakienda mbele ya sheria wanajikuta wanashindwa kwakuwa mara nyngi hawafanyi utafiti wa kutosha na kujiridhisha kabla ya kupeleka kesi mahakamani.
Umemaliza mkuu, shinikizo haswa na kupenda sifa na kufedhehesha watu kunakofanywa na serikali ndio kumemfikisha Lema hapo.
 
Finance Manager wa NEWL Mr Migire ni CPA (T) & MBA bado kuna Chief Accountant ni CPA bado senior acct bado kuna ACC payable,Acc Recevable & cost.ukinda vitengo vingine Procurement,Transport & Technical wapo wasomi kibao kuanzia wazungu,wahindi hadi wachina.

Kama ni kuwatumia wasomi jamaa kawajaza kweli kweli.
Anaye sign financial accounts as director ni nani? Yeye mwenyewe au hao ma expert.?
Kwenye ku sign financial statement ni Watu wawili director wa kampuni na chief accountant. Sasa ikiwa yeye na chief accountant wali sign it means na yeye Ana husika . Jingine ni responsibility ya mngt kuweka a good accounting system and control , sasa ikiwa yeye anaji involve na vitu asivyokuwa na knowledge navyo ni shida, ikiwa ni ma expert waliofanya hizo kazi/shughuli basi anaweza kujitetea kwa kuwasukumia wahusika hayo matatizo
 
Back
Top Bottom