mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,253
Umefurahi?
ukiona hivyo ujue Lema kahusika kwenye wizi...Mohamed amefanya biashara na watu wengi kwa nini akamatwe lema peke yake? Walikuwa washirika kwenye wiziHeshima sana wakuu,
Issue ya Bwana Lema Mkurugenzi wa kampuni ya NEWL & Elerai Construction katika hii kesi nadhani ipo kishinikizo zaidi kuliko kisheria.
Bwana Lema alikuwa akifanya biashara na Mohamed Mustafa kwa muda mrefu kidogo.Mohamed Mustafa alikuwa akimuuzia Lema bidhaa mbali mbali kupitia kampuni zake alizosajili nyingi zikiwa za uongo (fake campany) zikiwa na TIN & VRN ambazo zote zinatolewa na TRA usajili wa kampuni unafanywa na BRELA.Baadhi ya bidhaa amabazo Mohamed aliuzia NEWL ni pamoja na filter za generators zilizoko kwenye minara ya simu cement na nondo aliuza Elerai amabayo ilikuwa na tender ya kujenga ofisi za mkuu wa mkoa Manyara na ofisi nyingi za serekali hasa wilaya na mikoa mipya.
Kwa upeo wangu sidhani kama ilikuwa sahihi kumuunganisha Bwana Lema na kampuni fake za Mohamed kwasababu zifuatazo.
Kampuni za Lema yaani Elerai & NEWL zilikuwa zikinunua huduma / bidhaa kutoka kwa kampuni za Mohamed baadhi zilikuwa na usajili na nyingine zilikuwa na usajili wa magumashi lakini zote zilikuwa na VRN,TIN,Clearance Certificates,Certificate of Incorporation na leseni za biashara.Mwisho wa mwezi wahasibu walikuwa wakitumia invoices za kampuni za Moahamed to claims VAT utshangaa wakiingiza VRN kwenye system inakubaliwa ?.
Hivi ukienda dukani kununua bidhaa ukakuta leseni fake,tin fake.... kosa linakuwa kwa mnunuzi au muuzaji ?.Nadhani mnunuzi hayuko katika nafasi nzuri ya kugundua iwapo sehemu anayonunua bidhaa au huduma kuna tatizo la kisheria.
Nadhani vyombo vyetu vya sheria vingi vinafanya kazi kwa hofu,kujionyesha..... lakini mwisho wa siku wakienda mbele ya sheria wanajikuta wanashindwa kwakuwa mara nyngi hawafanyi utafiti wa kutosha na kujiridhisha kabla ya kupeleka kesi mahakamani.
Ingekuwa inafaa ningekuongeza like ya tano mkuuHeshima sana wakuu,
Issue ya Bwana Lema Mkurugenzi wa kampuni ya NEWL & Elerai Construction katika hii kesi nadhani ipo kishinikizo zaidi kuliko kisheria.
Bwana Lema alikuwa akifanya biashara na Mohamed Mustafa kwa muda mrefu kidogo.Mohamed Mustafa alikuwa akimuuzia Lema bidhaa mbali mbali kupitia kampuni zake alizosajili nyingi zikiwa za uongo (fake campany) zikiwa na TIN & VRN ambazo zote zinatolewa na TRA usajili wa kampuni unafanywa na BRELA.Baadhi ya bidhaa amabazo Mohamed aliuzia NEWL ni pamoja na filter za generators zilizoko kwenye minara ya simu cement na nondo aliuza Elerai amabayo ilikuwa na tender ya kujenga ofisi za mkuu wa mkoa Manyara na ofisi nyingi za serekali hasa wilaya na mikoa mipya.
Kwa upeo wangu sidhani kama ilikuwa sahihi kumuunganisha Bwana Lema na kampuni fake za Mohamed kwasababu zifuatazo.
Kampuni za Lema yaani Elerai & NEWL zilikuwa zikinunua huduma / bidhaa kutoka kwa kampuni za Mohamed baadhi zilikuwa na usajili na nyingine zilikuwa na usajili wa magumashi lakini zote zilikuwa na VRN,TIN,Clearance Certificates,Certificate of Incorporation na leseni za biashara.Mwisho wa mwezi wahasibu walikuwa wakitumia invoices za kampuni za Moahamed to claims VAT utshangaa wakiingiza VRN kwenye system inakubaliwa ?.
Hivi ukienda dukani kununua bidhaa ukakuta leseni fake,tin fake.... kosa linakuwa kwa mnunuzi au muuzaji ?.Nadhani mnunuzi hayuko katika nafasi nzuri ya kugundua iwapo sehemu anayonunua bidhaa au huduma kuna tatizo la kisheria.
Nadhani vyombo vyetu vya sheria vingi vinafanya kazi kwa hofu,kujionyesha..... lakini mwisho wa siku wakienda mbele ya sheria wanajikuta wanashindwa kwakuwa mara nyngi hawafanyi utafiti wa kutosha na kujiridhisha kabla ya kupeleka kesi mahakamani.
Atakuwa mpogoro huyo***Hikusanye??? ....Mkuu Ikusanye
ukiona hivyo ujue Lema kahusika kwenye wizi...Mohamed amefanya biashara na watu wengi kwa nini akamatwe lema peke yake? Walikuwa washirika kwenye wizi
haha....dah sawa mkuu nimecheka sanaAtakuwa mpogoro huyo
Kama jamaa Shule ni ndogo ni vizuri aka ajira director ambaye anauelewa ambaye anaweza ku question vitendo vya muhasibu. Kwa sababu kwa hali ya sasa Kama ame sign mahesabu yake ya mwaka pamoja na muhasibu wake, hivyo yeye amekubali kwamba mahesabu yapo sawa .Ila Lema ni mpambanaji haswa, hili balaa la kukwepa kodi itakuwa bahati mbaya tu au wahasibu wake ndio wanahusika sana na wao wamelamba hela nyingi kuliko yeye maana jamaa ni darasa la saba tu elimu ndogo, mwaka juzi alifukuza kazi karibu robo tatu ya wafanyakazi wake maana walikuwa wanamuibia sana, alikuwa na muhasibu anaitwa Ta....mo jamaa alikuwa mwizi sana, ameweza kuwa na yeye na vitega uchumi kadhaa, na alikuwa mchawi kweli dili likishtukiwa watu wanasubiri tu afukuzwe ila jamaa akisafikiri akirudi tu anaitwa ofisini kwa bosi na kupewa kazi ya kuhakiki mradi mpya watu wakawa wamechoka kabisa kumweleza bosi madhaifu ya jamaa. Ila mwisho alitimuliwa tu. Sasa hivi maskini ameajiri wazungu kwenye idara nyeti ili wasimzunguke, na balaa ni balaa tu yamemfika.
Atakua mchagga tuSamweli Lema
View attachment 370927
Wazaramo hawana chuki wivu visasi na hawaseng'enyi wala kusimanga mengine tunawasingizia tu hata ubaguzi hawanaWazaramo ni majasiri, sio wakabila, wazaramo huridhika na wanachokipata.
Kama jamaa Shule ni ndogo ni vizuri aka ajira director ambaye anauelewa ambaye anaweza ku question vitendo vya muhasibu. Kwa sababu kwa hali ya sasa Kama ame sign mahesabu yake ya mwaka pamoja na muhasibu wake, hivyo yeye amekubali kwamba mahesabu yapo sawa .
Hakuna ufisadi uliofanywa na CCM mkuu. Ulifanywa na watu wakiwa ndani ya CCM na wengine wengi wako upinzani sasa. Weka mambo sawa usipotoshe watu.Endelea kujidanganya kuamini MTU nchi hii inaendeshwa Na katiba ya jamuhuri ya muungano Mahakamani hakuna cha matakwa ya MTU ni Sheria zinasemaje tu. Kama kweli wewe ni mchukia ufisadi kuna ufisadi miaka mingapi umefanyika ndani ya ccm ujawachukia lugumi meremeta Richmond escrow EPA huu ufisadi wote umefanya Na ccm wewe unachukia chadema
Yumo ndani ya ile kesi, ni ktk msako wa wale wote walioshiriki ktk mchezo ule
Mkuu uko deep sana inaoneka wewe ni insider au una strong ties na jamaa in good will.Finance Manager wa NEWL Mr Migire ni CPA (T) & MBA bado kuna Chief Accountant ni CPA bado senior acct bado kuna ACC payable,Acc Recevable & cost.ukinda vitengo vingine Procurement,Transport & Technical wapo wasomi kibao kuanzia wazungu,wahindi hadi wachina.
Kama ni kuwatumia wasomi jamaa kawajaza kweli kweli.
Sasa wewe hapa unatetea bila kufanya uchunguzi wa kutosha ambao unataka ufanyike. Kama issue iko kama ulivyoelezea basi atapata haki yake. Ndio maana mpaka sasa tukasema anaitwa mtuhumiwa. BTW mimi nina uzoefu na wafanyabiashara wengi wa Tanzania, wakubwa kwa wadogo. Wafanyabiashara utakaowakuta yuko clean kwenye shughuli zao ni wa kuhesabu, au niseme sijui kama wapo! Hii inatokana na hali halisi ya mazingira ya biashara ya nchi yetu! Ukitaka kila kitu kiwe halali hutafanikiwa kwenye biashara yako. Kwa mfano watu wengi wanaomiliki kampuni za ujenzi kama huyu bwana ni kuhonga ili uapate tenda serikalini ni kama sheria. Na ukija kwenye mambo ya kodi tena ukiamua kufanya kila kitu clean basi utaumia...Heshima sana wakuu,
Issue ya Bwana Lema Mkurugenzi wa kampuni ya NEWL & Elerai Construction katika hii kesi nadhani ipo kishinikizo zaidi kuliko kisheria.
Bwana Lema alikuwa akifanya biashara na Mohamed Mustafa kwa muda mrefu kidogo.Mohamed Mustafa alikuwa akimuuzia Lema bidhaa mbali mbali kupitia kampuni zake alizosajili nyingi zikiwa za uongo (fake campany) zikiwa na TIN & VRN ambazo zote zinatolewa na TRA usajili wa kampuni unafanywa na BRELA.Baadhi ya bidhaa amabazo Mohamed aliuzia NEWL ni pamoja na filter za generators zilizoko kwenye minara ya simu cement na nondo aliuza Elerai amabayo ilikuwa na tender ya kujenga ofisi za mkuu wa mkoa Manyara na ofisi nyingi za serekali hasa wilaya na mikoa mipya.
Kwa upeo wangu sidhani kama ilikuwa sahihi kumuunganisha Bwana Lema na kampuni fake za Mohamed kwasababu zifuatazo.
Kampuni za Lema yaani Elerai & NEWL zilikuwa zikinunua huduma / bidhaa kutoka kwa kampuni za Mohamed baadhi zilikuwa na usajili na nyingine zilikuwa na usajili wa magumashi lakini zote zilikuwa na VRN,TIN,Clearance Certificates,Certificate of Incorporation na leseni za biashara.Mwisho wa mwezi wahasibu walikuwa wakitumia invoices za kampuni za Moahamed to claims VAT utshangaa wakiingiza VRN kwenye system inakubaliwa ?.
Hivi ukienda dukani kununua bidhaa ukakuta leseni fake,tin fake.... kosa linakuwa kwa mnunuzi au muuzaji ?.Nadhani mnunuzi hayuko katika nafasi nzuri ya kugundua iwapo sehemu anayonunua bidhaa au huduma kuna tatizo la kisheria.
Nadhani vyombo vyetu vya sheria vingi vinafanya kazi kwa hofu,kujionyesha..... lakini mwisho wa siku wakienda mbele ya sheria wanajikuta wanashindwa kwakuwa mara nyngi hawafanyi utafiti wa kutosha na kujiridhisha kabla ya kupeleka kesi mahakamani.
Sasa wewe hapa unatetea bila kufanya uchunguzi wa kutosha ambao unataka ufanyike. Kama issue iko kama ulivyoelezea basi atapata haki yake. Ndio maana mpaka sasa tukasema anaitwa mtuhumiwa. BTW mimi nina uzoefu na wafanyabiashara wengi wa Tanzania, wakubwa kwa wadogo. Wafanyabiashara utakaowakuta yuko clean kwenye shughuli zao ni wa kuhesabu, au niseme sijui kama wapo! Hii inatokana na hali halisi ya mazingira ya biashara ya nchi yetu! Ukitaka kila kitu kiwe halali hutafanikiwa kwenye biashara yako. Kwa mfano watu wengi wanaomiliki kampuni za ujenzi kama huyu bwana ni kuhonga ili uapate tenda serikalini ni kama sheria. Na ukija kwenye mambo ya kodi tena ukiamua kufanya kila kitu clean basi utaumia...
Mkuu uko deep sana inaoneka wewe ni insider au ma strong ties na jamaa in good will.
Umemaliza mkuu, shinikizo haswa na kupenda sifa na kufedhehesha watu kunakofanywa na serikali ndio kumemfikisha Lema hapo.Heshima sana wakuu,
Issue ya Bwana Lema Mkurugenzi wa kampuni ya NEWL & Elerai Construction katika hii kesi nadhani ipo kishinikizo zaidi kuliko kisheria.
Bwana Lema alikuwa akifanya biashara na Mohamed Mustafa kwa muda mrefu kidogo.Mohamed Mustafa alikuwa akimuuzia Lema bidhaa mbali mbali kupitia kampuni zake alizosajili nyingi zikiwa za uongo (fake campany) zikiwa na TIN & VRN ambazo zote zinatolewa na TRA usajili wa kampuni unafanywa na BRELA.Baadhi ya bidhaa amabazo Mohamed aliuzia NEWL ni pamoja na filter za generators zilizoko kwenye minara ya simu cement na nondo aliuza Elerai amabayo ilikuwa na tender ya kujenga ofisi za mkuu wa mkoa Manyara na ofisi nyingi za serekali hasa wilaya na mikoa mipya.
Kwa upeo wangu sidhani kama ilikuwa sahihi kumuunganisha Bwana Lema na kampuni fake za Mohamed kwasababu zifuatazo.
Kampuni za Lema yaani Elerai & NEWL zilikuwa zikinunua huduma / bidhaa kutoka kwa kampuni za Mohamed baadhi zilikuwa na usajili na nyingine zilikuwa na usajili wa magumashi lakini zote zilikuwa na VRN,TIN,Clearance Certificates,Certificate of Incorporation na leseni za biashara.Mwisho wa mwezi wahasibu walikuwa wakitumia invoices za kampuni za Moahamed to claims VAT utshangaa wakiingiza VRN kwenye system inakubaliwa ?.
Hivi ukienda dukani kununua bidhaa ukakuta leseni fake,tin fake.... kosa linakuwa kwa mnunuzi au muuzaji ?.Nadhani mnunuzi hayuko katika nafasi nzuri ya kugundua iwapo sehemu anayonunua bidhaa au huduma kuna tatizo la kisheria.
Nadhani vyombo vyetu vya sheria vingi vinafanya kazi kwa hofu,kujionyesha..... lakini mwisho wa siku wakienda mbele ya sheria wanajikuta wanashindwa kwakuwa mara nyngi hawafanyi utafiti wa kutosha na kujiridhisha kabla ya kupeleka kesi mahakamani.
Umemaliza mkuu, shinikizo haswa na kupenda sifa na kufedhehesha watu kunakofanywa na serikali ndio kumemfikisha Lema hapo.
Anaye sign financial accounts as director ni nani? Yeye mwenyewe au hao ma expert.?Finance Manager wa NEWL Mr Migire ni CPA (T) & MBA bado kuna Chief Accountant ni CPA bado senior acct bado kuna ACC payable,Acc Recevable & cost.ukinda vitengo vingine Procurement,Transport & Technical wapo wasomi kibao kuanzia wazungu,wahindi hadi wachina.
Kama ni kuwatumia wasomi jamaa kawajaza kweli kweli.