Billionaire Samweli Lema wa Arusha Ndani ya Segerea

Billionaire Samweli Lema wa Arusha Ndani ya Segerea

Sikumuelewa Huyo mtangazaji wa ITV ..Ivi yumo kwnye Kesi pamoja na Huyo wa Dakika Moja ..au ni separate Case
 
Sikumuelewa Huyo mtangazaji wa ITV ..Ivi yumo kwnye Kesi pamoja na Huyo wa Dakika Moja ..au ni separate Case
Yumo ndani ya ile kesi, ni ktk msako wa wale wote walioshiriki ktk mchezo ule
 
Jina lake yu linatangulizwa na heshima ya pesa sasa Kwa nini afungwe huyo ameenda kutembea tu segerea hamna mfungwa hapo ☺️☺️

Ni kweli ana pesa tena sana tu, ila tambua kua Hata huyo aliemfanya Mr Lema kuingia matatani leo hii ana pesa zaidi ya Lema lkn yupo mahabusu wiki ya pili sasa

Pia hatujasema Mr Lema kafungwa, ni mahabusu tu au tumuite mtuhumiwa hadi pale mahakama itakapomkuta na hatia, mahabusu siyo mfungwa
 
Mikoa isiyo yao ni ipi wewe kuna watu mna hasira Na watu Wa mikoa Fulani kisa mafanikio yao mkuu pambana Na Hali yako ndio utafikia mafaniko siyo kuona wivu wivu unaendana Na mapenzi siyo maendeleo
Mimi mzalendo bhana, siwezi kushirikiana na wezi kuliibia taifa langu milioni saba kwa dakika, halafu najisifu eti hayo ni mafanikio, huku nikilalamikia serikali haijengi nchi.
 
Acha jelous we tahira,mbona Kuna tetesi watu toka kanda anayotoka magu wanapewa nafasi zaidi serikalini Ila hakuna anayelalamika kwa. Sana....fanya kazi usikalie kula ugoro hku una post utumbo humu jf
Mbona mwalimu aliwajaza wakurya majeshini? Utiifu ndio unatakiwa sio wizi kusifiwa.
 
Mimi mzalendo bhana, siwezi kushirikiana na wezi kuliibia taifa langu milioni saba kwa dakika, halafu najisifu eti hayo ni mafanikio, huku nikilalamikia serikali haijengi nchi.
Kwaiyo kuwa mzalendo ndio kubagua mikoa Fulani kisa wamechagua mabadiliko
Kuwa mzalendo ndio kuwa mtu Wa Namna gani kwa akili zako hao akina lema waliamka tu kwenye umaskini Na kuiba iyo milioni Saba kila dakika endelea kusubiri mkuu tatizo lako ni moja tu kuchukia waliokuzidi kipato pambana Na Hali yako hiyo kesi ndio kwanza ipo mahakamani wanaweza shinda kesi Na wakarudi uraiani wewe ukaendelea Na chuki zako Na wao wanaendelea Na maendeleo yao
 
Aiseeeeeee Erelai ndani ya Chechela,Segedansi,nondo,gereza, inside ,ndete, lupango.
 
Wapinzani tutafute kick zingine asee sio kuiponda tena serikal

Na watawala tumeshaelewa nini mnakifanya haya maigizo ifike hatua tuwaachie kaole sanaa group
Juzi nikisikia mwaka kafungiwa leo nimesikia huduma inaendelea si maigizo hay, itabidi mtunga stori awe anazipeleka kwa Mussa Banzi
 
Weee! Unaota nini? Ninahisi huenda magufuli analia, hachomoki MTU hapo.😡
Endelea kujidanganya kuamini MTU nchi hii inaendeshwa Na katiba ya jamuhuri ya muungano Mahakamani hakuna cha matakwa ya MTU ni Sheria zinasemaje tu. Kama kweli wewe ni mchukia ufisadi kuna ufisadi miaka mingapi umefanyika ndani ya ccm ujawachukia lugumi meremeta Richmond escrow EPA huu ufisadi wote umefanya Na ccm wewe unachukia chadema
 
Hatari sana, huyu jamaa ana landcruiser mkonge za kusambaza mafuta kwenye minara ya simu nadhani si chini ya Mia na usheee
Itabidi hizo nazo zichunguzwe na interpol,huenda nazo ni zilezile.
 
Back
Top Bottom