Billionaire Samweli Lema wa Arusha Ndani ya Segerea

Billionaire Samweli Lema wa Arusha Ndani ya Segerea

Mafahari wawili wakipigana.......muda bado tuwe na subira
 
Naunga mkono hoja,kodi lazima ikusanywe,na wakwepaji wote wabanwe kinamna yeyote...
 
...nikikumbuka mamlaka na madaraka ya rais KIKATIBA,na personality ya rais aliyepo;ajidhaniaye amesimama ajiangalie asije akaanguka!
..lolote linaweza kutokea!
 
Mikoa isiyo yao ni ipi wewe kuna watu mna hasira Na watu Wa mikoa Fulani kisa mafanikio yao mkuu pambana Na Hali yako ndio utafikia mafaniko siyo kuona wivu wivu unaendana Na mapenzi siyo maendeleo
Na lema siyo kwamba ni Jizi, basi tu balaa humpata yoyote.
Huyu ni moja ya matajiri walioanzia chini kabisa na ameweza kuikuza na kuendesha biashara yake hadi kufikia ubilionea akiwa na certificate ya electrical tu
 
Weee! Unaota nini? Ninahisi huenda magufuli analia, hachomoki mtu hapo.😡
Don't judge until the court proves them guilty.. Kwasasa ni mtuhumiwa tu, mimi na wewe hatujui uhusika wa moja kwa moja wa lema ktk hili
 
Na lema siyo kwamba ni Jizi, basi tu balaa humpata yoyote.
Huyu ni moja ya matajiri walioanzia chini kabisa na ameweza kuikuza na kuendesha biashara yake hadi kufikia ubilionea akiwa na certificate ya electrical tu
Lema ni mwizi..alikua anaibia taifa mapato mingi sanaaa..kwa kukwepa kodi kwa kutumia machine zisizo tambuliwa na tra...uchakachuaji wa tender n.k
 
Sasa unataka na wao wajisifu, kuiibia serikali yao na kwa taarifa yako wazaramo wanautajiri halali wa korosho,hebu tembelea ikwiriri.
Na mananasi bugaboo.....
 
Sasa povu lote la nini au hawa wazaramo wanaugomvi na wagogo?
Uugomvi kati ya mgogo na mzaramo kwasasa haukwepeki, wazaramo walizizoea STK, STL nk Dar ila sasahivi Magu kaamua awawpelekee wagogo Dom
 
Lema ni mwizi..alikua anaibia taifa mapato mingi sanaaa..kwa kukwepa kodi kwa kutumia machine zisizo tambuliwa na tra...uchakachuaji wa tender n.k
Kwa hali ya nchi yetu ilivyo hakuna mkandarasi yoyote anaeweza pewa tender yoyote bila kutoa chochote
 
Northern air,northern engineering dah!! Acha waisome tu hamna jinsi,wanazunguka navogue kumbe wanaforge mpk refund za TRA!sipati picture km rais angekua mtu km naniiii........km angeweza kufumua madudu km haya!JPM abarikiwe sana
Lema ni cha mtoto kwa mafisadi wa makontena na geji ya mafuta.
 
Northern air,northern engineering dah!! Acha waisome tu hamna jinsi,wanazunguka navogue kumbe wanaforge mpk refund za TRA!sipati picture km rais angekua mtu km naniiii........km angeweza kufumua madudu km haya!JPM abarikiwe sana
Lema ni cha mtoto kwa Lugumi, lakini Lugumi anapata mtaani.
 
Daah huyu si ndo alikuwa anashika tender zote za majengo ya Serikali? Kajenga almost ofisi zote za makao makuu ya wilaya na mikoa zilizojengwa from 2000's kumbe jipu??
Siyo jipu mkuu, Lema ni hardworker, hili limemkuta ni balaa tu
 
Chadema kingechukua dola watanzania wa mikoa isiyo yao tungeuzwa utumwani.
Mbona mshauzwa zamani, wakati mnapigania vyeo serikalini wenzenu wanamiliki maelfu ekari za mashamba vijijini kwenu, mashimo ya madini, biashara za utalii, maduka ya nguo, maduka ya rejareja, uchumi unamilikiwa na kanda ya kaskazini.
 
Back
Top Bottom