Billionaire Samweli Lema wa Arusha Ndani ya Segerea

Billionaire Samweli Lema wa Arusha Ndani ya Segerea

Northern air,northern engineering dah!! Acha waisome tu hamna jinsi,wanazunguka navogue kumbe wanaforge mpk refund za TRA!sipati picture km rais angekua mtu km naniiii........km angeweza kufumua madudu km haya!JPM abarikiwe sana
Mbona unahukumu kabla ya kesi yenyewe haijaanza kusikilizwa?
 
Sasa unataka na wao wajisifu, kuiibia serikali yao na kwa taarifa yako wazaramo wanautajiri halali wa korosho,hebu tembelea ikwiriri.
Nyie mna korosho ambayo mnaiuza kienyeji. wenzako wa kaskazini wana kahawa wanayoiuza katika soko la kimataifa na kuwaingizia fedha za kigeni.

Bado mtasubiri sana.
 
Munajidanganya,sasa wabongo wameamka,wakinga,wasukuma,wakurya,karibia makabila yote yana mawe ya hatareee.
Nenda wizara ya ardhi waulize wamiliki ardhi kwa asilimia kubwa hapa nchini ni watu wa kanda gani? Jibu ni kanda ya kaskazini.

Nenda kwenu uulize wanaonunua mashamba ni watu wa kanda gani.
 
Northern air,northern engineering dah!! Acha waisome tu hamna jinsi,wanazunguka navogue kumbe wanaforge mpk refund za TRA!sipati picture km rais angekua mtu km naniiii........km angeweza kufumua madudu km haya!JPM abarikiwe sana

Northern AIR haina uhusiano wowote na Lema.
 
Northern air,northern engineering dah!! Acha waisome tu hamna jinsi,wanazunguka navogue kumbe wanaforge mpk refund za TRA!sipati picture km rais angekua mtu km naniiii........km angeweza kufumua madudu km haya!JPM abarikiwe sana
WE SEMA RAIS ANGEKUA MWENYE MVII UNAOGOPA NINI WATU KAMA HAWA WANGEENDELEA KUIBIA SERIKALI MARA MIA,MATOKEO YAKE WANANCHI WA HALI YA CHINI TUNGEUMIA VBAYA MNO.
 
Duh umesha pata kadi ya CCM.
Nilijuwa utarudi tu Na avatar yako iwe
swissyou
swala ni kwamba serikali haina pesa sasa inabidi kuwatafuta matajiri na kuwalimbikizia kesi


swissme
 
Tumeongea mengi sana kuwahusu hawa mabwana,
ila wakati wanapambana & kujinyima kuitafuta pesa tuliwaona na hatukusema kitu ila leo wamefanikiwa ndio tunaanza kuwazonga...

Kama sisi ni majasiri kwanini hatujaanza na watoto wa mkwere.?

Kama tunajisifia kwa kufanya kazi kwanini hatujamgusa Lugumi.?

Wapo wengi waliotuibia lakini kutokana na mihemko ya kisiasa tumewasahau na kuwasamehe wezi wote( )
badala yake tunabaki kuwakamata hawa waliojijengea misingi imara ya kutafuta pesa..
Ila mimi nafikiri ni chuki tu dhidi ya watu wakaskazini imetujaa kama sio hvyo kwaujasiri tusingewasamehe wakwepa kodi walioigarimu serikali ya tz akiwemo Said BAKHRESA.. na wenzie..

ila hao hawakupelekwa mahakamani wala kufungwa badala yake walipewa siku 7 kuhakikisha wameklia madeni yao..

Nasikia harufu ya Ukanda

Pole sana bavicha. Walipokuwa wakiibia serikali hakukuwa na ukanda siyo?
 
Hatari sana, huyu jamaa ana landcruiser mkonge za kusambaza mafuta kwenye minara ya simu nadhani si chini ya Mia na usheee
Na mapesa yote hayo bado anakwepa ushuru, kweli binadamu haitakaa itokee tutosheke
 
swala ni kwamba serikali haina pesa sasa inabidi kuwatafuta matajiri na kuwalimbikizia kesi


swissme
Hebu acha kujitoa ufahamu. Mara nyingine weka siasa uchwara pembeni
 
Kwa hali ya nchi yetu ilivyo hakuna mkandarasi yoyote anaeweza pewa tender yoyote bila kutoa chochote

Mwaka jana wakandarasi waliochukua tender tanroads hawakutoa hata thumni.. Mwaka huu ndio hawathubutu kabisa
 
Katika awamu iliyopita uchumi ulikuwa unakua kwa kasi sana, lakini tutakuwa tunakosea sana kukubali uchumi unaokuzwa na pesa za rushwa, wizi wa makontena bandarini, kuchukua billion zaidi ya 60 kushona uniformu kisha ukaziweka mfukoni bila kufanya kazi yoyote ...kwa kifupi 'uchumi wa utakatishaji pesa/money laundering'.
Ni ngumu kukubaliana lakini ni lazima tutafute mwanzo mpya ambao kwa vyovyote vile utatuumiza baadhiu yetu na hasa beneficiaries wa mfumo uliotangulia.
 
Back
Top Bottom