Billionaire Samweli Lema wa Arusha Ndani ya Segerea

Billionaire Samweli Lema wa Arusha Ndani ya Segerea

Alishatoka au bado
LEMA KIGOGO.jpg
 
Akili za kimaskini
Anayehudumia minara
1. kufanya service ya gensets
2. kufanya refueling
3. Ku-attend callouts

Si jambo la ajabu kuwa na landcruisers. Unawezaje panda na IST pale juu mlimani kwenye mnara wa Chanikanguo Masasi!? Unawezaje kupanda na Starlet pale Mikangaula ..!? unafikaje pande plot huko Kilwa wakati wa mvua.!? unapandeje kwenye minara ya Mazombe kule Iringa kama si Landcruiser!? unafikaje Towers za Lugoba kama huna landcruiser au yanayofanana na hayo..!??
Kuna watu hawajui industry fulani inahitaji nini LAKINI wanakoment hatari..!! Unfortunately unavyozidi kusimulia usilolijua ndivyo unavyozidi kuonekana au kuonyesha namna gani na kwa kiasi gani hujui...
 
View attachment 370988

Kwa wale wa Arusha na wengineo mliomo katika construction industry mtakua mnajua vema bwana Lema au maarufu kama elerai.

Huyu ni mmiliki wa kampuni ya Elerai construction na pia Northern engineering. Ni kampuni zinazoanya vizuri sana hapa nchini especially kaskazini mwa tz.

Bwana Lema leo kapandishwa kizimbani kisutu akiunganishwa kwenye kesi ya yule bilionea wa million saba kwa kila dakika.

Kesi hyo haikueza sikilizwa kwa watuhumiwa kucheleweshwa kufika mahakamani na hivyo Lema na wenzie walipelekwa rumande hadi tarehe 26.
 
Huyu mzee kwa watu ambao wamefanya kaz nae watathibitisha kuwa alikua genius...huyu mzee ana elimu ya standard 7 tuu ila ukikaa nae unaweza sema ni Prof.
 
Kwaiyo kuwa mzalendo ndio kubagua mikoa Fulani kisa wamechagua mabadiliko
Kuwa mzalendo ndio kuwa mtu Wa Namna gani kwa akili zako hao akina lema waliamka tu kwenye umaskini Na kuiba iyo milioni Saba kila dakika endelea kusubiri mkuu tatizo lako ni moja tu kuchukia waliokuzidi kipato pambana Na Hali yako hiyo kesi ndio kwanza ipo mahakamani wanaweza shinda kesi Na wakarudi uraiani wewe ukaendelea Na chuki zako Na wao wanaendelea Na maendeleo yao
Kwani wewe tataizo lako ni lipi?!,ulitaka wasipelekwe mahakamani? Au unataka waendelee tu kuliibia taifa??!,
 
Endelea kujidanganya kuamini MTU nchi hii inaendeshwa Na katiba ya jamuhuri ya muungano Mahakamani hakuna cha matakwa ya MTU ni Sheria zinasemaje tu. Kama kweli wewe ni mchukia ufisadi kuna ufisadi miaka mingapi umefanyika ndani ya ccm ujawachukia lugumi meremeta Richmond escrow EPA huu ufisadi wote umefanya Na ccm wewe unachukia chadema
Kwenye huu uzi kuna ccm na cdm tenaaa,km huwezi kuchangia si unyamaze kimya,kila kitu wewe ni ccm,
 
Tumeongea mengi sana kuwahusu hawa mabwana,
ila wakati wanapambana & kujinyima kuitafuta pesa tuliwaona na hatukusema kitu ila leo wamefanikiwa ndio tunaanza kuwazonga...

Kama sisi ni majasiri kwanini hatujaanza na watoto wa mkwere.?

Kama tunajisifia kwa kufanya kazi kwanini hatujamgusa Lugumi.?

Wapo wengi waliotuibia lakini kutokana na mihemko ya kisiasa tumewasahau na kuwasamehe wezi wote( )
badala yake tunabaki kuwakamata hawa waliojijengea misingi imara ya kutafuta pesa..
Ila mimi nafikiri ni chuki tu dhidi ya watu wakaskazini imetujaa kama sio hvyo kwaujasiri tusingewasamehe wakwepa kodi walioigarimu serikali ya tz akiwemo Said BAKHRESA.. na wenzie..

ila hao hawakupelekwa mahakamani wala kufungwa badala yake walipewa siku 7 kuhakikisha wameklia madeni yao..

Nasikia harufu ya Ukanda
Tulianza na kina manji, kuna seti lugemalila na wengine wengi tu,lkn kuna kanda furani wanaamini wao ni malaika wa mungu,ukiwagusa tu watakimbilia kusema tunafuatiliwa kusiasia,mala tunafuatiliwa kikanda,hawa watu ni waajabu sn
 
Anayehudumia minara
1. kufanya service ya gensets
2. kufanya refueling
3. Ku-attend callouts

Si jambo la ajabu kuwa na landcruisers. Unawezaje panda na IST pale juu mlimani kwenye mnara wa Chanikanguo Masasi!? Unawezaje kupanda na Starlet pale Mikangaula ..!? unafikaje pande plot huko Kilwa wakati wa mvua.!? unapandeje kwenye minara ya Mazombe kule Iringa kama si Landcruiser!? unafikaje Towers za Lugoba kama huna landcruiser au yanayofanana na hayo..!??
Kuna watu hawajui industry fulani inahitaji nini LAKINI wanakoment hatari..!! Unfortunately unavyozidi kusimulia usilolijua ndivyo unavyozidi kuonekana au kuonyesha namna gani na kwa kiasi gani hujui...
nipo upande wako boss .. mi sio mpinga maendeleo
 
nipo upande wako boss .. mi sio mpinga maendeleo
Nakusoma boss... unajua kwa baadhi ya waTZ, umasikini ndo uzalendo na utajiri ni wizi... wao kwao kila tajiri ni mwizi
Kumsomesha namba Lema, ni kuwasomesha namba waTZ wengi sana... Ni sawa na yale ya yule muhindi, hadi mbaazi ikashuka bei toka 3,000/- hadi 150/-
 
Back
Top Bottom