Tanzania Nzima Kilio Yatoke Yasipotoka Bill Inatumwa
Najiuliza Wakati Wa Ngosha Haikuwa Hivi
Sasa Wanafanya Maokoto Ya Kutisha
Ila Nenda EWURA Kalalamika Kuna Mahakama Yao Kule
Wandugu, hivi mmepitia bili zenu za maji mwezi huu, hasa wa Arusha. Naona imepanda kwa karibu asilimia 50. Kuna nini kinaendelea. Ni hitilafu ya computor au ndiyo gharama ya maji imeongezeka? inatisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.