Conspiracy theory mapenzi ni kama litmus paper Leo blue kesho redDah...nimesikia Melinda haikuwa tayari kushiriki mauaji ya Waafrika kupitia chanjo ya covid....nimesikia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisema watoto wadogo kidogo kuna ukakasi, au ulitaka kumaanisha vimada? Maana kuna wenye kesi za wanaopenda kufanya mapenzi na watoto walio na umri mdogo, kama hao kina Epstein na Prince Andrew, na wanaopenda vimada kina Clinton n.k.Bill gates alikuwa na mapenzi na watoto wadogo .Jeffrey Epstein case is getting worse .List ni kubwa Bill Clinton ,trump ,prince Andrew na prince of Saudi nakadhalika
Wenye dini yao ndo hao sasa sio ukritstu wala uislamu wote wanaoigana chiniHalafu nyie wa dini za kuletewa mnasema hakuna kuachana mpaka kifo kitutenganishe
Bongo gani?Dah.. Bongo ni bonge la vurugu mtaa mzima unasimamia kwa masaa kadhaa kisa watu wana achana.
Kuachana sio sifa njema mkuu, japo kuna mazingira ambayo mkifikia kuachana inakua muhimu kwa ustawi na usalama wa familiaKwani melinda na bill ni Mungu wasiachane
Maison ni wapi braza
Hatimae tetesi zawa ukweliMashetani yamezinguana kudadadeki.
Hawa watu wameua maelfu ya watu, yaani hii ni habari njema sana
FYI: This is CLEARLY & OBVIOUSLY the devil's plan to destroy marriage, family, and eventually, society. It is easy to accept the existence of God and his preeminence over our lives when partners respect the sacred institution called MARRIAGE & FAMILY.
CC: mama D
Ndani ya hizi ndoa kuna mengi mnooo, tungeweza kuyajua ya ndani tungeonea mengi na tofauti zaidiHivi wanawake wanataka nn kweny mahusiano pesa hapana ,kibamia hapana, tàngo hapana, six pack hapana mara anamkataa mume anakimbizana na boda au haouse boy haya na wanaume nao na beki 3 mta huko barmaid dada poa nimehoka naona tuanze majaribio yakuishi single single tu maana yajayo yanafurasha
Soma chini ya hiyo habari ameweka.Weka chanzo cha habari kwanza tujionee
Sidhani bill Yuko makiniHapo Bill gate ndio kushidi kuporomoka kwa utajiri tu.
Who is mellisaBut on a serious note, if Bill has a hand in The whole Covid-19 set-up then Melissa must have been in disagreement and opted out of the marriage.
He has raised eyebrows by his input on the Virus and been very vocal regarding it's progress, control vaccines and has recently stated that towards the end of 2022 the virus will have ceased to have the impacts it now has.
Nimeamua kwenda nazo hivyo hivyo ki majungu majungu🤣Mkuu Mbona kama hizo shutuma tu na hazina grounds zozote ??