Baada ya miaka 27 ya ndoa, wawili hao wenye ukwasi wa kutosha na ambao wamekuwa wakisaidia miradi mbalimbali ya kijamii duniani kupitia foundation yao wameweka pete chini.
View attachment 1772582
View attachment 1772583
Baada ya miaka 27 ya ndoa, wawili hao wenye ukwasi wa kutosha na ambao wamekuwa wakisaidia miradi mbalimbali ya kijamii duniani kupitia foundation yao wameweka pete chini.
View attachment 1772582
View attachment 1772583
Hii scandal ya Jeffrey Epstein itawamalizaBaada ya miaka 27 ya ndoa, wawili hao wenye ukwasi wa kutosha na ambao wamekuwa wakisaidia miradi mbalimbali ya kijamii duniani kupitia foundation yao wameweka pete chini.
View attachment 1772582
View attachment 1772583
Duh hatarBaada ya miaka 27 ya ndoa, wawili hao wenye ukwasi wa kutosha na ambao wamekuwa wakisaidia miradi mbalimbali ya kijamii duniani kupitia foundation yao wameweka pete chini.
View attachment 1772582
View attachment 1772583
Wazungu ndivyo walivyo. Hapa wanaoamini kuwa mapenzi ulaya biashara afrika biashara.Baada ya miaka 27 ya ndoa, wawili hao wenye ukwasi wa kutosha na ambao wamekuwa wakisaidia miradi mbalimbali ya kijamii duniani kupitia foundation yao wameweka pete chini.
View attachment 1772582
View attachment 1772583
hatar na nusu kabxaaaaa
Duh!
Ile case ya Jeffrey Epstein kuna picha kibao Bill gates na watoto wadogo including Bill Clinton ,trump ,Bill gates na prince AndrewHakuna aliyesalama kwenye mapenzi!
Billionaires Bill Gates and wife Melinda to get divorced after 27 years I
Watasema we have decided to go separate ways... We love each other blah blah blah
Alianza wa Jeff Bezos naona wamesharidhika na pesaDuh!
Huyu anaemfanyia massage clinton ni nani?
Mwanamke akishashika hela ndefu anakuwa haoni haja ya kuwa na mwanaume tenaUkiyasoma maelezo yao utagundua kuwa wawili hao hawajaachana kwa uadui ikiwemo mwingine kumtendea ubaya mwingine zaidi ya kila mmoja kujihisi ametamani kuanza kuishi maisha yake akiwa nje ya mwamvuli wa ndoa yao which is not bad na kwaku manisha hilo bado wametuhakikishia kuwa wataendelea kushafanya yote waliyokuwa wakishirikiana kuyafanya kasoro tu eneo la kimahusia kila mmoja atakuwa na eneo lake , you never know wenda mzeebaba alivyokuja Bongo that time alionekana anakula maharage kule Chuga wenda akapatishiwa ngoma na mamito akajua qwiqwiqwiqwiiiii
Unajua hii sheria ya kanisa inayosema HADI KIFO KIWATENGANISHE iliwekwa kwa sababu kadhaa kadhaa tu ikiwemo kila mmoja afeel ile ownership na hasa inawafaa wa a
Africa zaidi maana kwa Africa mwanamke ni kama kakifaa flani hivi ambacho jamii inakichukulia kama kikiachwa kitakuwa kimepotezewa ubora wake wa kutakiwa na wengine kitu ambacho kwa ulaya ni tofauti kabisa .
By then kuhusu hilo lakutarikiana to me is not a big deal kilichonistua ni vile jamaa kuwa tajiri No nne wakati ndiyo ilikuwa ikisemekana jamaa ndiyo tajiri No 1 Duniani ,au mimi ndiyo nilikuwa sijaelewa wakuu ?
Hii ni fursa .
Mwenye No ya Melinda tafadhali naomba ani- PM pls
Huwezi amini McKenzy Bezos mke wa jeff Bezos kashaolewa na science teacher wa shule ambayo wanafundisha wote na wanaye walisoma hapo!Divorce zingine shavu dodo unachukua kaserengeti boy unazunguka nako dunia nzima full bata (unless kulikuwa na pre-nuptials)
Sasa za huku kwetu aisee. Mtagawana hadi generational curses 🤭🤭🤣🤣
Kuna scandal ya Jeffrey Epstein Huyu alikuwa billionaire kazi yake ni kuwa tafutia powerful men watoto under age .Watoto wakike walikuwa wanakamatwa na kupeleka kwenye Island ya mapenzi .List ya watu wenye pesa waliokuwa wanaenda huko Imetolewa .Bill gates ,Trump ,prince Andrew ,king wa Saudi Arabia .wa Jordan ,Bill Clinton na list ni kubwa .Huyu anaemfanyia massage clinton ni nani?
Washamba wachache ndio wanahisi mapenzi ni hela tokana na njaa na umaskini tu! Atawaza kupata iphone, taking flights and shopping ila akipata vyote akazoea anagundua kuwa kumbe there is more than that!Nani alisema Mapenzi ni hela?
Mama naona ameamua kumpokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wake sasa! Anaamua kuachana na ya dunia ikiwemo njama za kishetani za mumewe kutuua na Covid-19!Siri za AIDS , COVID sasa zitaanza kutoka.
Wanahusika sana hawa wanandoa.
Hawa mabilionea walikuwa wanakula std 7Kuna scandal ya Jeffrey Epstein Huyu alikuwa billionaire kazi yake ni kuwa tafutia powerful men watoto under age .Watoto wakike walikuwa wanakamatwa na kupeleka kwenye Island ya mapenzi .List ya watu wenye pesa waliokuwa wanaenda huko Imetolewa .Bill gates ,Trump ,prince Andrew ,king wa Saudi Arabia .wa Jordan ,Bill Clinton na list ni kubwa .
Ni tabu, kazalishwa watoto 3, bado haitoshi, mahela? Haitoshi, watasema upweke, watatunga kila aina ya kukosekana kitu kwenye ndoa ili msambarishane, ni shida kwa kweli...Hivi wanawake wanataka nn kweny mahusiano pesa hapana ,kibamia hapana, tàngo hapana, six pack hapana mara anamkataa mume anakimbizana na boda au haouse boy haya na wanaume nao na beki 3 mta huko barmaid dada poa nimehoka naona tuanze majaribio yakuishi single single tu maana yajayo yanafurasha