Jerry Ekky
JF-Expert Member
- May 6, 2018
- 1,682
- 5,060
Mabaharia mi nawamaind sana, sio watu wa sport - sport kabisaMabaharia hawana maana. Wanakupigia saluti, baada ya muda wanakuja kukukazia mjane wako. Nyambafff sana mabaharia
Mabaharia mi nawamaind sana, sio watu wa sport - sport kabisaMabaharia hawana maana. Wanakupigia saluti, baada ya muda wanakuja kukukazia mjane wako. Nyambafff sana mabaharia
Jerry kalale. Sijui unaibukiaga wapi mida hii 🤣🤣Mabaharia mi nawamaind sana, sio watu wa sport - sport kabisa
Nyt Nyt.😊😊😂😂 Usk mwema madame.
Changamkia fursa bhana!Tena atafia kifuani aisee.
🤣🤣Jerry si nimekuambia ukalaleChangamkia fursa bhana!
🤣 🤣 🤣 🤣 We mtu wangu tena unanikana hivi hivi km samson na delilah jamani!Jerry kalale. Sijui unaibukiaga wapi mida hii 🤣🤣
Acha stor za vijiwen kakaMashetani yamezinguana kudadadeki.
Hawa watu wameua maelfu ya watu, yaani hii ni habari njema sana
Haha. Haya bana karibu.🤣 🤣 🤣 🤣 We mtu wangu tena unanikana hivi hivi km samson na delilah jamani!
Nilikuwa kwenye nyuz nyingine uko, hivi sasa nimerudi kupumzika
🤣🤣🤣🤣 Kila siku naingia jukwaani hadi natoka we bado upo, sasa leo sitoki hadi nihakikishe umeenda kulala kwanza🤣🤣Jerry si nimekuambia ukalale
Lucky you am about to call it a night. 😊😊🤣🤣🤣🤣 Kila siku naingia jukwaani hadi natoka we bado upo, sasa leo sitoki hadi nihakikishe umeenda kulala kwanza
Women got lots of expectations...wakat wao dont put nothing on table...nasemaje..karne hii tutawasainisha ma prenup had mnyeDivorce zingine shavu dodo unachukua kaserengeti boy unazunguka nako dunia nzima full bata (unless kulikuwa na pre-nuptials)
Sasa za huku kwetu aisee. Mtagawana hadi generational curses
Ila mi bado sijaamini km watu hawa wamebwaga manyanga kila mtu apite njia yakeBaada ya miaka 27 ya ndoa, wawili hao wenye ukwasi wa kutosha na ambao wamekuwa wakisaidia miradi mbalimbali ya kijamii duniani kupitia foundation yao wameweka pete chini.
View attachment 1772582
View attachment 1772583
Babu huo ubinafsi. Mabaharia tunasaidia kutunza mjane. Tunamhudumia mahitaji muhimu. 😂Mabaharia hawana maana. Wanakupigia saluti, baada ya muda wanakuja kukukazia mjane wako. Nyambafff sana mabaharia
We put nothing on the table huh.Women got lots of expectations...wakat wao dont put nothing on table...nasemaje..karne hii tutawasainisha ma prenup had mnye
Kwani we ulielewa vp huo msemo?Nani alisema Mapenzi ni hela?
Like seriously!!! Its too early to sleep nowLucky you am about to call it a night. 😊😊
Have a good one Jerry.
Am tired.Like seriously!!! Its too early to sleep now
You're overthinking. Kuzoeana, kuchokana, kushindwana kupo tu ikifika hiyo hatua dawa ni kuachana tu kwa amani ya Bwana. We nenda Maison Saturday night uone kama hutowaza mara mbili kuhusu mahusiano yako kuna pisi zamoto braza.Bill & Melinda Gates
miaka 27 ya ndoa
mbona wamevumilia mengi sana....