Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

Nachowapendea wazanzibari wanaipenda Zanzibar toka moyoni na huu muungano haujawapotezea utaifa wao.

Wangekuwa viongozi wengine waafrika, wangeishia kutengeneza dynasties zenye ukata wa kutisha. Ila wao wapo busy kutengeneza Zanzibar yao

Safi kabisa 👏🏾👏🏾👏🏾
Kabisa linapokuja swala la kuitetea Zanziber, wanaungana wote kuwa wamoja,huwezi kiona mibara,kina Kabudi wakilifanya hili.
 
Hela za Tanganyika zimehamishiwa Zanzibar. Sasa wanajenga KM mbili za Barabara kwa Bilioni 50+

Kumbuka Bajeti ya Miundombinu ya Zanzibar ni Bilioni 400 tu kwa mwaka 2026/2027 .. Sasa kama Bilioni 50 zinajenga Kilometa mbili, Mishahara, Matumizi mengine itakuwa bei gani? So kwa Mwaka Zanzibar wanatengeneza Kilometa mbili tu? Maajabu

Hiki ni kipalande cha Barabara kinachopita kwenye nyumba mpya ya Samia Suluhu Hassan...

Wanasema gharama ni Panoja na kupanda Miti. Mbona tulienda Kizimkazi kupanda Miti bure?
View attachment 3597576
Hiyo bajeti ya bilioni 471 siyo kwamba zote zinaenda barabara pekee; ni kifurushi cha miradi ya miundombinu kinachojumuisha barabara, madaraja, bandari, usafiri wa baharini, taa za barabarani na baadhi ya miradi ya usafiri wa anga. 🤣🤣🤣🤣

NGOJA NIWAPE MFANO KIDOGO ILI KUJUA TUNAPIGWA.


Hebu tuangalie miradi mbalimbali ya barabara zinazosimamiwa na TANROADS:

1. Barabara ya Kahama–Bulyanhulu Jct–Kakola (km 73) imekadiriwa kugharimu Sh bilioni 101.2, sawa na takribani Sh bilioni 1.39 kwa km moja.

2. Mradi wa Tanga–Pangani (km 50) wenye gharama ya Sh bilioni 118.7 ni takribani Sh bilioni 2.37 kwa km moja.

3. Mradi wa Nyamuswa–Bunda–Bulamba (km 56.4) kwa Sh bilioni 67.887 ni takribani Sh bilioni 1.2 kwa km moja.

Haya, Wazanzibar Jiteteeni kama hamtumii hela ambayo hamjatolea jasho
Hela ya Watanganyika. Ndo maana mnatumia Bilioni 25 kwa Kilometa moja badala ya kutumia Bilioni 5(Ukiweka na 10% ya Mafisadi)

Tuambieni.
Ndo maana tunawashangaa watanganyika wenzetu wanaowasaidia kututeka na kwenda kutuua
 
Ndugu mimi sijui mambo ya gharama ila hio barabara asili yake ilikua ni bahari ikafanyiwa land reclamation sasa hapo kuijenga tena upya inahitaji umakini wa hali ya juu sanaa huko chini kuna mitaro mtu unasimama kabisaa

Zanzibar ni njema atakae aje
 
Hela za Tanganyika zimehamishiwa Zanzibar. Sasa wanajenga KM mbili za Barabara kwa Bilioni 50+

Kumbuka Bajeti ya Miundombinu ya Zanzibar ni Bilioni 400 tu kwa mwaka 2026/2027 .. Sasa kama Bilioni 50 zinajenga Kilometa mbili, Mishahara, Matumizi mengine itakuwa bei gani? So kwa Mwaka Zanzibar wanatengeneza Kilometa mbili tu? Maajabu

Hiki ni kipalande cha Barabara kinachopita kwenye nyumba mpya ya Samia Suluhu Hassan...

Wanasema gharama ni Panoja na kupanda Miti. Mbona tulienda Kizimkazi kupanda Miti bure?
View attachment 3597576
Hiyo bajeti ya bilioni 471 siyo kwamba zote zinaenda barabara pekee; ni kifurushi cha miradi ya miundombinu kinachojumuisha barabara, madaraja, bandari, usafiri wa baharini, taa za barabarani na baadhi ya miradi ya usafiri wa anga. 🤣🤣🤣🤣

NGOJA NIWAPE MFANO KIDOGO ILI KUJUA TUNAPIGWA.


Hebu tuangalie miradi mbalimbali ya barabara zinazosimamiwa na TANROADS:

1. Barabara ya Kahama–Bulyanhulu Jct–Kakola (km 73) imekadiriwa kugharimu Sh bilioni 101.2, sawa na takribani Sh bilioni 1.39 kwa km moja.

2. Mradi wa Tanga–Pangani (km 50) wenye gharama ya Sh bilioni 118.7 ni takribani Sh bilioni 2.37 kwa km moja.

3. Mradi wa Nyamuswa–Bunda–Bulamba (km 56.4) kwa Sh bilioni 67.887 ni takribani Sh bilioni 1.2 kwa km moja.

Haya, Wazanzibar Jiteteeni kama hamtumii hela ambayo hamjatolea jasho
Hela ya Watanganyika. Ndo maana mnatumia Bilioni 25 kwa Kilometa moja badala ya kutumia Bilioni 5(Ukiweka na 10% ya Mafisadi)

Tuambieni.
Zanzibar wameamua kuifilisi Tanganyika marais wote wanatoka Zanzibar na wanafanya wapendavyo hakuna wa kuwazuia.
 
Naziona dalili za kuvunjika huu muungano wa mchongo, ikifika 2030 huyu fisadi mke akimaliza term yake na muungano chali, Wazanzibari wameichuna sana Tanganyika kwa miak 10 ya kizimkazi hivyo hawatakuwa na haja tena na Muuungano.
 
Hela za Tanganyika zimehamishiwa Zanzibar. Sasa wanajenga KM mbili za Barabara kwa Bilioni 50+
Hakuna popote pameonyesha ni fedha za JMT, hizi ni fedha zao za SMZ
Hiki ni kipalande cha Barabara kinachopita kwenye nyumba mpya ya Samia Suluhu Hassan...
Rais Samia pia ni Mtanzania, ana haki zote kumiliki mali mahala popote kama Mtanzania mwingine yeyote, hivyo kama barabara hiyo inapita mbele ya nyumba yake, ni halali yake.

Ingekuwa SMZ imetenga bajeti hiyo kujenga barabara ya kule kijijini kwake Kizimkazi kwasababu ya Samia tuu, hapo ungekuwa na uhalali wa kuhoji, hii ni barabara ile inayotoka Darajani kwenda BOT, ni kama ilivyo Sokoine Drive.
Tupunguzeni taarifa za uchimvi kufanya nongwa kila kitu cha Samia!.

Na kwa vile Rais Samia, ndie rais wa JMT, serikali ya JMT ina haki, kumjengea chochote kijijini kwake kama tulivyomfanyia Nyerere Msasa na Butiama, Mwinyi pale Mikocheni B, Mkapa pale Upanga, Lushoto na Masaki, JK pale Regent, Msoga na Masaki, Magufuli Chato, na sasa ni zamu ya Samia Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato!

Unaweza uka compare and contrast uwekezaji wa Chato vs Kizimkazi?, ile lami ilikuwa ipite Biharamulo, ikachepushwa!, Uwanja wa ndege ulikuwa ujenhwe Omukanjuguti, ukajengwa Chato!, Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!, hata reli ya SGR mwanzo haukuwepo sasa itapita Chato!.

P
 
Nachowapendea wazanzibari wanaipenda Zanzibar toka moyoni na huu muungano haujawapotezea utaifa wao.

Wangekuwa viongozi wengine waafrika, wangeishia kutengeneza dynasties zenye ukata wa kutisha. Ila wao wapo busy kutengeneza Zanzibar yao

Safi kabisa 👏🏾👏🏾👏🏾
Halafu Samia hela kazipeleka Zanzibar eti ni Pesa za AFCON.. Wapambe wanahoji mbona Arusha uwamja unajengwa kwa Bilioni 300+?

Tatizo ni thamani ya mradi na hela zillizotumika. Je, vinaendana?
 
Katiba mpya yataka utashi wa kisiasa. Wanataka kwamba watumie miaka mitatu kutoa elimu watu wajue katiba iliyopo.. Hujasikia hiyo? Katiba mpya ni Kitanzi kwake.. Hata nguvu ya ziada itumie
Si kweli, mchakato utaanza ndani ya siku 100 za kwanza Asante Rais Samia hotuba mwaka mpya, kubwa kuliko yote ni la kuanza kwa mchakato wa katiba mpya ndani ya siku 100, itawezekana? pia hapa Waungwana Wakiahidi, Wanatekeleza!, Rais Samia Aliahidi Kuanza Mchakato wa Katiba Mpya, Ndani ya Siku 100 za Kwanza, Je Atatekeleza?

P
 
Bajeti ya Zanzibar sio b 400. Mwaka huu inafika T 6
 

Attachments

  • Screenshot_2026-05-30-21-43-05-590_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2026-05-30-21-43-05-590_com.android.chrome.jpg
    247.9 KB · Views: 9
Ndugu mimi sijui mambo ya gharama ila hio barabara asili yake ilikua ni bahari ikafanyiwa land reclamation sasa hapo kuijenga tena upya inahitaji umakini wa hali ya juu sanaa huko chini kuna mitaro mtu unasimama kabisaa

Zanzibar ni njema atakae aje
Sass mbona maji ya mvua yana jaaa si yange ondoka
 
Back
Top Bottom