Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

Hela za Tanganyika zimehamishiwa Zanzibar. Sasa wanajenga KM mbili za Barabara kwa Bilioni 50+

Kumbuka Bajeti ya Miundombinu ya Zanzibar ni Bilioni 400 tu kwa mwaka 2026/2027 .. Sasa kama Bilioni 50 zinajenga Kilometa mbili, Mishahara, Matumizi mengine itakuwa bei gani? So kwa Mwaka Zanzibar wanatengeneza Kilometa mbili tu? Maajabu

Hiki ni kipalande cha Barabara kinachopita kwenye nyumba mpya ya Samia Suluhu Hassan...

Wanasema gharama ni Panoja na kupanda Miti. Mbona tulienda Kizimkazi kupanda Miti bure?
View attachment 3597576
Hiyo bajeti ya bilioni 471 siyo kwamba zote zinaenda barabara pekee; ni kifurushi cha miradi ya miundombinu kinachojumuisha barabara, madaraja, bandari, usafiri wa baharini, taa za barabarani na baadhi ya miradi ya usafiri wa anga. 🤣🤣🤣🤣

NGOJA NIWAPE MFANO KIDOGO ILI KUJUA TUNAPIGWA.


Hebu tuangalie miradi mbalimbali ya barabara zinazosimamiwa na TANROADS:

1. Barabara ya Kahama–Bulyanhulu Jct–Kakola (km 73) imekadiriwa kugharimu Sh bilioni 101.2, sawa na takribani Sh bilioni 1.39 kwa km moja.

2. Mradi wa Tanga–Pangani (km 50) wenye gharama ya Sh bilioni 118.7 ni takribani Sh bilioni 2.37 kwa km moja.

3. Mradi wa Nyamuswa–Bunda–Bulamba (km 56.4) kwa Sh bilioni 67.887 ni takribani Sh bilioni 1.2 kwa km moja.

Haya, Wazanzibar Jiteteeni kama hamtumii hela ambayo hamjatolea jasho
Hela ya Watanganyika. Ndo maana mnatumia Bilioni 25 kwa Kilometa moja badala ya kutumia Bilioni 5(Ukiweka na 10% ya Mafisadi)

Tuambieni.
Hadi 2029...CCM itakuwa ni kama kumsukuma mlevi...mambo mengi sana ikiwemo mfumuko wa bei na miundo mbinu iliyoharibika...

Sadly kule bungen ni kusifu na makofi tu...kumbe walipaswa rekebisha makosa yaliyowagharim 2025...

Ile ya 2025 haitakaa itokee tena wataondoka wao ccm sio watu tena kufa!
 
Na huu ndio ukweli wenyewe kabisa.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Kuna wenzetu waliuwawa October 29 kwa kupinga huu ufala.
 

Attachments

  • Screenshot_2026-06-01-06-10-59-155_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2026-06-01-06-10-59-155_com.android.chrome.jpg
    194 KB · Views: 10
Hela za Tanganyika zimehamishiwa Zanzibar. Sasa wanajenga KM mbili za Barabara kwa Bilioni 50+ kisa AFCON.

AFCON ishakuwa Dilisha la upigaji.

Kumbuka Bajeti ya Miundombinu ya Zanzibar ni Bilioni 400 tu kwa mwaka 2026/2027 .. Sasa kama Bilioni 50 zinajenga Kilometa mbili, Mishahara, Matumizi mengine itakuwa bei gani? So kwa Mwaka Zanzibar wanatengeneza Kilometa mbili tu? Maajabu

Hiki ni kipalande cha Barabara kinachopita kwenye nyumba mpya ya Samia Suluhu Hassan...

Wanasema gharama ni Panoja na kupanda Miti. Mbona tulienda Kizimkazi kupanda Miti bure siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Samia?
View attachment 3597576
Hiyo bajeti ya bilioni 471 siyo kwamba zote zinaenda barabara pekee; ni kifurushi cha miradi ya miundombinu kinachojumuisha barabara, madaraja, bandari, usafiri wa baharini, taa za barabarani na baadhi ya miradi ya usafiri wa anga. 🤣🤣🤣🤣

NGOJA NIWAPE MFANO KIDOGO ILI KUJUA TUNAPIGWA.


Hebu tuangalie miradi mbalimbali ya barabara zinazosimamiwa na TANROADS:

1. Barabara ya Kahama–Bulyanhulu Jct–Kakola (km 73) imekadiriwa kugharimu Sh bilioni 101.2, sawa na takribani Sh bilioni 1.39 kwa km moja.

2. Mradi wa Tanga–Pangani (km 50) wenye gharama ya Sh bilioni 118.7 ni takribani Sh bilioni 2.37 kwa km moja.

3. Mradi wa Nyamuswa–Bunda–Bulamba (km 56.4) kwa Sh bilioni 67.887 ni takribani Sh bilioni 1.2 kwa km moja.

Haya, Wazanzibar Jiteteeni kama hamtumii hela ambayo hamjatolea jasho
Hela ya Watanganyika. Ndo maana mnatumia Bilioni 25 kwa Kilometa moja badala ya kutumia Bilioni 5(Ukiweka na 10% ya Mafisadi)

Tuambieni.
Kabla ya kuwaongezea ujinga mwengine wapuuzi wenzako hivi unajua hiyo project ni PESA za msaada.. Sasa hizo PESA za Tanganyika zimetoka wapi? Yaani Kila kukicha mnafikiria uzishi tu
 
Watu wote wenye akili duniani wanaishi visiwani, ndio maana kisiwa cha uingereza kiliweza kuitawala dunia ambayo watu wengi wako bara. Wazanzibari lazima wawatawale wabara kutokana na watu wake kukosa akili. Askari wa bara wanawatwanga risasi za vichwa wabara wenzao kama wanaua nyoka. Mwaka 2001 kulitokea vurugu za CUF pemba, hakuna askari mzanzibari aliyemtwanga risasi mzanzibari mwenzie, walokuwa wanawapiga risasi wapemba ni askari kutoka bara. Askari wa bara wamewatwanga risasi ndugu zao huku wakisaidiwa na wazanzibari kisa maandamano. Na wabara walivyo wajinga wanambebesha lawama mama wa watu samia kwamba muuaji. Nyie wenye hamthaminiani halafu mnataka mzanzibari awathamini, huko ni kukosa akili. Kila siku kelele za Abdul anawateka wakati yeye ameshaona wabara hovyo anawatuma tu kama mbwa wang'atane wenyewe.
Zanzibar wapo kimkakati huku waTanganyika wakiwa usingizini...
Ni hivi, maisha ni mafupi... Na mafanikio ya kijamii, kiuchumi, kisiasa n.k hayaletwi na MUNGU!
Wa
 
Hela za Tanganyika zimehamishiwa Zanzibar. Sasa wanajenga KM mbili za Barabara kwa Bilioni 50+ kisa AFCON.

AFCON ishakuwa Dilisha la upigaji.

Kumbuka Bajeti ya Miundombinu ya Zanzibar ni Bilioni 400 tu kwa mwaka 2026/2027 .. Sasa kama Bilioni 50 zinajenga Kilometa mbili, Mishahara, Matumizi mengine itakuwa bei gani? So kwa Mwaka Zanzibar wanatengeneza Kilometa mbili tu? Maajabu

Hiki ni kipalande cha Barabara kinachopita kwenye nyumba mpya ya Samia Suluhu Hassan...

Wanasema gharama ni Panoja na kupanda Miti. Mbona tulienda Kizimkazi kupanda Miti bure siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Samia?
View attachment 3597576
Hiyo bajeti ya bilioni 471 siyo kwamba zote zinaenda barabara pekee; ni kifurushi cha miradi ya miundombinu kinachojumuisha barabara, madaraja, bandari, usafiri wa baharini, taa za barabarani na baadhi ya miradi ya usafiri wa anga. 🤣🤣🤣🤣

NGOJA NIWAPE MFANO KIDOGO ILI KUJUA TUNAPIGWA.


Hebu tuangalie miradi mbalimbali ya barabara zinazosimamiwa na TANROADS:

1. Barabara ya Kahama–Bulyanhulu Jct–Kakola (km 73) imekadiriwa kugharimu Sh bilioni 101.2, sawa na takribani Sh bilioni 1.39 kwa km moja.

2. Mradi wa Tanga–Pangani (km 50) wenye gharama ya Sh bilioni 118.7 ni takribani Sh bilioni 2.37 kwa km moja.

3. Mradi wa Nyamuswa–Bunda–Bulamba (km 56.4) kwa Sh bilioni 67.887 ni takribani Sh bilioni 1.2 kwa km moja.

Haya, Wazanzibar Jiteteeni kama hamtumii hela ambayo hamjatolea jasho
Hela ya Watanganyika. Ndo maana mnatumia Bilioni 25 kwa Kilometa moja badala ya kutumia Bilioni 5(Ukiweka na 10% ya Mafisadi)

Tuambieni.
Uturehemie...
 
Hela za Tanganyika zimehamishiwa Zanzibar. Sasa wanajenga KM mbili za Barabara kwa Bilioni 50+ kisa AFCON.

AFCON ishakuwa Dilisha la upigaji.

Kumbuka Bajeti ya Miundombinu ya Zanzibar ni Bilioni 400 tu kwa mwaka 2026/2027 .. Sasa kama Bilioni 50 zinajenga Kilometa mbili, Mishahara, Matumizi mengine itakuwa bei gani? So kwa Mwaka Zanzibar wanatengeneza Kilometa mbili tu? Maajabu

Hiki ni kipalande cha Barabara kinachopita kwenye nyumba mpya ya Samia Suluhu Hassan...

Wanasema gharama ni Panoja na kupanda Miti. Mbona tulienda Kizimkazi kupanda Miti bure siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Samia?
View attachment 3597576
Hiyo bajeti ya bilioni 471 siyo kwamba zote zinaenda barabara pekee; ni kifurushi cha miradi ya miundombinu kinachojumuisha barabara, madaraja, bandari, usafiri wa baharini, taa za barabarani na baadhi ya miradi ya usafiri wa anga. 🤣🤣🤣🤣

NGOJA NIWAPE MFANO KIDOGO ILI KUJUA TUNAPIGWA.


Hebu tuangalie miradi mbalimbali ya barabara zinazosimamiwa na TANROADS:

1. Barabara ya Kahama–Bulyanhulu Jct–Kakola (km 73) imekadiriwa kugharimu Sh bilioni 101.2, sawa na takribani Sh bilioni 1.39 kwa km moja.

2. Mradi wa Tanga–Pangani (km 50) wenye gharama ya Sh bilioni 118.7 ni takribani Sh bilioni 2.37 kwa km moja.

3. Mradi wa Nyamuswa–Bunda–Bulamba (km 56.4) kwa Sh bilioni 67.887 ni takribani Sh bilioni 1.2 kwa km moja.

Haya, Wazanzibar Jiteteeni kama hamtumii hela ambayo hamjatolea jasho
Hela ya Watanganyika. Ndo maana mnatumia Bilioni 25 kwa Kilometa moja badala ya kutumia Bilioni 5(Ukiweka na 10% ya Mafisadi)

Tuambieni.
Kwa vyovyote hamie mtangazaji atakua kakosea kutamka tarakimu. Haiwezekani kilometa 2 za barabara kwa bilion 50 hamie.
 
Back
Top Bottom