Bilionea Mwislamu ashinda kibali cha kugeuza mojawapo ya maeneo maarufu ya London kuwa msikiti

Zacht

JF-Expert Member
Jul 17, 2020
1,009
2,197
Trocadero Ilijengwa mwaka 1896, ni mojawapo ya majengo ya burudani maarufu zaidi ya London

Tajiri Asif Aziz anajenga msikiti huo wa gorofa tatu ndani ya jengo la Trocadero

Msikiti huo ambao utakuja kuitwa 'Piccadilly Prayer Space' utafunguliwa ndani ya miezi kadhaa.

Iakini upango huo umepata Wakosoaji kadhaa ndani na nje ya uislamu wamehoji ikiwa inafaa kujengwa msikiti katika eneo lililojaa baa za kuwenyea pombe, night clubs, na kumbi za mashoga ambazo zote haziendani na Uislamu na zinachukuliwa kama ni dhambi.

Bw Aziz mzaliwa wa Malawi, ambaye anamiliki utajili wa zaidi ya Pauni 2 bilioni na alinunua Trocadero kwa zaidi ya pauni milioni 220 mwaka 2005, anaanzisha msikiti huo kupitia ufadhiri wake wa Aziz Foundation.

Aziz Foundation ilisema msikiti huo utahudumia Waislamu wanaofanya kazi katika eneo hilo, pamoja na wale wanaotembelea London kama watalii

Msikiti huo takuwa na uwezo wa kubeba watu 390

Mapendekezo ya hapo awali yalikuwa kujenga msikiti wenye uwezo wa kubeba watu 1,000 lakini uliondolewa mnamo 2020 kufuatia upinzani kutoka kwa wakazi wa eneo hilo lakini Pia na vikundi vya Watu wenye mrengo wa kulia.
 

Attachments

  • 20230718_071902.jpg
    20230718_071902.jpg
    137.5 KB · Views: 9
  • 20230718_071917.jpg
    20230718_071917.jpg
    129.9 KB · Views: 11
  • 20230718_071922.jpg
    20230718_071922.jpg
    91.6 KB · Views: 11
Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
 
Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
Innalillahi wainna illahi rajiun
 
Trocadero Ilijengwa mwaka 1896, ni mojawapo ya majengo ya burudani maarufu zaidi ya London

Tajiri Asif Aziz anajenga msikiti huo wa gorofa tatu ndani ya jengo la Trocadero

Msikiti huo ambao utakuja kuitwa 'Piccadilly Prayer Space' utafunguliwa ndani ya miezi kadhaa.

Iakini upango huo umepata Wakosoaji kadhaa ndani na nje ya uislamu wamehoji ikiwa inafaa kujengwa msikiti katika eneo lililojaa baa za kuwenyea pombe, night clubs, na kumbi za mashoga ambazo zote haziendani na Uislamu na zinachukuliwa kama ni dhambi.

Bw Aziz mzaliwa wa Malawi, ambaye anamiliki utajili wa zaidi ya Pauni 2 bilioni na alinunua Trocadero kwa zaidi ya pauni milioni 220 mwaka 2005, anaanzisha msikiti huo kupitia ufadhiri wake wa Aziz Foundation.

Aziz Foundation ilisema msikiti huo utahudumia Waislamu wanaofanya kazi katika eneo hilo, pamoja na wale wanaotembelea London kama watalii

Msikiti huo takuwa na uwezo wa kubeba watu 390

Mapendekezo ya hapo awali yalikuwa kujenga msikiti wenye uwezo wa kubeba watu 1,000 lakini uliondolewa mnamo 2020 kufuatia upinzani kutoka kwa wakazi wa eneo hilo lakini Pia na vikundi vya Watu wenye mrengo wa kulia.
Ni jambo jema sana kuwafikishia watu imani yako au habari njema. Ndiyo lengo la dini kuwafikia na kuwapa faraja wenye uhitaji.
ila, Itakapotokea Imam wa hapo akaja kuwa shoga au Mwanamke na pembezoni mwa Msikiti pakazungukwa na groceries wasije wakaanza kulalamika kama tulivyoona Sweden.
Unapopeleka Imani au utamaduni/mfumo wa maisha yako kwa watu wengine basi sharti uwe tayari kwa lolote ikiwemo kuvifanyia ukarabati ili waweze kuvikubali na waweze kuendana navyo.

Kama wewe ni mwafrika, ukizaa na mwarabu, mzungu, mchina su asili tofauti zinapochangamana biologically tarajia Chotara.
 
Trocadero Ilijengwa mwaka 1896, ni mojawapo ya majengo ya burudani maarufu zaidi ya London

Tajiri Asif Aziz anajenga msikiti huo wa gorofa tatu ndani ya jengo la Trocadero

Msikiti huo ambao utakuja kuitwa 'Piccadilly Prayer Space' utafunguliwa ndani ya miezi kadhaa.

Iakini upango huo umepata Wakosoaji kadhaa ndani na nje ya uislamu wamehoji ikiwa inafaa kujengwa msikiti katika eneo lililojaa baa za kuwenyea pombe, night clubs, na kumbi za mashoga ambazo zote haziendani na Uislamu na zinachukuliwa kama ni dhambi.

Bw Aziz mzaliwa wa Malawi, ambaye anamiliki utajili wa zaidi ya Pauni 2 bilioni na alinunua Trocadero kwa zaidi ya pauni milioni 220 mwaka 2005, anaanzisha msikiti huo kupitia ufadhiri wake wa Aziz Foundation.

Aziz Foundation ilisema msikiti huo utahudumia Waislamu wanaofanya kazi katika eneo hilo, pamoja na wale wanaotembelea London kama watalii

Msikiti huo takuwa na uwezo wa kubeba watu 390

Mapendekezo ya hapo awali yalikuwa kujenga msikiti wenye uwezo wa kubeba watu 1,000 lakini uliondolewa mnamo 2020 kufuatia upinzani kutoka kwa wakazi wa eneo hilo lakini Pia na vikundi vya Watu wenye mrengo wa kulia.
Inferiority complex. Why bilionea muiislam. Kwa Nini usiandike billionea peke yake.
 
Ni jambo jema sana kuwafikishia watu imani yako au habari njema. Ndiyo lengo la dini kuwafikia na kuwapa faraja wenye uhitaji.
ila, Itakapotokea Imam wa hapo akaja kuwa shoga au Mwanamke ma pembezoni mwa Msikiti pakazungukwa na groceries wasije wakaanza kulalamika kama tulivyoona Sweden.
Unapopeleka Imani au utamaduni/mfumo wa maisha yako kwa watu wengine basi sharti uwe tayari kwa lolote ikiwemo kuvifanyia ukarabati ili waweze kuvikubali na waweze kuendana navyo.

Kama wewe ni mwafrika, ukizaa na mwarabu, mzungu, mchina su asili tofauti zinapochangamana biologically tarajia Chotara.
Sweden uliona nini?

Wewe mtu kishapanunuwa toka 2005, kesi zimeenda zimerudi mpaka kashinda.


Ungeelewa tu kuwa sala huzuwia maasi unsingebwabwaja na kuhororoja bila mpango.
 
Wewe kilichokuumiza ni hiyo "Muislam" tu?


Hiyo ndiyo ukisikia "Islamophobia".

Jina tu Uislam linawatia uoga na taharuki. Hakika Uislam ni mwema sana.

Mashetani utayajuwa tu.
Hapana nyie ndo mnaumwa ukristomophibia. Ushawishi kusikia Sisi tunatajana mkristo kafanya kile na kile.

Sisi siyo watu wa Show off. Ndo maana Hata makanisa yetu tumeyaficha kabisa. Ukiwa na Shida ulitafute. Na Hakuna anayekualika uje kusali.

Kanisa moja Takatifu la Mitume
 
Back
Top Bottom