Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,808
- 24,450
Sijatembelea meneo yanoifikia kuwa slums kwa muda mrefu sana tangu nijikwamue, lakini Dar yapo ambayo ni hayaHivi nitajie maeneo ambayo yanaweza kuwa slums hapa dar...kigogo? Msasani?wapi?
Ila nilijenga mwanza pale Mkolani nikiwa kati ya watu wa kwanza kujenga ikijulikana mji utapanuka. baada ya miaka ishinini na tano, Mkorani nilipojenga napo patakuwa Slum muda wowote kwa vile viongozi wetu hawajui maana ya mipango miji kabisa. Niko mbioni kufikisha malalamiko yangu jiji ambapo kuna mtu amekuja kujenga kijumba chake kwa kutumia ukuta wa fense ya nyumba yangu kama ukuta mmojawapo wa nyumba yake kwa hiyo siwezi ku-maintain fense yangu tena. Nina mpango wa kubomoa ukuta huo usiko mmoja kabla ya kuujenga tena kwani ni wa kwangu ila kwanza ninataka mamla zijua jinsi slum zinavyojitokeza.