Aiseenimecheka huku nasikitikaMibaya sana.. Mabinti wadogo wa miaka 10 wanatembea na silaha kama visu bisibisi na nyembe. Wanavuta sigara na kuvuta bundi.. Wameshaharibika katika umri huo
Kibera ni ubabe wizi fujo nk
Tulikuwa tunaenda kule kugawa chakula cha mchana (wali maharage) siku tatu za wiki.. Tunapaswa kufika pale saa nane kamili.. Ole wetu tuchelewe 😀
Tukifika pale mtaani tunakuta foleni ndefu ya vitu mbali mbali ndala, jiwe kibakuli mti nk.. Hivyo vitu ni foleni za watu. Wakishaona gari unakuta ghafla foleni inajaa
Ole wake atokee mmoja ajifanye kuipita foleni panachimbika.. Kinawaka hapo hapo na ishu ya chakula inawekwa pembeni kwanza
Kibera hakuna mnyonge pale
Napata picha usiku halafu pawe giza totoro.wanavyoishi humo wenyewe ndo wanajuaIla Kibera panatisha aiseeh. Bora uwe homeless ijulikane.
Mtu akaja kafikia manzese miaka 15 ilopita Leo anatamka manzese na buguruni ni slum..🤣Ila watu wa mikoani wana chuki na Dar sijui kwanini, ukisoma comments utaona,
Jamani hizo picha zimenifikirisha sana, daah!
Dar slum haikosekani nakata rufaa
80% ya mji ni slum dwellers
Wana mtindo wao wa kuishi hukoNilipita siku moja Kibera laa
Yaani uchafu wa kinyesi na taka zilizooza miaka, hiyo harufu nilikosa raha ila wenyeji ndio kwanza wanachoma mishkaki na mahindi na wana wateja kibao
Labda slums za quarters za polisi...tofauti na apo Dar na Tanzania imepangika..Dar slum vp haipo?
Ila Kundustan Kuna balaa sio la Nchi hii 😂😂TEN BIGGEST SLUMS IN AFRICA BY POPULATION!
-1. Kibera, Kenya 🇰🇪: 700,000
-2. Mathare, Kenya 🇰🇪: 500,000
-3. Ajegunle, Nigeria 🇳🇬: 500,000
-4. Shomolu, Nigeria 🇳🇬: 400,000
-5. Khayelitsha, South Africa 🇿🇦: 400,000
-6. Cazenga, Angola 🇦🇴: 400,000
-7. Makoko, Nigeria 🇳🇬: 300,000
-8. Alexandra, South Africa 🇿🇦: 200,000
-9. Mukuru Kwa Njenga, Kenya 🇰🇪: 100,000
-10. Agbogbloshie, Ghana 🇬🇭: 80,000
Uchumi wao ni mkubwa kuzidi sie bwana..wanaishi kwenye skycrapers 🤣Wakenya wote wanaishi kwenye slums, ukipangaisha chumba kenya ni kidogo sana kama ni mtu mrefu ukilala usiku ukajinyoosha miguu na kichwa vinagusa ukuta
Humo zinasimama hapohapo..ni huzuni kwakweliHao Makoko waste products zao zinaenda wapi?
Halafu kikijaa?Kibera inatisha, nilipita hayo maeneo. Choo kinawekwa kwenye kiroba.
Na hivi baadhi ya picha hujazipa majina, kwa sisi ambao hatujawahi kufika huko kujua ni ishuKwa bahati mbaya haipo...umezioma kibera na mathare hapo..
Ukijua maana ya Slum nina uhakika utawaomba radhi wakaazi wa Dar SlumDar slum haikosekani nakata rufaa
80% ya mji ni slum dwellers
huko huwezipata mtu wakusagana nae.Ila watu wa mikoani wana chuki na Dar sijui kwanini, ukisoma comments utaona,
Jamani hizo picha zimenifikirisha sana, daah!
Mtu mwenyeji anajua mazingira yakoje .ila nenda wewe Sasa..hlzo chochoro utapotea mchana kweupe🤣wanakumbuka nyumbani kweli?