=*=*=....BIG UP Faiza Foxy....=*=*=

Hongera FF.

Ila jamani, FF ni mgumu kiasi cha hata kushukuru? Manake simuoni ati, au sijapitia posts zote?

Oooh Dina, nashkuru sana jamani, sema nilikuwa bz kidogo, nimepata wageni wa ghafla (wanangu) hawaniwachi kila mmoja anataka kudeka kivyake, uzuri ni kwamba wana marafiki wanawaalika, basi kila wanapokuwa hawapo mie ndio napata nafasi ya kuingia JF.
 
ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah !!! Eh eh eh eh eh eh eh eh eh !! Kwi kwi kwi kwi kwi kwi !! Mbavu zangu mie kumbe umeshiba uvinza kiasi hicho

Hongera sana sana FAIZA..

For the record jina ''FOXY'' ndio nalizimia kinoma humu ndani,lanipa raha tehe! tehe! tehe!

kwa leo naishia hapa siongezi neno
 

Anko Zoooooomba!

You are the best! Usiseme mengi, please.

Thanks for the gift, its beautiful. Aunt Z alikuja kumuona wajina wake, duhh mapapai matamu sijapata kuona, ntawaleta wote hawa on Sunday. be there for them please. Will call you.

Pssss,. Hiyo kwenye red, unakumbuka siku uliyoiba gari ya Mzee ukatupeleka Afrikana halafu tukakwama kwenye matope? Duhh, siku za mwizi arubaini, kila nikiwahadithia kina Z wanacheeeka!
 
Faiza Foxy takulete zawadi ya kitezo na Nikabu kutoka dubai kwa kutimiza miaka 30 ya ndoa yako!
 
Zomba... What an insight on FF.... Thank you.... I feel i know her mo'

And sasa i understand our last VM disagreement imetoka wapi....

Pamoja Saaana.
ADI


ADI, Zomba na mie damdam, he is my cousin na tumekuwa pamoja, we call him Anko because everybody calls him so. He is my favorite person.

Hilo ndio "nunda" la Kariakoo orijino, anajidai akitoka namimi kila mtu ananijua K'Koo, huyo na Gozi ndio sikubali kabisa kupita nao Kariakoo, maana kila kona watataka wasimame waongee, wanywe kahawa halafu mara wanakwambia "wee tangulia tu", wananikera kama nini, halafu hapa kanchomekea mimi.
 
Nikisikiaga jina Foxy basi namkumbuka Pam Grier.

And thats exactly how I got my nick! amazing, you are from my times, Foxy Brown, Remember? and then Black Mama White Mama.


If you've seen her, you've seen me! Then.
 

Tutalipata lile jukwaa, tartib, vitu vizuri havitaki haraka.

Halafu hii ya kulea watoto ukashindwa kufanya kazi, to me it was the opposite, wanangu walipokuwa wanakuwa mie nikifanya kazi ya kuajiriwa full time. Walipoanza kujitegemea mie ndio nimechoka kazi! inashangaza.
 


Ahsante sana. No comment.
 
Kwa kweli ana stahili hongera FF, du ina maana FF anagonga kama 50 years hivi kama aliolewa na 20 years! sasa nikifikiria na ukada wake wa CCM, na misimamo yake kweli inaingia akilini, nilikuwa nashindwa kuelewa , kumbe umri umekwenda!

Time never stands still!
 
mkuu inawezekana JF ndiyo mahali pake pa kupigia story na kumwaga utumbo na hasira zote, akiwa mtaani, rafiki yake ni mumewe tu. inawezekana pia ni mke mzuri sana huyo FF-anaweza hata akakuogesha huyo.

Mwenye siri ni mumewe!

Nimecheeeeka, yaani wewe mke mzuri ni wakukuogesha tu? Hayo mbona ni kawaida, muhim ni nini unachoogeshewa si kuogeshwa!

Ahsante sana.
 


Ahsante sana, naona mimi na wewe we are almost in the same boat ingawa mwenzangu umenizidi kwa miaka 3, nadhani una mengi zaidi ya kuwajuza vijana wa leo. Nakupongeza sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…