FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
FF kwenye thread hii umekuwa mpoooole! Hata hivyo hongera!
Hapa raha tupu hamna kukerwa hapa. Si unaona ma pearl, ma taarab mazawadi, sasa yote hayo si raha tupu?
Ahsante.
FF kwenye thread hii umekuwa mpoooole! Hata hivyo hongera!
Unapenda la nyama ya mbuzi, Ng'ombe au kondoo?
Unapenda la nyama ya mbuzi, Ng'ombe au kondoo?
Naikumbuka ile Dry Cleaners, hapana majina tu yanafanana, yule Dada lazima tamtafuta hapa katikati nilikuwa nimebanana kidogoYule dada wa Mandi hukumpigia, nilimuuliza kama kapata oder ya mandi kutoka kwa Ritz. Halafu hii Ritz, naikumbuka dry cleaner ya zamani ilikuwa pale Empress Cinema ikiitwa Ritz Dry Cleaners, any relation? siku hizi naona kuna Bureau de change pale.
Bokoboko la mbuzi, samli ya Ng'ombe, sukari ya Kilombero.Mimi nakula siku moja moja si unajua tena naogopa kitambi! Mimi uji wa shulba naupenda sana
Bokoboko la mbuzi, samli ya Ng'ombe, sukari ya Kilombero.Mimi nakula siku moja moja si unajua tena naogopa kitambi! Mimi uji wa shulba naupenda sana
Mpe order tu atakupikia hata huo uji.
FF wewe ni latrash au????/
Hongera sana FF, Mwenyez akuzidishie kheri, aman na furaha tena.
Bokoboko la mbuzi, samli ya Ng'ombe, sukari ya Kilombero.Mimi nakula siku moja moja si unajua tena naogopa kitambi! Mimi uji wa shulba naupenda sana
Proper Mandi haitii kitambi bwanaaa, haipikwi na mafuta kabisa, its sort of steamed. Si unaona wachina kwa steamed rice wanavyokuwa hawana vitambi?
mmh uliolewa na miaka mingapi, kama ni above 20 kumbe humu ndani kuna vibibi
hongera mwaya
Hongera Sana... Be Blessed and Stay Blessed.....
karibu mama, hongera zako tele. tunashukuru kukuona tena, nadhani mmemalizana na mods. hongera tena tulikumiss sana
ubarikiwe
congrats for being promoted to premium status
i have to say i admire your courage,and standing up for what you believe
hongera sana kwa hiyo miaka thelatha na zaidi
Ahsante. Nawe pia Mwenyeezi Mungu akubariki sana, akuepushie kila shari na akujaalie katika kila jema ulifikirialo.