huwa wanafake then ikifika eviction day wanatangaza hakuna house mate yeyote anayetoka..
Hawa jamaa wa Nigeria tayari wameanza kimbele mbele na maneno mingi mingi!!
Babu DC!!
wanabore sana na miili yao mikubwa ka tembo...Hawa jamaa wa Nigeria tayari wameanza kimbele mbele na maneno mingi mingi!!
Babu DC!!
I hope it stays that way pia kipindi hiki........unaweza zimia ati kama uko mule ndani
Siyo demo mkuu,wabongo wamekalia kuti kavu kuanzia siku ya kwanza kabisa
Wa tz nimewapenda,hasa Hilda..anavutia..wanaopga kelele wataboa mapema sana
wale wakaka wa south africa mahendisamu bwana.....:flypig:
Julio huwa ni mtu smart
japo sio loud na nadhani kama huwa ana noma kiaina hivi.
But he is very cool, na sense of humour.
..kabisaa,mwenyewe nimewaona!ila wadada,hmm wengi bila make up,they r finished!baadhi wawil watatu wazuri!!ila asubuh tutawaona vizuri!
Ila Hilda yupo cool
Kongosho,em nitoe ushamba..awa ni kina nani?awa wa Tz..nimewapenda kwakwel
Hilda macho yake yana nini?
Kila nikimtazama najikuta napotelea kwenye macho afu sitoki hapo.
Cammon, hayo macho jamani lol