Big Brother Africa (BBA) 2012 - Updates

Big Brother Africa (BBA) 2012 - Updates

Tanzania in nomination this week wakuu,huu ni mkosi au?
 
Demo ya nomination inaonesha kuwa Tz (Hilda & Julio) ndo wako kwenye kikaango!!

2nd nomination ni Zimbabwe (Maneta and Tecla)!!
 
Bongo na zimbabwe mmja kutoka week hii,tumekwisha wakuu...
 
Hii nomination haiwezi kuwa ya kweli....Kuna kitu anawataka kufanya hapa!!

Babu DC!!
 
Demo ya nomination inaonesha kuwa Tz (Hilda & Julio) ndo wako kwenye kikaango!!

2nd nomination ni Zimbabwe (Maneta and Tecla)!!

Siyo demo mkuu,wabongo wamekalia kuti kavu kuanzia siku ya kwanza kabisa
 
na wasiwasi na hicho kimtambo chao,kwanini bongo wakuu....
 
Siyo demo mkuu,wabongo wamekalia kuti kavu kuanzia siku ya kwanza kabisa


Believe my words...Haiwezekani ukaanza na nomination wakati watu hata hawajajulikana....

That's one of the twists and drama in the BBA....

Mark my words guys!!

Babu DC!!
 
Kwani miaka mingine inakuwaje? huwa kunakuwa na nomination ya possible eviction siku hiyo hiyo ya kwanza?
 
Kwani miaka mingine inakuwaje? huwa kunakuwa na nomination ya possible eviction siku hiyo hiyo ya kwanza?


Hapana,

Nominations huanza after week 1 or ila kwa BBA lolote linaweza kubuniwa ila siamini kwani hii itakuwa inaharibu mchezo!!
 
Kwani miaka mingine inakuwaje? huwa kunakuwa na nomination ya possible eviction siku hiyo hiyo ya kwanza?
huwa wanafake then ikifika eviction day wanatangaza hakuna house mate yeyote anayetoka..
 
na iwe ivyo mkuu


Wewe subiri tu,

Wakishaweka kila kitu kwenye website basi tutajua..

Ila kwa sasa siwezi kuamini kwamba waandaaji wameamuwa kuwa wapuuzi kiasi hicho!!

Babu DC!!
 
huwa wanafake then ikifika eviction day wanatangaza hakuna house mate yeyote anayetoka..


Huwa faking inafanyika kwa Housemates ila viewers mnaelezwa kabisa...Nadhani wataeleza kila kitu kwenye web au daily show!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom