Big Brother Africa (BBA) 2012 - Updates

Big Brother Africa (BBA) 2012 - Updates

Kwa wale wanofatilia shindano la BBA Stargame 2012, wawakilishi wa Tanzania kwenye shindano hili (Julio na Hilda) kwa mwaka huu ni tofauti kidogo. Tumezoea kuona watu maarufu au wanaojulikana Tanzania wakituwakisha BBA. Naomba kuuliza wawakilishi wa mwaka huu Julio na Hilda ni kina nani hasa? Kwa wanaowafaham p'se mwaga info zao ama CV. Bad news ni kwamba wameshakuwa nominated kuwa evicted kwenye hili shindano siku ya kwanza tu kuingia kwenye mjengo wa Big Brother, what are the chances of surviving?

IMG-20120506-006951.jpg
 
Hilder alifanya kazi TBL upande wa sales kwa kipindi cha miaka miwili na aliacha kazi ila sio kwa sababu ya BBA7, she is very competent and she never pretend ila ankula sigara kama hana akili nzuri fuatilia show utamwona.
 
hivi hiyo mbingi braza ndiyo inayoonyesha watu wanaoga live eti? Yaani wapo full empty no...watupu kama walivyotoka kwenye matumbo ya mama zao? Kuna mshiriki yeyote wa kike kutoka Somalia?
 
Hilder alifanya kazi TBL upande wa sales kwa kipindi cha miaka miwili na aliacha kazi ila sio kwa sababu ya BBA7, she is very competent and she never pretend ila ankula sigara kama hana akili nzuri fuatilia show utamwona.


Duuh kweli bi dada anapiga fergie ka bbro.jpg kawa,cheki hpa!!!
 
Watanzania ni couple JULIO na HILDA wapo kwenye eviction wiki hii pamoja wa ZIMBABWE.Naamini kupitia TONE Radio ya Kijiotonyama Dar es Salaam YUNUS atakuwa anatoa uchambuzi murua wa shindano kama alipokuwa Radio Free Africa katika kipindi chao na Fred Fidelis FREDWAA mwaka jana kwenye BIG BROTHER AMPLIFIED
 
My take is Hilda talks too much, Ukiangalia Strapline ya updates za viewers wanaotuma sms kwenda kwa Biggie unaona kabisa wanatuma kwamba Hilda anachonga sana ngenga Othwerwise lazima watu watazipiga ngumi humu Stargame maana wako wengi sana.
 
Last edited by a moderator:
Julio naamini atafika mbali pengine hata kushinda kwani dogo amingia kama mwisho alivyoingia hana maneno mengi.
 
mamaangu weeeeeeeeeeee nahisi cjui maana halisi ya uhandsome! yaani mimi mwanaume mweupe ni big NO! Nafagilia kishenzi kitu black, black kama mume wa kimora lee hounsou, nikimuonaga huwa vinyweleo vinasimama hewani! nways kila mtu na taste yake!
Mumeo ana hii taarifa kweli?
 
washiriki wa Nigeria wameyaaga mashindano ya BBA 7 baada ya kuomba kutoka kwenye jumba hilo kwa hiyari.

Hii imetokana na hali ya kiafya ya Ola kuhitaji uangalizi wa karibu nje ya jumba hilo.
 
Yadel, Luke and Dalphy have been evicted.

Zainab upgraded to Upville.

No nomination for downville this week.

Upville will nominate each other 2moro, Zainab excluded.
 
I am a fan of Zainab, the chick is hot and entertains.

Tanzanians please lets support Zainab in upville.

I also like downville's sharobaro Seydou, I wish he meets Prezzo in upville .
 
binti wa kisauzi kapanda kumsapoti lakini sekurity wamemshusha.
Naona na mkaka kapanda naye kashushwa lol

chezeiya Dayamondi weweeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom