Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,745
- 5,446
Ni vema utambue kuwa Biblia tuliyonayo ni mkusanyiko wa Vitabu mbalimbali vya kiimani.Basi tusaidie kwanini kitabu cha Nabii Gadi hakipo kwenye biblia??? Kwanini kitabu cha Jasher na Enoko havipo katika Biblia??
Pili, ni Vitabu vile ambavyo vilivyopatikana wakati wakiiandaa Biblia ndivyo vilivyounda Biblia, Vitabu vingine havikupatika na hivyo havikujumuishwa kwenye Biblia.
Tatu, kuna Vitabu vinasadikika kuwa vya kiimani vilivyodaiwa kuwa viingizwe kwenye Biblia lkn havikukidhi canonical rules kuijumuishwa kwenye Biblia maana vinaonekana viko tafauti kabisa na vinapingana vitabu vinginevyo. Mfano ni kinachodaiwa kuwa ni Injili ya Barnaba.
Vv