Biblia na reference ya vitabu vya kipagani

tuishie hapa
unaniletea hadith za mtume!!!!!
maandishi yaliyoandikwa na wale wale tu
huna ushahidi zaidi ya kuzunguka kwenye vitabu vyako vya dini
Nashukuru kwa kiri kwako kwa upande mwingine ya kwamba umeingia katika kina kirefu usichoweza kuogolea.

Ila hii ni akiba nakupa,ukiingia sehemu ukumbuke wapi pakutokea na si kila kitu unatakiwa ukizungumzie.

Asante sana........ Nimemaliza.
 
Ndio maana bro nikasema hujui unachokiandika au kukisema. Kwanini msiwe mna kaa kimya.

Katika hadithi unapata kila kitu bro. Sasa usitake kulazimisha vitu usivyovijua kwa ujinga wako.

Soma votabu nikivyokupa utapata kila kitu.

Unavyosema nikupe ushahidi wa maandishi kwani hadithi sio maandishi ?

Hadithi zinaelezea Qur'an,zinaelezea matukio,zinaelezea bishara,zinaelezea jinsi ya kuishi na watu na mengine kadhalika.

Sasa mjifunze kufanya utafiti na kutenga muda,soma marejeo niliyokupa mzee utabainikiwa na kila kitu,usipoteze muda.


Mathalani naweza kukuuliza umesoma vitabu vya historia ya uislama na waislamu wenyewe bila kukuta nukuu za hadithi ?

Kadhalika inaonekana hujui nini maana ya hadithi.

Someni wadau tena msome hasa.

Nasubiri hoja nyingine ya msingi.
Hadithi za sungura na fisi bila uthibitisho mkuu ni uongo Acha porojo bana
 
Hadithi za sungura na fisi bila uthibitisho mkuu ni uongo Acha porojo bana
Nacheka sana bro. Kwanini mmeamua kuwa wajinga kila siku.

Mfano mimi leo hii siwezi kuooteza muda katika kusoma hadithi za esopo na ngano nyinginezo,siwezi kupoteza muda katika kujisoma hadithi bunifu,bali najikita na kutenga muda katika kujifunza elimu.

Hapa nakupa faida bro. Tamko hadithi kwa kiswahili limefinywa sana kimaana bali kimatumizi,huku kwetu linatumika kwa maana finyu sana tena inakwenda hivi,kuwa hadithi ni masimulizi ya kutunga na kusadikika kwa lengo fulani hasa kuburudisha. Lakini hadithi ninazo zingumzia mimi elimu pweke ya kujitegemea hasa ambayo yenyewe inajishighulisha na matendo,kauli za mtume na athari za maswahaba wake.

Elimu hii ni pana sana na ukitaka kuona miujiza ya elimu ukitoa Qur'an fatilia uone jinsi watu wanavyo hakiki habari. Na elimu hii ya hadithi ni elimu ya wanaume,hawaidhibiti elimu hii ila ni wanaume.

Muda hautoshi kukupa faida.... Kwani wapo wanazuoni wametumia zaidi ya miaka hamsini kuifanyia kazi elimu hii.....

Nipo....
 
Nashukuru kwa kiri kwako kwa upande mwingine ya kwamba umeingia katika kina kirefu usichoweza kuogolea.

Ila hii ni akiba nakupa,ukiingia sehemu ukumbuke wapi pakutokea na si kila kitu unatakiwa ukizungumzie.

Asante sana........ Nimemaliza.
alfu lela ulela,kalumekenge,esopo
eti kupasua mwezi vipande viwili
sikulaumu sana,unaenda na imani na hadith za kufikirika mimi naenda na logic and scientific facts
 
alfu lela ulela,kalumekenge,esopo
eti kupasua mwezi vipande viwili
sikulaumu sana,unaenda na imani na hadith za kufikirika mimi naenda na logic and scientific facts
Logic si elimu ys kujifaragua nayo kwangu kwani naijua vyema na madhaifu yake na yajua halikadhalika elimu ya sayansi pia.

Imani sahihi ndipo ilipo lala elimu kwa uhalisia. Nimefikia hitimisho ya kuwa nyinyi huwa hamsomi vitu na mkavielewa bali hamtosheki pia,huwa mnashia kusoma nukuu na vichwa vya habari tu hasa google,tengeni muda msome.
 
Mtume wetu ﷺ hakuwahi kuwa Mwandishi Chief

Chuki zenu,zinataka kupinga na uhalisia au ukweli
alfu lela ulela
niambie wanahistoria au mwandishi wa kipindi hicho aliyeandika kuhusu tukio hili
*usinipe ushahidi wa quran sababu mwandishi ni huyo huyo mohamed,anaweza kutunga chochote
 
Ndio wanaquote lakini ni tofauti na Bible ambayo km ulivyonukuu inakuambia uende kwenye kitabu fulani, Qur'an yenyewe ina conclude yenyewe haiitaji msaada wa nyongeza kwenye vitabu vyengine .
Hoja zako dhaifu Sana hicho kitabu ni kidhaifu sana hakifai kuwa reference hapa
 
Mtume wetu ﷺ hakuwahi kuwa Mwandishi Chief

Chuki zenu,zinataka kupinga na uhalisia au ukweli
waandishi ni washkaji zake aliokuwa anatembea nao kwenye misheni zao za vita na kuteka maeneo
nataka stori za waandishi huru kama walivyokuwa akina josephus na philo
 
Jifunze kufikiria kwanza,kabla ya kusema Chief

Shukran
waandishi ni washkaji zake aliokuwa anatembea nao kwenye misheni zao za vita na kuteka maeneo
nataka stori za waandishi huru kama walivyokuwa akina josephus na philo
 
Hoja zako dhaifu Sana hicho kitabu ni kidhaifu sana hakifai kuwa reference hapa
Weka udhaifu sasa tuone kama wewe unasema kweli.

Mara ngapi mnakituhumu kitabu hiki kitukufu lakini mnaishia patupu ?

Leta hoja zako kama nyinyi mnasema ukweli.
 
Hata wakusanyike Dunia nzima
Hakuna atakae weza kuleta aya moja tu
au kutoa udhaifu hata herufi
 
Weka udhaifu sasa tuone kama wewe unasema kweli.

Mara ngapi mnakituhumu kitabu hiki kitukufu lakini mnaishia patupu ?

Leta hoja zako kama nyinyi mnasema ukweli.
Mkuu zito anatoa reference zinazoeleweka kwanini nyie mshindwe kuweka reference ya kuhusu kupasuka kwa mwezi au na nyie hamjui au hamna uhakika wa mahadithi mnayosimuliwa??!
 
Kalenda ya mwaka ya kichina na laenda ya mwaka ya kidindi zina record ya tukio la kugawanyika mwenz vipande viwili
 
Nulikuwa nimekaa pemben kwenye mjadala baada ya mtuoa uzi alipo onya juu kuwa mabishano juu ya Quran na biblie haikuwa lengo lake lakin sasa nao jamaa wamehamia kwenye kumshambulia muhammad kama ambavyo imekuwa kwa miaka yote haswa kwa waafrica sababu ndugu zetu waafrica kufanya utafiti ni jambo baba mke sisi ni wazee wa kuamin kichwa kichwa na dini za kurithi sasa sijiui kama mjadala huo unaruhusiwa humu tuanze kushusa nondo maana wao wanamsambulia muhamad na sio mafundisho yake wala dini yake sababu wanadhan sisimsingi wetu wa iman ni Muhammad kama ilivyo kwao kwa Yesu....sisi Muhhamad ni mtume tu ana daraja yake ila hutuamuabudu na yote akiyofundisha ni maagizo ya Mungu hana maagizo yake binafsi..so kumshanbulia yeye haijawahi kuwa msaada sana ku justfy iman yenu kaanza kushambuliwa since yupo wapo waliomuita mchawi,wakamuita msoma mshairi so nyue hamna jipya,

Muhhamad alioa aisha akiwa na miaka 9 kwa ridhaa ya baba ake abubalary ila amehamia kwenye nyumba ya muhammad akiwa na miaka 16 ...sheria ya kiialam ya kuoa ni kuwa mwanaume au amepevuka na mwanamke awe amepevuka haijalish umri gani ilimrad muwe baleghe...lakin wapotishaji wanasema alioa mtoto wa 6 kitu ambacho sio kweli..!
 
Unataka kunaimbia yesu alikuwa asnasoma injili ya luka,marko,matayo au yohana!?...hayo ni majina tu yakibidi yawekwe sababu hakuna alikuwa anajua nani alieyandika so njia rahisi ya kutambua sura ni kuweka majina hayo ya wanafunzi wa Yesu sababu wale wanafunzi wa yesu hawakuandika kitabu chochote yesu sabahu hata ukisoma kwenye bible inasema John na Peter walikuwa hawajasoma hawakujua kusoma wala kuandika
Acts 4:13 King James Version (KJV)

13 Now when they saw the boldness of Peter and John, and perceived that they were unlearned and ignorant men, they marvelled; and they took knowledge of them, that they had been with Jesus.

So bible ilipatikana na bahati mbaya kanisa katoliki ambali lilikuwepo hata kabla ya Yesu wakashukili mchakato na kuingiza mambo yao ya utatu.. Na mambo mengine mengine na kuweka vitu ambavyi hata yesu hakuwahi kuviagiza..!

Yesu haijui biblia vitu vingine vilibadilishwa na kuwekwa kwa mtindo wa kilatin sijui kama unajua hata jina JESUS sio jina halisi la muhisika, hilo ni jina la kilatin hata leo ushahid unao jina hili sio la kiyahud ni jina la kilatin utalikuta spain,mexic na sout america huwez kulikuta mshariki ya kati jina Jesus au Yesu au Jesu hajawahi kulisikia kwenye maisha yake.! Kama.ilivyo bible

Kuhusu Quran una haki ya kusema hivyo sababu hiifahamu kimpamgilio wake na Uthuman aliagiza zichomwe moto copy zote sababu alikuta kuna sehem wana copy zina mapungufu ya kisarafu na matamshi na sio kwamba wna Quran nyingine akawaita waandish walioteuliwa na mtume wakati wa kuandika Quran wakaandika upya na akaagiza watu wote waka copy ile lakin asingeweza kubadili sababu watu waliokuwa wamehifadh Quran walikuwa ni wengi akichukua hatua hiyo sababu alikuwa ndio kiongozi kuabadil copy sio kubadili kitu kilichopo vifuani kwa watu.!..sisi Quran ndio chakula au oxyegen yetu hautswali had ujue Quran mwez wa ramadhan inasomwa Quran kuliko kawaida had Uthuman anakuja kuchukua usukan miaka kumi imepita watu wanaish na Quran so kama angebadili chochote pangetokea utata lakin hakujawahi kuwa na shida hiyoo kwenye na yeye sio swahaba wa mwisho kwatiba maswaha wa mtume alikuwe Alii mkwe wa mtume na wajukuu zake mtume...unachokiziungumza ni katika watu wanao wapotosha ila havina ukweli..!

Hujanielewa labda kama unasoma kwa wasiwasi. Nitakuwa mwehu kusema Yesu alisoma Injili wakati hakukuwa na injili wakati wake. Hadi alipoondoka maisha yake na mambo aliyoagiza yakaandikwa. Nazungumzia Vitabu vya Musa, wafalme na wanabii.

Kuhusu hao vijana kuandika huku walikuwa "Sio Wasomi/ Learned" inaonyesha pia kuna haja ya kufahama Jewish education system. Inabidi uelewe Mungu alimaanisha nini alipowaambia wazazi wa kiyahudi maneno ya Torati 6:6-9

Yesu alijifunza kusoma na Kuandika Nyumbani kwa mama na baba yake. Ila uelewa wake ulikuwa mkubwa sana kwa wasomi wa kiyahudi pale hekaluni alipokuwa na miaka 12 alipojichanganya kwenye darasa la marabi katika shule iliyokuwepo pale hekaluni na uwezo wake na maswali yake yaliwashangaza maana yalikuwa ya kiwangu cha juu kuliko uelewa wa waalimu hao.

Timotheo alijifunza miguuni kwa Bibi yake Loisi na mama yake Yunisi. Aliishi mji wa kipagani Listra ambao haukiwa hata na sinagogi. Ndio ujue wamama wa kiyahudi sio wamchezo.

Kwa ufupi kusoma na kuandika watoto wa kiyahudi walijifunzia nyumbani hasa wale masikini kama wakina Yesu. Huyu bado alikiwa anatambuliwa kama mtu mjinga tu maana walikuwepo kwenye shule za marrabi, na mafarisayo chini wa waalimu nguli kama gamalieli. Wazazi wake paulo walimpeleka jeruslaem kutoka huko tarso akabobee kwa huyu mwalimu.
Pia kutokujua kusoma na kuandika sio mipaka kwa Mungu, Yeremia nabii hakuwahi kuandika kitu, ila Yote aliandikiwa na msaidizi wake Baraki.

Kuhusu Quran rudi ujifunze, ujue na watu 700 waliokuwa wamekariri maneno ya mtume na walifia vitani, hofu hiyo ikapelekea kaandikwe kwenye kitabu maana wale waliokariri wakifa na chenyewe kitakufa. Kumbuka pia ali na uthman walikiwa sio kitu kimoja kama unavyofikiri. Na kuna scholars wanasema hata hiyo aliyoandika haikukubalika na kila mtu sema ilibidi ikubalike kwa sababu ya nguvu ya dola. Rudi usome fitna za wakati huo kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika vya kiimani wenda ukajifunza upya. Ila kwa sababu sio mada naishia hapa, tujifunze zaidi. Maana mimi nilifuatilia history ya Islam series Karibu 22 na hiyo source ilikuwa ya hukohuko. Na sioni kama walichokuwa wanasimulia kinapingwa sana ukiacha moja juu ya imani kuw kitabu kile kiko perfect na ni direct maneno ya Allah japo hatufafanuliwi kwa kina hapo kwa uthman na uhakika wa nini kilichukuliwa na nini kiliachwa.
 
Swali la kwanza kukuuliza Ndugu mwandishi,,wewe ni dini gani?? Labda kwa bahati mbaya wewe nawe ni mkristo,,uko dhehebu gani??
Mkuu Loeb mimi naomba ufafanuzi kwa nini umesema kwa bahati mbaya mtoa mada ni mkristo je kakosea wapi kwa bandiko hilo?
 
Back
Top Bottom