Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,968
- 156,219
Mwenge ni mungu wa Tanzania Ndio maana wanamuomba alete Amani na kuna sala maalum huitwa sala ya mwenge.
Hebu tuone kitabu cha Isaya 50:11 unavyosema.
Kumbe ndio maana tuna utajiri mkubwa wa rasilimali na mali zetu zinaliwa kirahisi na wageni