KUPENDA SIFA NA KUJIITA MUNGU NI VITU VIWILI TOFAUTI. Huyu wetu hajajiita ni MUNGU ZAIDI NI RAIS ALIYECHAGULIWA KWA WINGI WA KURA. Ila mtu akisifiwa hufurahi hata wewe ni ubinadamu. Ndio sababj tunamsifia MUNGU NA ZAIDI KUMWABUDU.FRANCIS DA DON,
KAtika mambo ambayo Mungu hana msalia mtume ni binadamu kujikweza na kuanza kushangikia kuitwa Mungu.
Adhabu yake kwenye Bible ni kifo.
Ndio ninavyojua mimi.
Kuna mfalme walimuita Mungu. Mungu mwenyewe akamuua.
Sasa ngoja tuone labda Lema dream come true.