niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,657
- 5,409
Ila kwa kuyakuza hivi Mambo, mnajidhalilisha Sana.
Sasa kama mtu maeneo yako unayoyajua ni hapo kwa mtogole pekee, unafikiri tz nzima iko hivyo?'Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?
Labda kijijini kwenu ndo kuna watu wazima wa dizaini hio.
Hujui Bibi aliteseka kiasi Gani
Mpaka anakutana na Rais anayewasaidia wanyonge
Bibi ametoa baraka
ninavyoelewa ukiwapita wakubwa bila kuwasalimia ndio wanakusalimia wao!!
Msiba mzito sana huu sheikhinna lillah wa inna illah rajoon!
Unanikumbusha mbali, nilienda kijiji flani Mwika nikasalimiwa na wabibi shikamoo dah nliishiwa poziFRANCIS DA DON,
Cha ajabu ni nini? Hivi mtu kama huyo bibi kutokuelewa mambo kwa undani ni jambo la ajabu? Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?



Dogo macho_mdiliko, kutoa shikamoo na kutukuza ni vitu viwili tofauti.
Hata babas wa Kichagga huwa wanatoa shikamoo kwa watoto wao wanaomiliki mpunga mnene. Utasikia, "shikamoo manangu!".
Yaani wanakua kama wanakukebehi flani hivi mkuu sio?


Uko sawa kabisa mkuu,watu wazima wanaitumia sana hio style kurekebisha tabia.exactly,na hutakiw kujibu marahaba,ni kuomba radhi hapo hapo na kutoa salam vizuri ndipo wataitikia salamu yako!kwa tuliokulia pwani huu ni utaratibu wa kawaida sijajua watu wa bara wao!
Ulaaniwe wewe na hicho kikongwe chako, niwapi nimemlaumu jiwe? Nimeleta taarifa kama ilivyo, kwani nimelaumu mtu? Hebu soma uzi wangu vizuri, sana sana nimesikitikia kitendo cha binadamu kumuita binadamu mwenzake mungu, na wala sikumlaumu huyo aliyeitwa hivyo, maana si kosa lake, au ulitaka ninyamaze huku binadamu wakiita binadamu wenzao mungu? Hata hao wanaoitwa hawapendi waitwe hivyo, sasa ni lazima tukemee ili hii tabia ya kuabudu binadamu ikome, maana hata anayeabudiwa hapendi hilo, na ameliweka wazi.Mleta maada ulaaniwe maana umeandika uongo uongo. Dkt Magufuli (Ph.D) alipigiwa magoti na yeye akakataa kabisa kata kata kuwa yeye si Mungu na yule mama akasema wewe mungu wa pili na Dkt Magufuli keshasema yeye ni binaadamu hapaswi hata kupigiwa magoti, tena Dkt Magufuli kaongea kwa unyenyekevu huku yule mama akiinuliwa na wasaidizi wa rais kusisitiza na konesha yeye Dkt Magufuli si Mungu bali ni binaadamu. Ila wewe ulivyoandika kiuongo na baadhi ya mijitu mijinga ambayo haijasikiliza video yote inashabikia uongo na kutoa maoni ya uongo, mlaaniwe wote wenye kutumia uongo kueneza uongo.
Wapi nimesema kwamba kakubali au kafurahia hilo? Au ni wapi nimemlaumu, kwani ni kosa lake kwamba huyo bibi hajitambui? We zezeta nini?Dkt Magufuli hakukubali kuitwa Mungu, ila mleta maada kaandika uongo
Nani kasema kwamba kaitwa mungu kwa ridhaa yake, mbona unakua zumbu kuku hivyo wewe...?!Saint Ivuga hata wewe unapungukiwa U great thinker? Umeshindwa kusikiliza video yote kujua ukweli??? In short, Dkt Magufuli kaitwa Mungu bila ridhaa yake, na kuweka msisitizo kakataa na kumwambia yule mama yeye Dkt Magufuli siyo Mungu na hapaswi hata kupigiwa magoti. Be careful when you comment mkuu, unajiumbua.