Bibi amuita Magufuli 'Mungu' baada ya kupewa msaada

Bibi amuita Magufuli 'Mungu' baada ya kupewa msaada

KAtika mambo ambayo Mungu hana msalia mtume ni binadamu kujikweza na kuanza kushangikia kuitwa Mungu.

Adhabu yake kwenye Bible ni kifo.
Ndio ninavyojua mimi.

Kuna mfalme walimuita Mungu. Mungu mwenyewe akamuua.

Sasa ngoja tuone labda Lema dream come turuuu
Si amesha sema ataenda kuongoza na malaika uko mbingunj
 
'Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?

Labda kijijini kwenu ndo kuna watu wazima wa dizaini hio.

Cha ajabu ni nini? Hivi mtu kama huyo bibi kutokuelewa mambo kwa undani ni jambo la ajabu? Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?
 
'Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?

Labda kijijini kwenu ndo kuna wazima wa dizaini hio.
Iwe kijijini kwetu au hapana lakini la muhimu ni kuwa haya mambo yapo.
 
Watu wameondolewa kwenye umaskini na kupelekwa kwenye ufukara mpaka wanafikia hatua ya Kuwaita Mungu watu hao hao waliowasababishia ufukara huu wa kutupwa.

Hebu tujiulize ni watanzania wangapi mpaka sasa wametoka kwenye umaskini na kuingia kwenye ufukara katika awamu hii?

Kusema ukweli nimeona aibu kuiangali hii video, nimesoma tu heading kwenye video, maana ni aibu ilioje kuina na kusikia binadamu mwenzako akiitwa Mungu, nimeona aibu sana. Kwa wenye ujasiri wa kuangalia naomba muangali halafu mtuhadithie. Video ipo chini hapo.
 
Kusema ukweli nimeona aibu kuiangali hii video, nimesoma tu heading kwenye video, maana ni aibu ilioje kuina na kusikia binadamu mwenzako akiitwa Mungu, nimeona aibu sana. Kwa wenye ujasiri wa kuangalia naomba muangali halafu mtuhadithie. Video ipo chini hapo.

Hahahaa, kaona nafasi ya malaika haimfai, kamu upgrade kidogo.
 
'Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?

Labda kijijini kwenu ndo kuna watu wazima wa dizaini hio.
ninavyoelewa ukiwapita wakubwa bila kuwasalimia ndio wanakusalimia wao!!
 
Cha ajabu ni nini? Hivi mtu kama huyo bibi kutokuelewa mambo kwa undani ni jambo la ajabu? Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?
Kwamba bibi hajui maana ya Mungu?
 
Cha ajabu ni nini? Hivi mtu kama huyo bibi kutokuelewa mambo kwa undani ni jambo la ajabu? Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?
Dogo macho_mdiliko, kutoa shikamoo na kutukuza ni vitu viwili tofauti.
Hata babas wa Kichagga huwa wanatoa shikamoo kwa watoto wao wanaomiliki mpunga mnene. Utasikia, "shikamoo manangu!".
 
Kazi ya CCM hio, wamemfilisi Bibi wa watu hadi kachanganyikiwa! Dah
 
Kuna Siku nilimsikia mzee wa upako akielezea jinsi Huyo mfalme alivyokufa,ni kwamba mda mchache baada ya kutoa hio hotuba yake na kusifiwa hadi kufananishwa na Mungu alianza kutokwa na funza huku huku nyama zikiacha mwili anajiona mpaka kaanguka chini na kufa.
MUngu hana msalia mtume.

Labda inawezekana hajui alitendalo kwa hio atasamehewa hatapewa adhabu kama ya yule mfalme wa kwenye Bible
 
KAtika mambo ambayo Mungu hana msalia mtume ni binadamu kujikweza na kuanza kushangikia kuitwa Mungu.

Adhabu yake kwenye Bible ni kifo.
Ndio ninavyojua mimi.

Kuna mfalme walimuita Mungu. Mungu mwenyewe akamuua.

Sasa ngoja tuone labda Lema dream come turuuu
Mwenye kosa nani? Bibi, magufuri!?
 
Watu wanaongozwa na chuki hapa. Bibi amepiga magoti, rais akamwambia ''inuka tu bibi'' anayestahili kupigiwa magoti ni Mungu tu''. Bibi akaongezea hata wewe ni kama mungu wa pili. Kwa kifupi rais amemjibu vizuri sana ila kutokana na uelewa wa bibi ndiyo akasema hivyo lakini siyo kweli kwamba rais alifurahia.

Ni akili iliyo huru tu ndiyo inaweza kusaidia macho kuona ulichokiona na masikio kusikia ulichokisikia katika hiyo video clip. Akili ikiwa mateka wa chuki na negativity, macho hayaoni na masikio hayasikii kinachojili na, hivyo, hutoa mwanya kwa akili kufanya retrieval ya negative material bila kujali uhalisia wa kilichojili!
 
Kusema ukweli nimeona aibu kuiangali hii video, nimesoma tu heading kwenye video, maana ni aibu ilioje kuina na kusikia binadamu mwenzako akiitwa Mungu, nimeona aibu sana. Kwa wenye ujasiri wa kuangalia naomba muangali halafu mtuhadithie. Video ipo chini hapo.
Malaika mkuu uyo
 
Dogo macho_mdiliko, kutoa shikamoo na kutukuza ni vitu viwili tofauti.
Hata babas wa Kichagga huwa wanatoa shikamoo kwa watoto wao wanaomiliki mpunga mnene. Utasikia, "shikamoo manangu!".
Ni viwili lakini kwenye mazingira sawa i.e. inaonyesha kuwa mtu aliye kwenye matatizo na asiye na exposure ya kutosha akiona mtu mwenye uwezo wa kumsadia huona kama ameona mungu mtu. Ninachotaka kuonyesha hapa ni kuwa hata rais alimwambia kuwa anayetakiwa kutuzwa ni Mungu tu lakini kwa sababu ya chuki watu wanaandika uzushi wanaojua.
 
Sasa apo shida ni JPM au huyo bibi.
Ila ukiwa lofa nayo unaweza ongea chochote baada ya kusaidiwa au kutatuliwa shida zako.
 
Back
Top Bottom