Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,495
- 3,253
Si amesha sema ataenda kuongoza na malaika uko mbingunjKAtika mambo ambayo Mungu hana msalia mtume ni binadamu kujikweza na kuanza kushangikia kuitwa Mungu.
Adhabu yake kwenye Bible ni kifo.
Ndio ninavyojua mimi.
Kuna mfalme walimuita Mungu. Mungu mwenyewe akamuua.
Sasa ngoja tuone labda Lema dream come turuuu