kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,519
- 12,608
Habari wakuu!
Nimefungua biashara ndogo ya mtaji wa kama 7.5m hivi. Biashara nimeifungua rasmi Jumatatu ya week hii.
Biashara yangu inadeal na uuzaji wa vitu kama battery za magari, oil na matairi ya magari.
Location ya biashara iko eneo zuri tu la barabarani na uzuri zaidi eneo limechangamka sana tu.
Lakini cha kusikitisha toka niifungue hii biashara yapata siku tano zilizopita nimeuza only 3 items, mfano jana sijauza kitu kabisa.
So niko dilemma, Je nimepotea njia au tatizo ni nini wakuu au ni hali ya kawaida kwa biashara mpya?
Nimefungua biashara ndogo ya mtaji wa kama 7.5m hivi. Biashara nimeifungua rasmi Jumatatu ya week hii.
Biashara yangu inadeal na uuzaji wa vitu kama battery za magari, oil na matairi ya magari.
Location ya biashara iko eneo zuri tu la barabarani na uzuri zaidi eneo limechangamka sana tu.
Lakini cha kusikitisha toka niifungue hii biashara yapata siku tano zilizopita nimeuza only 3 items, mfano jana sijauza kitu kabisa.
So niko dilemma, Je nimepotea njia au tatizo ni nini wakuu au ni hali ya kawaida kwa biashara mpya?