Biashara yangu imedoda, nimekosea wapi na nini kifanyike kuiimarisha?

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
6,519
12,608
Habari wakuu!

Nimefungua biashara ndogo ya mtaji wa kama 7.5m hivi. Biashara nimeifungua rasmi Jumatatu ya week hii.

Biashara yangu inadeal na uuzaji wa vitu kama battery za magari, oil na matairi ya magari.

Location ya biashara iko eneo zuri tu la barabarani na uzuri zaidi eneo limechangamka sana tu.

Lakini cha kusikitisha toka niifungue hii biashara yapata siku tano zilizopita nimeuza only 3 items, mfano jana sijauza kitu kabisa.

So niko dilemma, Je nimepotea njia au tatizo ni nini wakuu au ni hali ya kawaida kwa biashara mpya?
 
Habari wakuu!
Nimefungua biashara ndogo ya mtaji wa kama 7.5m hivi. Biashara nimeifungua rasmi Jumatatu ya week hii.

Biashara yangu inadeal na uuzaji wa vitu kama battery za magari, oil na matairi ya magari.

Location ya biashara iko eneo zuri tu la barabarani na uzuri zaidi eneo limechangamka sana tu.

Lakini cha kusikitisha toka niifungue hii biashara yapata siku tano zilizopita nimeuza only 3 items, mfano jana sijauza kitu kabisa.

So niko dilemma, Je nimepotea njia au tatizo ni nini wakuu au ni hali ya kawaida kwa biashara mpya?
Kumbuka kuna wenzako tayari wako kwenye hiyo laini.. Itakuchukua muda kidogo lakini tumia mbinu za kuvutia wateja Kama kupunguza bei kidogo nk
 
Habari wakuu!
Nimefungua biashara ndogo ya mtaji wa kama 7.5m hivi. Biashara nimeifungua rasmi Jumatatu ya week hii.

Biashara yangu inadeal na uuzaji wa vitu kama battery za magari, oil na matairi ya magari.

Location ya biashara iko eneo zuri tu la barabarani na uzuri zaidi eneo limechangamka sana tu.

Lakini cha kusikitisha toka niifungue hii biashara yapata siku tano zilizopita nimeuza only 3 items, mfano jana sijauza kitu kabisa.

So niko dilemma, Je nimepotea njia au tatizo ni nini wakuu au ni hali ya kawaida kwa biashara mpya?
Jaribu pia kucheza na mafundi garage , ili ujipatie wateja kupitia wao

Pili Weka punguzo la bei kwa bidhaa zako ili uvute wateja mpka utakapohakikisha sasa inatosha then pandisha bei iwe kama wenzako

Tatu,vumilia mkuu bado biashara haijachanganya kwa maana mauzo ya siku ,huwez fungua biashara wiki hyohyo then uuze sanaa kama ingekuwa hvyo watu wasinge ajiriwa . kumbuka wakat COCA- COLA wanaanza bongo waliuza soda 3 mwezi mzima

Kama nimekosea watanirekebisha ila yangu ni hayo
 
Habari wakuu!
Nimefungua biashara ndogo ya mtaji wa kama 7.5m hivi. Biashara nimeifungua rasmi Jumatatu ya week hii.

Biashara yangu inadeal na uuzaji wa vitu kama battery za magari, oil na matairi ya magari.

Location ya biashara iko eneo zuri tu la barabarani na uzuri zaidi eneo limechangamka sana tu.

Lakini cha kusikitisha toka niifungue hii biashara yapata siku tano zilizopita nimeuza only 3 items, mfano jana sijauza kitu kabisa.

So niko dilemma, Je nimepotea njia au tatizo ni nini wakuu au ni hali ya kawaida kwa biashara mpya?
Ungekuwa na fundi awe anafanya huduma hapohapo kuliko mtu anunue na kwenda tena kutafuta fundi
 
Habari wakuu!
Nimefungua biashara ndogo ya mtaji wa kama 7.5m hivi. Biashara nimeifungua rasmi Jumatatu ya week hii.

Biashara yangu inadeal na uuzaji wa vitu kama battery za magari, oil na matairi ya magari.

Location ya biashara iko eneo zuri tu la barabarani na uzuri zaidi eneo limechangamka sana tu.

Lakini cha kusikitisha toka niifungue hii biashara yapata siku tano zilizopita nimeuza only 3 items, mfano jana sijauza kitu kabisa.

So niko dilemma, Je nimepotea njia au tatizo ni nini wakuu au ni hali ya kawaida kwa biashara mpya?
Bado mapema sana Kaka Wacha pressure
Tatizo hiyo biashara unaitegemea Kwa mahitaji yako ya Kila siku ndio maana unaumiza kichwa kitu ambacho ni hatari
Jaribu kurelax.
 
Siku 5 ni chache sana kuhukumu biashara, kuna watu wanasuasua mpk miezi 6, Mtihani ni kama umekopa inahitajika marejesho, hapo ndio neno Vuta subira hata likitamkwa mara 100 utaliona msamiati, lakini hata kama ni hivyo, bado usiache wala kuhama Ndio utazidi kutengeneza Bomu....

Ipe mda Utauza tuu mkuu..
 
Bei ikishakuwa kubwa lazima wateja wakimbie hakikisha kwenye bidhaa unayouza elfu 10000 faida haizidi elfu 2000 kama bidhaa unaiuza laki moja faida itakuwa inarange kwenye 15000 hadi 20000
Jaribu kutafuta machimbo mazuri wanakouza bidhaa kwa bei ya jumla
 
Kama unadhani wewe ndiyo wa kwanza kutokewa na changamoto kama hiyo, basi utakua umekosea sana! Hilo ni jambo la kawaida kwa biashara mpya. Labda kama umeanzisha hilo duka mahali ambapo siyo sahihi kwa hayo mahitaji. Ila kama kuna gereji, nk basi ni suala tu la muda.

Ipe muda. Uza bidhaa zenye ubora na kwa bei nafuu! Hakikishaa una lugha nzuri na ya ushawishi kwa wateja wako! Weka bango la matangazo, nk. Baada ya muda utakuja kutoa mrejesho humu.
 
Bado mapema sana Kaka Wacha pressure
Tatizo hiyo biashara unaitegemea Kwa mahitaji yako ya Kila siku ndio maana unaumiza kichwa kitu ambacho ni hatari
Jaribu kurelax.

Umemshauri madini matupu. Nilitaka ni type hivi hivi. Na hichi ndio kina felisha wengi. Chukulia biashara kama mtoto alyezaliwa ana tambaa, anakaa, ana tembea kwa kujishika na kuanguka kisha anatembea....kishaa anaanza shule... nursery, hatimae la 4,7 na kuendelea.

Biashara yeyote, its a process.
 
Hatua muhimu ya kwanza ya biashara ni kujulikana, siyo mauzo.

Kama kuna wateja wanakuja kuulizia ulizia hata kama hawanunui, tambua ya kwamba biashara inapiga hatua.

Biashara kupata wateja wa maana huchukua miezi sita mpaka mwaka mmoja.

Endelea kuwa na subra Mkuu. Mambo yatanyooka siku za mbeleni.
 
Inategemea na biashara unayoifanya;
  • Mpaka mteja aje anunue betri, kubadilisha oil, kubadilisha tairi....ni mpaka usafiri wake uwe na matatizo;kwa hali hiyo nakushauri ongeza vipuli vingine vinavyoitajika kila siku.
  • Ni muda mfupi sana kupima biashara yako,jaribu kufikiria aliyejenga kiwanda cha saruji, faida yake atakuja aipate lini?
  • Biashara ni ushindani,ukitaka kuua soko la wengine na uimarishe la kwako, shusha bei na ikiwezekana uza kwa mkopo na wateja wawe wanaleta marejesho kwa muda fulani...ingawa pia wateja wanaweza kuwa wasumbufu.
 
Kwa upande was masoko huwa kuna kitu tunaita pricing strategies(mikakati ya upangiliaji wa Bei ) zipo kama nne
Naomba kuongelea mbili Kama msaada kwako
New product pricing strategy( mkakati wa upangilio wa bei kwa bidhaa mpya au kwa biashara mpya )
Market skimming pricing ( hii inaeleza kwamba Mara nyingi mtu napoanza biashara lazima vitu vyake viwe na Bei kubwa Sana to skim (kucover ) hela ya TRA ,Kodi ya chumba ,uchafu, umeme na nk
Faida ya hii nikwamba inasaidia biashara kusimama ,kuepuka hasara pia kupata faida kwa wakati mfupii
Hasara ya hii njia mzunguko unakuwa mdogo na muda mwingine hamna biashara kabisaa
Marketing penetration price hii ni njia ambayo mfanya biashara anaingia sokonii na Bei ndogo lengo nikupenya kwenye soko na kuwa na wateja wengii
Faida ya hii utakuwa na wateja wengi pia utakuwa na mzunguko mkubwa wa biashara na faida itakuwepo lkn sio kubwa sana
Hasara ya hii faida yake nikidogo na inachukua muda kuionna faida
Note hii njia ni nzurii pia mbeleni inakupa uwanja wa kuweza kuongeza Bei kidogo kidogo bila wateja kushituka (pricing adjustment )

Hapa na haba. Hujaza kibaba bro
 
Kwa upande was masoko huwa kuna kitu tunaita pricing strategies(mikakati ya upangiliaji wa Bei ) zipo kama nne
Naomba kuongelea mbili Kama msaada kwako
New product pricing strategy( mkakati wa upangilio wa bei kwa bidhaa mpya au kwa biashara mpya )
Market skimming pricing ( hii inaeleza kwamba Mara nyingi mtu napoanza biashara lazima vitu vyake viwe na Bei kubwa Sana to skim (kucover ) hela ya TRA ,Kodi ya chumba ,uchafu, umeme na nk
Faida ya hii nikwamba inasaidia biashara kusimama ,kuepuka hasara pia kupata faida kwa wakati mfupii
Hasara ya hii njia mzunguko unakuwa mdogo na muda mwingine hamna biashara kabisaa
Marketing penetration price hii ni njia ambayo mfanya biashara anaingia sokonii na Bei ndogo lengo nikupenya kwenye soko na kuwa na wateja wengii
Faida ya hii utakuwa na wateja wengi pia utakuwa na mzunguko mkubwa wa biashara na faida itakuwepo lkn sio kubwa sana
Hasara ya hii faida yake nikidogo na inachukua muda kuionna faida
Note hii njia ni nzurii pia mbeleni inakupa uwanja wa kuweza kuongeza Bei kidogo kidogo bila wateja kushituka (pricing adjustment )

Hapa na haba. Hujaza kibaba bro
Asante
 
Biashara za ivyo,
Wauzaji tayar wanakua na wateja wao (hasa mafundi magari).

Tengeneza connection na mafundi magari eneo lako
 
Haaa!Mshukuru sana Mungu kwa kuuza hizo items 3.Hii biashara inatakiwa utengeneze wateja wako.Fanya tathmini baada ya mwaka 1 au 2
 
Habari wakuu!

Nimefungua biashara ndogo ya mtaji wa kama 7.5m hivi. Biashara nimeifungua rasmi Jumatatu ya week hii.

Biashara yangu inadeal na uuzaji wa vitu kama battery za magari, oil na matairi ya magari.

Location ya biashara iko eneo zuri tu la barabarani na uzuri zaidi eneo limechangamka sana tu.

Lakini cha kusikitisha toka niifungue hii biashara yapata siku tano zilizopita nimeuza only 3 items, mfano jana sijauza kitu kabisa.

So niko dilemma, Je nimepotea njia au tatizo ni nini wakuu au ni hali ya kawaida kwa biashara mpya?
Dah!!!,We jamaa noma sana, yaani siku tano tu unataka biashara ifanye vizuri!!!,Kuwa mpole kwanza, biashara umeifungua saiti nzuri sawa,lkn Kumbuka kuna muda wa wateja kukuzoea Kwanza,jipe moyo biashara ndivyo zilivyo, MUNGU mkubwa utatoboa tu.
 
Back
Top Bottom