Mjasiriamali M
Senior Member
- Jan 15, 2013
- 142
- 71
Habari za Leo Wakuu,
Husika na Somo Tajwa Hapo Juu, Nna Biashara yangu Ina Run ipo maeneo ya Tandika Magorofani Karibu na Chuo cha Bandari pamoja na Chuo cha Utalii pembeni Mwa Hospital mpya. Eneo ni Zuri kwa Biashara. Nimekosa Usimamizi mzuri wa hawa Vijana wangu, Hapo mwanzoni tulikuwa tunaenda sawa maana niliwaachia wajiendeshe wenyewe mimi nachukua MALENGO(Hesabu) ya siku, kwa miezi miwili ya Awali hili lilifanikiwa kwani nami nilikuwa sichezi mbali na Eneo la Tukio, sasa kadri muda unavyokwenda nami kubanwa na Shughuli nyingine nakosa Ukaribu nao, hapa sasa Nimeanza Kupigwa Kiswahili, Mara Biashara Ipo ila Hela Hakuna mara CHUMA Ulete n.k.
Kwa sasa nimewaambia wapumzike kama wiki tuone tunafanyaje, swala la kutokuwepo mwenyewe ndo linanipa Head Ache, sasa nimeona niuze Vitu vilivyo katika Eneo langu kuanzia Kabati la Chips(Fut 2x1) , meza za square 3 na viti 10, makarai, meko, n.k. then frem nimkodishe mtu anipe kodi yangu au lah kama mtu ataweza kuiendeleza hii Biashara basi nimuuzie yeye anipooze nimuachie chumba na vifaa vyote.
Baadhi ya Vitu nimevionesha kwenye Picha, Frem Ipo Inatazama Barabara na Kuna Parking Kubwa ya magari na eneo linatumiwa sana na Wanafunzi wa Vyuo Hivi Viwili maana kuna Miti ya Vivuli. Kama Utapenda kununua vitu au kupanga tafadhali tuwasiliane na picha zaid zipo ntakusendia kwa whatsapp.(0719447204)
Kodi ya Pango ni Elfu 85 kwa mwezi, Umeme Huwa ni Around elfu 35-40 kwa mwezi. Access ya maji na usalama ni wa uhakika.
Natanguliza Shukrani.
Husika na Somo Tajwa Hapo Juu, Nna Biashara yangu Ina Run ipo maeneo ya Tandika Magorofani Karibu na Chuo cha Bandari pamoja na Chuo cha Utalii pembeni Mwa Hospital mpya. Eneo ni Zuri kwa Biashara. Nimekosa Usimamizi mzuri wa hawa Vijana wangu, Hapo mwanzoni tulikuwa tunaenda sawa maana niliwaachia wajiendeshe wenyewe mimi nachukua MALENGO(Hesabu) ya siku, kwa miezi miwili ya Awali hili lilifanikiwa kwani nami nilikuwa sichezi mbali na Eneo la Tukio, sasa kadri muda unavyokwenda nami kubanwa na Shughuli nyingine nakosa Ukaribu nao, hapa sasa Nimeanza Kupigwa Kiswahili, Mara Biashara Ipo ila Hela Hakuna mara CHUMA Ulete n.k.
Kwa sasa nimewaambia wapumzike kama wiki tuone tunafanyaje, swala la kutokuwepo mwenyewe ndo linanipa Head Ache, sasa nimeona niuze Vitu vilivyo katika Eneo langu kuanzia Kabati la Chips(Fut 2x1) , meza za square 3 na viti 10, makarai, meko, n.k. then frem nimkodishe mtu anipe kodi yangu au lah kama mtu ataweza kuiendeleza hii Biashara basi nimuuzie yeye anipooze nimuachie chumba na vifaa vyote.
Baadhi ya Vitu nimevionesha kwenye Picha, Frem Ipo Inatazama Barabara na Kuna Parking Kubwa ya magari na eneo linatumiwa sana na Wanafunzi wa Vyuo Hivi Viwili maana kuna Miti ya Vivuli. Kama Utapenda kununua vitu au kupanga tafadhali tuwasiliane na picha zaid zipo ntakusendia kwa whatsapp.(0719447204)
Kodi ya Pango ni Elfu 85 kwa mwezi, Umeme Huwa ni Around elfu 35-40 kwa mwezi. Access ya maji na usalama ni wa uhakika.
Natanguliza Shukrani.