Biashara ya Night Club Dar imekufa?

Binafsi kizazi cha sasa naona kama haki-enjoy kabisa. Watu wanakaa tu pub wanatandaza beers na pombe kali nyiiiingi, no dancing ni kutikisa vichwa tu na kushikashika warembo.

What a lazy life!?

Kipindi hicho unakula bia mtaani ikifika saa sita mnahamia club huko hata ukitaka kuongea labda upaza sauti maana ni sound la kufa mtu, mwendo wa ku-dance.

The only time muziki unasimama labda kuwe na show baaas. Zaidi ya hapo ni kucheza.

Sifa kuu za night club
1. Ni indoor
2. Privacy ya kutosha, kulikuwa hadi na VIP rooms
3. Well sound proofed
4. Dance floor ya maana
5. Nyimbo mchanganyiko....inafikia mahali mnajua kabisa kuwa muda flani ni muda wa bongo fleva na dj fulani ndio anapiga, muda fulani ni oldies na mnajua mkali wa oldies ni nani ukicheck kwa dj chamber unakuta kweli ni yeye.

No talks ni muziki kwa kwenda mbele.

Siku hizi sioni kama kuna starehe. Watu wamejikita kwenye mashindano ya kunywa na kupost kwenye oage zao.
6. Lights
Taa za maana ni sifa kuu mmojawapo ya night clubs, kila demu anaonekana nzuri.
 
Nyakati zinaenda mbio..

Sehem nyingi hawajui kupiga MZIKI mzuri..

Sehem nyingi zina watu wanyasa wanyasa (Ukipiga nyimbo nzuri hawana vibe nazo maana hawazijui).

Mie napenda mziki mzuri.. ndio starehe yangu.

Nimeamua kutengeneza Mini-Bar hapa kwangu seblen kwa pembeni kdg, nikiw Off kazini basi nakaa ktk ki-bar changu nafungulia mziki taratiib napunguza chupa.. bila bughza na mtoto wa mtu..

Nikitaka NYAMA naingia Telegram napoint minofu yangu nakuja kujilia ndani.


Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Summary ya Menu ya vinywaji hii hapa: Aione na RRONDO View attachment 2934372
Dah! Huko hakunifai kabisa. Mimi nishazoea sehemu wanakouza bia 5000 basi ujue nafika nimeshalewa tayari yaani naenda kumalizia tu siku au kuopoa mizigo.

Hiyo ya bia 9000 siwezi, sasa upate hawa malaya wanakunywa castle lite kama wanamwaga mahala, unatoka umekauka.
 
Dah! Huko hakunifai kabisa. Mimi nishazoea sehemu wanakouza bia 5000 basi ujue nafika nimeshalewa tayari yaani naenda kumalizia tu siku au kuopoa mizigo.

Hiyo ya bia 9000 siwezi, sasa upate hawa malaya wanakunywa castle lite kama wanamwaga mahala, unatoka umekauka.
Oya we ndio mimi. Sitajirishi mtu. Naenda grocery ya mtaani wanakouza bei elekezi, najijaza bia kichwani ndio natoka. Au kama ghetto nakua nishaweka kwenye friji.
 
Uholela wa biashara bila vibali. Bar na pubs zinatakiwa kufungwa saa sita usiku. Then club zinakesha. Watu wakitoka bar wanaingia club mpaka asubuhi.
Sasa bar,pub,liquor stores zote zinakesha nani ataenda club?
Hata ndio matokeo ya kutosimamia sheria ndio maana hata mitaani watu hawalali kisa bar inapiga muziki hadi asubuhi.
Yani ndo hapo. Thed weld dwellers, the 99% na hand to mouth as if they're living in a jungle lawless. Huu upuz huwez kamwe kukuta ninapoishi na kumiliki makazi palm jumeirah Dubei, malibu, Las Palma, Ibiza, Monaco, Zurich, bahamas, Aspen, montecito, Beverley hills.

mshamba_hachekwi
 
Ah
Mkuu hapo velvet umewahi kwenda ?
Naona wanasifu sana humu
Nilienda mara 3 kipindi cha AFCON weekend na weekdays.

Oya zamani palikua moto wa kuotea mbali. Tatizo limekuja baada ya kupafanyia ukarabati pamekua pa kisasa. Hafu watu hawaendi.

Sema mlinzi aliniambia j5 nadhani ni Baikoko day. Alisema uwa panawaka.

Kwa ufupi, Dar sahivi ni Kitambaa na Dance Club kama unapenda vurugu na hauna aibu.
 
Nilienda mara 3 kipindi cha AFCON weekend na weekdays.

Oya zamani palikua moto wa kuotea mbali. Tatizo limekuja baada ya kupafanyia ukarabati pamekua pa kisasa. Hafu watu hawaendi.

Sema mlinzi aliniambia j5 nadhani ni Baikoko day. Alisema uwa panawaka.

Kwa ufupi, Dar sahivi ni Kitambaa na Dance Club kama unapenda vurugu na hauna aibu.
Dance club?
Ipo wapi hii?
 
Yaani hilo limjengo likuubwa mavyumba ya kutosha very classic mziki mzuri ila ukiingia unajikuta uko peke yako 😀 same to vibez lounge nayo hivyo hivyo
Kama unapenda utulivu ni sehemu nzuri sana ya kwenda. Usiende siku za events tu, kuna bar nyingi sana ziko overrated but velvet wamejitahidi sana kuitengeneza. Wanafail kwwnye marketing tu.
 
Back
Top Bottom