Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Gentlemen_

JF-Expert Member
Nov 24, 2019
3,563
10,549
TAKWIMU: Biashara ya NGONO ndio Biashara inayofanywa na WANAWAKE wengi zaidi.

Ndio ukweli,

Nimekuwa mtu wa kwenda katika maeneo ya starehe hasa katika mji wa DSM.

Katika Bar/Night Club hizo WANAWAKE ndio wengi
1> Wahudumu
2>Wanywaji

Hao wote wengi wao ni wafanyabiashara.

Sasa piga mahesabu kuna Bar na Clubs ngapi za starehe hapa DSM na zote zinafurika hawa Wadada.

Sijapigia hesabu CASINO's.

Sijapigia hesabu PUB's hizo ndio balaaa wale wamiliki wa PUB nyingi ni Wanawake unajua kwanini? Haya simalizii.

Kuna aina nyingine ya Biashara ambayo ni ya Mtandaoni (ONLINE).

Wale WAKE za watu au Wanafunzi wa vyuo ndio wanaitumia sana hii, wengi wanatoa huduma remotely yaan bila kukutana na MTEJA.

Watauza Videos zao za Utupu,
Wataweka bei elekezi umpigie VIDEO CALL uone Utupu Live yaani Full HD.

Hiyo yote ni Biashara.

Sijaitaja ile style yao ya BIASHARA ya Waziwazi. Maana ktk kila mitaa iliyochangamka hao watu wapo na wanajulikana. Na BIASHARA zinapofanyika watu wanajua.

>> KUNA BIASHARA nyingine inafanyika huko ktk SALOONS.

Piga hesabu kuna Saloon ngapi za kiume Mjini zile zenye wadada..

>> BIASHARA nyingine katika MASSAGE centers.

Piga hesabu kuna vilinge vingapi vya Masaji.. naaaaam unaona BIASHARA inavyobeba hazina ya Dada zetu ee..

>> BIASHARA nyingine inafanyika INDIRECTLY

Hii sasa ni ya kiintelijensia zaidi, yaan Mwanamke anawaunga ktk Mahusiano wanaume zaidi ya watano na kuwatenga ktk makundi yafuatayo:

1> Kodi ya Nyumba na Chakula
2> OUTINGS na starehe
3> SIMU na Bundles
4> ADA (kama ni mwanachuo)
5> Mtaji wa Biashara (Mara nyingi wanajifichia ktk Nguo na Viatu ndio biashara zao pendwa, wengine vipodozi na perfumes)

Sasa nihitimishe.

Ukiangalia kwa jicho la KITAALAM utaona ktk asilimia 100% ya wanawake wote, basi asilimia 89% wapo ktk huu mfumo wa BIASHARA. Ni hatari.

Binafsi, napata Changamoto sana ktk upande wa kuchagua MWANAMKE hata wa kuwa nae ktk MAHUSIANO kutokana na mtindo huo wa BIASHARA.

NDIO maana nawasisitiza vijana hasa wa KIUME wawe makini. Na wasije wakatepeliwa na kitu kinachoitwa ______ simalizii.
 
TAKWIMU: Biashara ya NGONO ndio Biashara inayofanywa na WANAWAKE wengi zaidi.

Ndio ukweli,
Naunga mkono hoja, ni kweli kabisa, huduma hiyo ndio the oldest professional na the oldest business ambayo imeajiri watu wengi kuliko ajira nyingine zote!.

The fortunate ones wao bidhaa zao zimenunuliwa kwa bei ya jumla na mteja mmoja, hivyo kuitwa jina la heshima "wife", the unfortunate ones inawabidi kuuza rejareja kwa wateja tofauti tofauti.

Ndio maana tulishauri Opinion: Its High Time, Tanzania Tuhalalishe "The Oldest Profession?!", na Ikiwezekana, to Legalize Marijuana!

P.
 
Inasikitisha sana aisee hali ni mbaya sana tena skuiz hadi watoto wa miaka 15 wapo kwenye hiyo kazi
TAKWIMU: Biashara ya NGONO ndio Biashara inayofanywa na WANAWAKE wengi zaidi.

Ndio ukweli,

Nimekuwa mtu wa kwenda katika maeneo ya starehe hasa katika mji wa DSM.

Katika Bar/Night Club hizo WANAWAKE ndio wengi
1> Wahudumu
2>Wanywaji

Hao wote wengi wao ni wafanyabiashara.

Sasa piga mahesabu kuna Bar na Clubs ngapi za starehe hapa DSM na zote zinafurika hawa Wadada.

Sijapigia hesabu CASINO's.

Sijapigia hesabu PUB's hizo ndio balaaa wale wamiliki wa PUB nyingi ni Wanawake unajua kwanini? Haya simalizii.



Wale WAKE za watu au Wanafunzi wa vyuo ndio wanaitumia sana hii, wengi wanatoa huduma remotely yaan bila kukutana na MTEJA.

Watauza Videos zao za Utupu,
Wataweka bei elekezi umpigie VIDEO CALL uone Utupu Live yaani Full HD.

Hiyo yote ni Biashara.

Sijaitaja ile style yao ya BIASHARA ya Waziwazi. Maana ktk kila mitaa iliyochangamka hao watu wapo na wanajulikana. Na BIASHARA zinapofanyika watu wanajua.

>> KUNA BIASHARA nyingine inafanyika huko ktk SALOONS.

Piga hesabu kuna Saloon ngapi za kiume Mjini zile zenye wadada..

>> BIASHARA nyingine katika MASSAGE centers.

Piga hesabu kuna vilinge vingapi vya Masaji.. naaaaam unaona BIASHARA inavyobeba hazina ya Dada zetu ee..

>> BIASHARA nyingine inafanyika INDIRECTLY

Hii sasa ni ya kiintelijensia zaidi, yaan Mwanamke anawaunga ktk Mahusiano wanaume zaidi ya watano na kuwatenga ktk makundi yafuatayo:

1> Kodi ya Nyumba na Chakula
2> OUTINGS na starehe
3> SIMU na Bundles
4> ADA (kama ni mwanachuo)
5> Mtaji wa Biashara (Mara nyingi wanajifichia ktk Nguo na Viatu ndio biashara zao pendwa, wengine vipodozi na perfumes)

Sasa nihitimishe.

Ukiangalia kwa jicho la KITAALAM utaona ktk asilimia 100% ya wanawake wote, basi asilimia 89% wapo ktk huu mfumo wa BIASHARA. Ni hatari.

Binafsi, napata Changamoto sana ktk upande wa kuchagua MWANAMKE hata wa kuwa nae ktk MAHUSIANO kutokana na mtindo huo wa BIASHARA.

NDIO maana nawasisitiza vijana hasa wa KIUME wawe makini. Na wasije wakatepeliwa na kitu kinachoitwa ______ simalizii.
 
Back
Top Bottom