Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,165
Aisee
Villa Park... Nyegezikule mwanza maeneo ya villa park, wale walinzi wa maegesho ya magari wanavibox, unalipia mia tano ya box unatandikiwa kwenye mtaro shughuli inaanza.
Upo sahihi kabisa mkuu. Iringa ndio nimeshuhudia kahaba akikataa mwanaume kwa mara ya kwanza. Nikamuuliza wewe ni mfanyabiashara gani unayeogopa mteja???Wewe jamaa ni mgeni sana wa biashara ya ukahaba maana katika sehemu ambazo ukahaba hauna kasi ni Iringa,hapo Holiday ni sehemu ya kawaida sana huwezi fananisha na vijiwe vikubwa kama Kimboka au Sinza kwa kifupi mpaka leo Iringa hakuna hata mtaa ambao malaya wanajipa barabarani hapo Holiday kuna vichangu vichafu havifiki hata 20 tena wengi na wahudumu,kwa wale wateja wa hiyo bidhaa nawaambia Iringa ni sehemu kame kama jangwani tu dadadeki labda uvizie wanachuo.
Hivi ambiance bado kumechanganya au totoz wamepungua?Wewe jamaa ni mgeni sana wa biashara ya ukahaba maana katika sehemu ambazo ukahaba hauna kasi ni Iringa,hapo Holiday ni sehemu ya kawaida sana huwezi fananisha na vijiwe vikubwa kama Kimboka au Sinza kwa kifupi mpaka leo Iringa hakuna hata mtaa ambao malaya wanajipa barabarani hapo Holiday kuna vichangu vichafu havifiki hata 20 tena wengi na wahudumu,kwa wale wateja wa hiyo bidhaa nawaambia Iringa ni sehemu kame kama jangwani tu dadadeki labda uvizie wanachuo.
That's true Iringa ufuska haupo ila nashangaa maambukizi yapo juuUpo sahihi kabisa mkuu. Iringa ndio nimeshuhudia kahaba akikataa mwanaume kwa mara ya kwanza. Nikamuuliza wewe ni mfanyabiashara gani unayeogopa mteja???
Wewe jamaaa,, unafukua makaburi ya ufuska tukuelewejeBalaa tupu
Kuna factors nyingi kaka,Circumcision hali ya hewa ongeza na watoto waliokuwa wanachukuliwa kufanya kazi za house girls ndio zimesababisha maambukuzi kwa kiwango hicho..That's true Iringa ufuska haupo ila nashangaa maambukizi yapo juu
Nyegezi kuna Villa?Villa Park... Nyegezi
wapo hata maofisini tunao tunakulaga ofisi nzima ukimuona huwezi kumdhania. Tena anatongoza wanaume mwenyewe na misosi anawanunulia, nae ni malaya kama wale wa kitaa.tafsiri ya malaya ni ipi? kwani hao wanaojiuza wanatofauti gani na wale wa mtaani unaowatumia wewe
Sio kivileeee sana wapo underground tu maeneo yale wamesogea maeneo ya La Chaz kule.Hivi ambiance bado kumechanganya au totoz wamepungua?
Makete ilikua inafanya Iringa waonekane wako juu kwenye maambukizi nadhani wame-drop baada ya Makete kua iko mkoa wa Njombe.That's true Iringa ufuska haupo ila nashangaa maambukizi yapo juu
La chaz nilikua juzi tu mbona pamepoa sana sikuwaona machangu au mpaka weekend maana ilikua ni siku ya weekSio kivileeee sana wapo underground tu maeneo yale wamesogea maeneo ya La Chaz kule.
Makete ilikua inafanya Iringa waonekane wako juu kwenye maambukizi nadhani wame-drop baada ya Makete kua iko mkoa wa Njombe.
Miami ipo wapi hiyoMiami night club imefunguliwa Jana wadau karibuni vitu vipyaa
Karibu na uwanja wa samoraMiami ipo wapi hiyo